Ar-Raĥmānu  | 1. Arrah'man, Mwingi wa Rehema | الرَّحمَانُ |
`Allama Al-Qur'āna  | 2. Amefundisha Qur'ani. | عَلَّمَ الْقُرْآنَ |
Khalaqa Al-'Insāna  | 3. Amemuumba mwanaadamu, | خَلَقَ الإِنسَانَ |
`Allamahu Al-Bayāna  | 4. Akamfundisha kubaini. | عَلَّمَهُ الْبَيَانَ |
Ash-Shamsu Wa Al-Qamaru Biĥusbānin  | 5. Jua na mwezi huenda kwa hisabu. | الشَّمْسُ وَالْقَمَرُ بِحُسْبَان ٍ |
Wa An-Najmu Wa Ash-Shajaru Yasjudāni  | 6. Na mimea yenye kutambaa, na miti, inanyenyekea. | وَالنَّجْمُ وَالشَّجَرُ يَسْجُدَانِ |
Wa As-Samā'a Rafa`ahā Wa Wađa`a Al-Mīzāna  | 7. Na mbingu ameziinua, na ameweka mizani, | وَالسَّمَاءَ رَفَعَهَا وَوَضَعَ الْمِيزَانَ |
'Allā Taţghaw Fī Al-Mīzāni  | 8. Ili msidhulumu katika mizani. | أَلاَّ تَطْغَوْا فِي الْمِيزَانِ |
Wa 'Aqīmū Al-Wazna Bil-Qisţi Wa Lā Tukhsirū Al-Mīzāna  | 9. Na wekeni mizani kwa haki, wala msipunje katika
mizani. | وَأَقِيمُوا الْوَزْنَ بِالْقِسْطِ وَلاَ تُخْسِرُوا الْمِيزَانَ |
Wa Al-'Arđa Wađa`ahā Lil'anāmi  | 10. Na ardhi ameiweka kwa ajili ya viumbe. | وَالأَرْضَ وَضَعَهَا لِلأَنَامِ |
Fīhā Fākihatun Wa An-Nakhlu Dhātu Al-'Akmāmi  | 11. Humo yamo matunda na mitende yenye mafumba. | فِيهَا فَاكِهَة ٌ وَالنَّخْلُ ذَاتُ الأَكْمَامِ |
Wa Al-Ĥabbu Dhū Al-`Aşfi Wa Ar-Rayĥānu  | 12. Na nafaka zenye makapi, na rehani. | وَالْحَبُّ ذُو الْعَصْفِ وَالرَّيْحَانُ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 13. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Khalaqa Al-'Insāna Min Şalşālin Kālfakhkhāri  | 14. Amemuumba mtu kwa udongo wa kinamo.. | خَلَقَ الإِنسَانَ مِنْ صَلْصَال ٍ كَالْفَخَّارِ |
Wa Khalaqa Al-Jānna Min Mārijin Min Nārin  | 15. Na akawaumba majini kwa ulimi wa moto. | وَخَلَقَ الْجَانَّ مِنْ مَارِج ٍ مِنْ نَار ٍ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 16. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Rabbu Al-Mashriqayni Wa Rabbu Al-Maghribayni  | 17. Mola Mlezi wa mashariki mbili na wa magharibi
mbili. | رَبُّ الْمَشْرِقَيْنِ وَرَبُّ الْمَغْرِبَيْنِ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 18. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Maraja Al-Baĥrayni Yaltaqiyāni  | 19. Anaziendesha bahari mbili zikutane; | مَرَجَ الْبَحْرَيْنِ يَلْتَقِيَانِ |
Baynahumā Barzakhun Lā Yabghiyāni  | 20. Baina yao kipo kizuizi, zisiingiliane. | بَيْنَهُمَا بَرْزَخ ٌ لاَ يَبْغِيَانِ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 21. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Yakhruju Minhumā Al-Lu'ulu'uu Wa Al-Marjānu  | 22. Katika hizo bahari mbili zinatoka lulu na
marijani. | يَخْرُجُ مِنْهُمَا اللُّؤْلُؤُ وَالْمَرْجَانُ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 23. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Wa Lahu Al-Jawāri Al-Munsha'ātu Fī Al-Baĥri Kāl'a`lāmi  | 24. Na ni vyake Yeye hivi viendavyo baharini
vilivyo undwa kama vilima. | وَلَهُ الْجَوَارِ الْمُنشَآتُ فِي الْبَحْرِ كَالأَعْلاَمِ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 25. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Kullu Man `Alayhā Fānin  | 26. Kila kilioko juu yake kitatoweka. | كُلُّ مَنْ عَلَيْهَا فَان ٍ |
Wa Yabqá Wajhu Rabbika Dhū Al-Jalāli Wa Al-'Ikrāmi  | 27. Na atabakia Mwenyewe Mola wako Mlezi Mwenye
utukufu na ukarimu. | وَيَبْقَى وَجْهُ رَبِّكَ ذُو الْجَلاَلِ وَالإِكْرَامِ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 28. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Yas'aluhu Man Fī As-Samāwāti Wa Al-'Arđi Kulla Yawmin Huwa Fī Sha'nin  | 29. Vinamwomba Yeye vilivyomo katika mbingu na
