83) Sūrat Al-Muţaffifīn | Printed format | 83) سُورَة المُطَفِّفِين |
| Waylun Lilmuţaffifīna | 1. Ole wao hao wapunjao! | وَيْل ٌ لِلْمُطَفِّفِينَ |
| Al-Ladhīna 'Idhā Aktālū `Alá An-Nāsi Yastawfūna | 2. Ambao wanapo jipimia kwa watu hudai watimiziwe. | الَّذِينَ إِذَا اكْتَالُوا عَلَى النَّاسِ يَسْتَوْفُونَ |
| Wa 'Idhā Kālūhum 'Aw Wazanūhum Yukhsirūna | 3. Na wao wanapo wapimia watu kwa kipimo au mizani hupunguza. | وَإِذَا كَالُوهُمْ أَوْ وَزَنُوهُمْ يُخْسِرُونَ |
| 'Alā Yažunnu 'Ūla'ika 'Annahum Mab`ūthūna | 4. Kwani hawadhani hao kwamba watafufuliwa | أَلاَ يَظُنُّ أُولَئِكَ أَنَّهُمْ مَبْعُوثُونَ |
| Liyawmin `Ažīmin | 5. Katika Siku iliyo kuu, | لِيَوْمٍ عَظِيم ٍ |
| Yawma Yaqūmu An-Nāsu Lirabbi Al-`Ālamīna | 6. Siku watapo msimamia watu Mola Mlezi wa walimwengu wote? | يَوْمَ يَقُومُ النَّاسُ لِرَبِّ الْعَالَمِينَ |
| Kallā 'Inna Kitāba Al-Fujjāri Lafī Sijjīnin | 7. Hasha! Hakika maandiko ya wakosefu bila ya shaka yamo katika Sijjin. | كَلاَّ إِنَّ كِتَابَ الفُجَّارِ لَفِي سِجِّين ٍ |
| Wa Mā 'Adrāka Mā Sijjīnun | 8. Unajua nini Sijjin? | وَمَا أَدْرَاكَ مَا سِجِّين ٌ |
| Kitābun Marqūmun | 9. Kitabu kilicho andikwa. | كِتَاب ٌ مَرْقُوم ٌ |
| Waylun Yawma'idhin Lilmukadhdhibīna | 10. Ole wao siku hiyo kwa wanao kadhibisha! | وَيْل ٌ يَوْمَئِذ ٍ لِلْمُكَذِّبِينَ |
| Al-Ladhīna Yukadhdhibūna Biyawmi Ad-Dīni | 11. Ambao wanaikadhibisha Siku ya Malipo. | الَّذِينَ يُكَذِّبُونَ بِيَوْمِ الدِّينِ |
| Wa Mā Yukadhdhibu Bihi 'Illā Kullu Mu`tadin 'Athīmin | 12. Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi. | وَمَا يُكَذِّبُ بِهِ إلاَّ كُلُّ مُعْتَدٍ أَثِيم ٍ |
| 'Idhā Tutlá `Alayhi 'Āyātunā Qāla 'Asāţīru Al-'Awwalīna | 13. Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale! | إِذَا تُتْلَى عَلَيْهِ آيَاتُنَا قَالَ أَسَاطِيرُ الأَوَّلِينَ |
| Kallā Bal Rāna `Alá Qulūbihim Mā Kānū Yaksibūna | 14. Hasha! Bali yametia kutu juu ya nyoyo zao hao walio kuwa wakiyachuma. | كَلاَّ بَلْ رَانَ عَلَى قُلُوبِهِمْ مَا كَانُوا يَكْسِبُونَ |
| Kallā 'Innahum `An Rabbihim Yawma'idhin Lamaĥjūbūna | 15. Hasha! Hakika hao siku hiyo bila ya shaka watazuiliwa na neema za Mola wao Mlezi. | كَلاَّ إِنَّهُمْ عَنْ رَبِّهِمْ يَوْمَئِذ ٍ لَمَحْجُوبُونَ |
| Thumma 'Innahum Laşālū Al-Jaĥīmi | 16. Kisha wataingia Motoni! | ثُمَّ إِنَّهُمْ لَصَالُوا الْجَحِيمِ |
| Thumma Yuqālu Hādhā Al-Ladhī Kuntum Bihi Tukadhdhibūna | 17. Kisha waambiwe: Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyakadhabisha. | ثُمَّ يُقَالُ هَذَا الَّذِي كُنتُمْ بِه ِِ تُكَذِّبُونَ |
