103) Sūrat Al-`Aşr

Printed format

103) سُورَة العَصر

Wa Al-`Aşri 1. Naapa kwa Zama! وَالْعَصْرِ
'Inna Al-'Insāna Lafī Khusrin 2. Hakika binaadamu bila ya shaka yumo katika khasara, إِنَّ الإِنسَانَ لَفِي خُسْر ٍ
'Illā Al-Ladhīna 'Āmanū Wa `Amilū Aş-Şāliĥāti Wa Tawāşaw Bil-Ĥaqqi Wa Tawāşaw Biş-Şabri 3. Ila wale walio amini, na wakatenda mema, na wakausiana kwa haki, na wakausiana kusubiri.  * إِلاَّ الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ وَتَوَاصَوْا بِالْحَقِّ وَتَوَاصَوْا بِالصَّبْرِ
Next Sūrah