ardhi. Kila siku Yeye yumo katika mambo. | يَسْأَلُه ُُ مَنْ فِي السَّمَاوَاتِ وَالأَرْضِ كُلَّ يَوْمٍ هُوَ فِي شَأْن ٍ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 30. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Sanafrughu Lakum 'Ayyuhā Ath-Thaqalāni  | 31. Tutakuhisabuni enyi makundi mawili. | سَنَفْرُغُ لَكُمْ أَيُّهَا الثَّقَلاَنِ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 32. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Yā Ma`shara Al-Jinni Wa Al-'Insi 'Ini Astaţa`tum 'An Tanfudhū Min 'Aqţāri As-Samāwāti Wa Al-'Arđi Fānfudhū Lā Tanfudhūna 'Illā Bisulţānin  | 33. Enyi makundi ya majini na watu! Mkiweza kupenya
kwenye mbingu na ardhi, basi penyeni! Hamtapenya ila kwa kupewa madaraka. | يَامَعْشَرَ الْجِنِّ وَالإِنسِ إِنِ اسْتَطَعْتُمْ أَنْ تَنفُذُوا مِنْ أَقْطَارِ السَّمَاوَاتِ وَالأَرْضِ فَانفُذُوا لاَ تَنفُذُونَ إِلاَّ بِسُلْطَان ٍ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 34. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Yursalu `Alaykumā Shuwāžun Min Nārin Wa Nuĥāsun Falā Tantaşirāni  | 35. Mtapelekewa muwako wa moto na shaba; wala
hamtashinda. | يُرْسَلُ عَلَيْكُمَا شُوَاظ ٌ مِنْ نَار ٍ وَنُحَاس ٌ فَلاَ تَنتَصِرَانِ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 36. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Fa'idhā Anshaqqati As-Samā'u Fakānat Wardatan Kālddihāni  | 37. Itakapo pasuka mbingu ikawa nyekundu kama
mafuta. | فَإِذَا انشَقَّتِ السَّمَاءُ فَكَانَتْ وَرْدَة ً كَالدِّهَانِ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 38. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Fayawma'idhin Lā Yus'alu `An Dhanbihi 'Insun Wa Lā Jānnun  | 39. Siku hiyo hataulizwa dhambi zake mtu wala
jini. | فَيَوْمَئِذ ٍ لاَ يُسْأَلُ عَنْ ذَنْبِهِ~ِ إِنس ٌ وَلاَ جَانّ ٌ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 40. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Yu`rafu Al-Mujrimūna Bisīmāhum Fayu'ukhadhu Bin-Nawāşī Wa Al-'Aqdāmi  | 41. Watajuulikana wakosefu kwa alama zao, basi
watashikwa kwa nywele zao za utosini na kwa miguu. | يُعْرَفُ الْمُجْرِمُونَ بِسِيمَاهُمْ فَيُؤْخَذُ بِالنَّوَاصِي وَالأَقْدَامِ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 42. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Hadhihi Jahannamu Allatī Yukadhdhibu Bihā Al-Mujrimūna  | 43. Hii ndiyo Jahannamu ambayo wakosefu wakiikanusha. | هَذِه ِِ جَهَنَّمُ الَّتِي يُكَذِّبُ بِهَا الْمُجْرِمُونَ |
Yaţūfūna Baynahā Wa Bayna Ĥamīmin 'Ānin  | 44. Watakuwa wakizunguka baina ya hiyo na maji
ya moto yanayo chemka. | يَطُوفُونَ بَيْنَهَا وَبَيْنَ حَمِيم ٍ آن ٍ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 45. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Wa Liman Khāfa Maqāma Rabbihi Jannatāni  | 46. Na mwenye kuogopa kusimamishwa mbele ya Mola
wake Mlezi atapata Bustani mbili. | وَلِمَنْ خَافَ مَقَامَ رَبِّه ِِ جَنَّتَانِ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 47. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Dhawātā 'Afnānin  | 48. Bustani zenye matawi yaliyo tanda. | ذَوَاتَا أَفْنَان ٍ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 49. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Fīhimā `Aynāni Tajriyāni  | 50. Ndani yake zimo chemchem mbili zinazo pita. | فِيهِمَا عَيْنَانِ تَجْرِيَانِ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 51. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Fīhimā Min Kulli Fākihatin Zawjāni  | 52. Humo katika kila matunda zimo namna mbili. | فِيهِمَا مِنْ كُلِّ فَاكِهَة ٍ زَوْجَانِ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 53. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Muttaki'īna `Alá Furushin Baţā'inuhā Min 'Istabraqin Wa Janá Al-Jannatayni Dānin  | 54. Wawe wameegemea matandiko yenye bit'ana ya