| Kallā 'Inna Kitāba Al-'Abrāri Lafī `Illīyīna | 18. Hasha! Hakika maandiko ya watu wema bila ya shaka yamo katika I'liyyin. | كَلاَّ إِنَّ كِتَابَ الأَبْرَارِ لَفِي عِلِّيِّينَ |
| Wa Mā 'Adrāka Mā `Illīyūna | 19. Na nini kitakacho kujuvya nini I'liyyin? | وَمَا أَدْرَاكَ مَا عِلِّيُّونَ |
| Kitābun Marqūmun | 20. Kitabu kilicho andikwa. | كِتَاب ٌ مَرْقُوم ٌ |
| Yash/haduhu Al-Muqarrabūna | 21. Wanakishuhudia walio karibishwa. | يَشْهَدُهُ الْمُقَرَّبُونَ |
| 'Inna Al-'Abrāra Lafī Na`īmin | 22. Hakika watu wema bila ya shaka watakuwa katika neema. | إِنَّ الأَبْرَارَ لَفِي نَعِيم ٍ |
| `Alá Al-'Arā'iki Yanžurūna | 23. Wakae juu ya viti vya enzi wakiangalia. | عَلَى الأَرَائِكِ يَنظُرُونَ |
| Ta`rifu Fī Wujūhihim Nađrata An-Na`īmi | 24. Utatambua katika nyuso zao mng'aro wa neema, | تَعْرِفُ فِي وُجُوهِهِمْ نَضْرَةَ النَّعِيمِ |
| Yusqawna Min Raĥīqin Makhtūmin | 25. Watanyweshwa kinywaji safi kiliyo tiwa muhuri, | يُسْقَوْنَ مِنْ رَحِيق ٍ مَخْتُوم ٍ |
| Khitāmuhu Miskun Wa Fī Dhālika Falyatanāfasi Al-Mutanāfisūna | 26. Muhuri wake ni miski. Na katika hayo washindanie wenye kushindana. | خِتَامُه ُُ مِسْك ٌ وَفِي ذَلِكَ فَلْيَتَنَافَسِ الْمُتَنَافِسُونَ |
| Wa Mizājuhu Min Tasnīmin | 27. Na mchanganyiko wake ni Tasniim, | وَمِزَاجُه ُُ مِنْ تَسْنِيم ٍ |
| `Aynāan Yashrabu Bihā Al-Muqarrabūna | 28. Chemchem watakayo inywa walio kurubishwa. | عَيْنا ً يَشْرَبُ بِهَا الْمُقَرَّبُونَ |
| 'Inna Al-Ladhīna 'Ajramū Kānū Mina Al-Ladhīna 'Āmanū Yađĥakūna | 29. Kwa hakika wale walio kuwa wakosefu walikuwa wakiwacheka walio amini. | إِنَّ الَّذِينَ أَجْرَمُوا كَانُوا مِنَ الَّذِينَ آمَنُوا يَضْحَكُونَ |
| Wa 'Idhā Marrū Bihim Yataghāmazūna | 30. Na wanapo pita karibu yao wakikonyezana. | وَإِذَا مَرُّوا بِهِمْ يَتَغَامَزُونَ |
| Wa 'Idhā Anqalabū 'Ilá 'Ahlihimu Anqalabū Fakihīna | 31. Na wanapo rudi kwa watu wao hurudi nao wamefurahi. | وَإِذَا انقَلَبُوا إِلَى أَهْلِهِمُ انقَلَبُوا فَكِهِينَ |
| Wa 'Idhā Ra'awhum Qālū 'Inna Hā'uulā' Lađāllūna | 32. Na wanapo waona husema: Hakika hawa ndio khasa walio potea. | وَإِذَا رَأَوْهُمْ قَالُوا إِنَّ هَاؤُلاَء لَضَالُّونَ |
| Wa Mā 'Ursilū `Alayhim Ĥāfižīna | 33. Na wao hawakutumwa wawe walinzi juu yao. | وَمَا أُرْسِلُوا عَلَيْهِمْ حَافِظِينَ |
| Fālyawma Al-Ladhīna 'Āmanū Mina Al-Kuffāri Yađĥakūna | 34. Basi leo walio amini ndio watawacheka makafiri, | فَالْيَوْمَ الَّذِينَ آمَنُوا مِنَ الْكُفَّارِ يَضْحَكُونَ |
| `Alá Al-'Arā'iki Yanžurūna | 35. Nao wako juu ya viti vya enzi wakiangalia. | عَلَى الأَرَائِكِ يَنظُرُونَ |
| Hal Thūwiba Al-Kuffāru Mā Kānū Yaf`alūna | 36. Je! makafiri wamelipwa malipo ya yale waliyo kuwa wakiyatenda? * | هَلْ ثُوِّبَ الْكُفَّارُ مَا كَانُوا يَفْعَلُونَ |