hariri nzito; na matunda ya Bustani hizo yapo karibu. | مُتَّكِئِينَ عَلَى فُرُش ٍ بَطَائِنُهَا مِنْ إِسْتَبْرَق ٍ وَجَنَى الْجَنَّتَيْنِ دَان ٍ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 55. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Fīhinna Qāşirātu Aţ-Ţarfi Lam Yaţmithhunna 'Insun Qablahum Wa Lā Jānnun  | 56. Humo watakuwamo wanawake watulizao macho
yao; hajawagusa mtu kabla yao wala jini. | فِيهِنَّ قَاصِرَاتُ الطَّرْفِ لَمْ يَطْمِثْهُنَّ إِنْس ٌ قَبْلَهُمْ وَلاَ جَانّ ٌ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 57. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Ka'annahunna Al-Yāqūtu Wa Al-Marjānu  | 58. Kama kwamba wao ni yakuti na marijani. | كَأَنَّهُنَّ الْيَاقُوتُ وَالْمَرْجَانُ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 59. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha. | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Hal Jazā'u Al-'Iĥsāni 'Illā Al-'Iĥsānu  | 60. Ati yaweza kuwa malipo ya ihsani ila ihsani? | هَلْ جَزَاءُ الإِحْسَانِ إِلاَّ الإِحْسَانُ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 61. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Wa Min Dūnihimā Jannatāni  | 62. Na zaidi ya hizo zipo Bustani nyengine mbili. | وَمِنْ دُونِهِمَا جَنَّتَانِ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 63. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Mud/hāmmatāni  | 64. Za kijani kibivu. | مُدْهَامَّتَانِ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 65. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Fīhimā `Aynāni Nađđākhatāni  | 66. Na chemchem mbili zinazo furika. | فِيهِمَا عَيْنَانِ نَضَّاخَتَانِ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 67. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Fīhimā Fākihatun Wa Nakhlun Wa Rummānun  | 68. Imo humo miti ya matunda, na mitende na mikomamanga. | فِيهِمَا فَاكِهَة ٌ وَنَخْل ٌ وَرُمَّان ٌ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 69. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Fīhinna Khayrātun Ĥisānun  | 70. Humo wamo wanawake wema wazuri. | فِيهِنَّ خَيْرَاتٌ حِسَان ٌ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 71. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Ĥūrun Maqşūrātun Fī Al-Khiyāmi  | 72. Wanawake wazuri wanao tawishwa katika makhema. | حُور ٌ مَقْصُورَات ٌ فِي الْخِيَامِ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 73. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Lam Yaţmithhunna 'Insun Qablahum Wa Lā Jānnun  | 74. Hajawagusa mtu wala jini kabla yao. | لَمْ يَطْمِثْهُنَّ إِنس ٌ قَبْلَهُمْ وَلاَ جَانّ ٌ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 75. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Muttaki'īna `Alá Rafrafin Khuđrin Wa `Abqarīyin Ĥisānin  | 76. Wameegemea juu ya matakia ya kijani na mazulia
mazuri. | مُتَّكِئِينَ عَلَى رَفْرَفٍ خُضْر ٍ وَعَبْقَرِيٍّ حِسَان ٍ |
Fabi'ayyi 'Ālā'i Rabbikumā Tukadhdhibāni  | 77. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi
mnayo ikanusha? | فَبِأَيِّ آلاَءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ |
Tabāraka Asmu Rabbika Dhī Al-Jalāli Wa Al-'Ikrāmi  | 78. Limetukuka jina la Mola wako Mlezi Mwenye
utukufu na ukarimu. | تَبَارَكَ اسْمُ رَبِّكَ ذِي الْجَلاَلِ وَالإِكْرَامِ |