68) Sūrat Al-Qalam | Printed format | 68) سُورَة القَلَم |
| Nūn Wa Al-Qalami Wa Mā Yasţurūna | 1. Nuun. Naapa kwa kalamu na yale wayaandikayo, | نُون وَالْقَلَمِ وَمَا يَسْطُرُونَ |
| Mā 'Anta Bini`mati Rabbika Bimajnūnin | 2. Kwa neema ya Mola wako Mlezi wewe si mwendawazimu. | مَا أَنْتَ بِنِعْمَةِ رَبِّكَ بِمَجْنُون ٍ |
| Wa 'Inna Laka La'ajrāan Ghayra Mamnūnin | 3. Na kwa hakika wewe una malipo yasiyo katika. | وَإِنَّ لَكَ لَأَجْراً غَيْرَ مَمْنُون ٍ |
| Wa 'Innaka La`alá Khuluqin `Ažīmin | 4. Na hakika wewe una tabia tukufu. | وَإِنَّكَ لَعَلى خُلُقٍ عَظِيم ٍ |
| Fasatubşiru Wa Yubşirūna | 5. Karibu utaona, na wao wataona, | فَسَتُبْصِرُ وَيُبْصِرُونَ |
| Bi'ayyyikumu Al-Maftūnu | 6. Ni nani kati yenu aliye pandwa na wazimu. | بِأَيّيِكُمُ الْمَفْتُونُ |
| 'Inna Rabbaka Huwa 'A`lamu Biman Đalla `An Sabīlihi Wa Huwa 'A`lamu Bil-Muhtadīna | 7. Hakika Mola wako Mlezi ndiye Yeye ajuaye zaidi nani aliye ipotea Njia yake, na Yeye ndiye anaye wajua zaidi walio ongoka. | إِنَّ رَبَّكَ هُوَ أَعْلَمُ بِمَنْ ضَلَّ عَنْ سَبِيلِه ِِ وَهُوَ أَعْلَمُ بِالْمُهْتَدِينَ |
| Falā Tuţi`i Al-Mukadhdhibīna | 8. Basi usiwat'ii wanao kadhibisha. | فَلاَ تُطِعِ الْمُكَذِّبِينَ |
| Wa Ddū Law Tud/hinu Fayud/hinūna | 9. Wanatamani lau unge lainisha ili nao wakulainishie. | وَدُّوا لَوْ تُدْهِنُ فَيُدْهِنُونَ |
| Wa Lā Tuţi` Kulla Ĥallāfin Mahīnin | 10. Wala usimt'ii kila mwingi wa kuapa wa kudharauliwa, | وَلاَ تُطِعْ كُلَّ حَلاَّف ٍ مَهِين ٍ |
| Hammāzin Mashshā'in Binamīmin | 11. Mtapitapi, apitaye akifitini, | هَمَّاز ٍ مَشَّاء ٍ بِنَمِيم ٍ |
| Mannā`in Lilkhayri Mu`tadin 'Athīmin | 12. Mwenye kuzuia kheri, dhaalimu, mwingi wa madhambi, | مَنَّاع ٍ لِلْخَيْرِ مُعْتَدٍ أَثِيم ٍ |
| `Utullin Ba`da Dhālika Zanīmin | 13. Mkavu, na juu ya hayo, mshari, amejipachika tu. | عُتُلّ ٍ بَعْدَ ذَلِكَ زَنِيم ٍ |
| 'An Kāna Dhā Mālin Wa Banīna | 14. Ati kwa kuwa ana mali na watoto! | أَنْ كَانَ ذَا مَال ٍ وَبَنِينَ |
| 'Idhā Tutlá `Alayhi 'Āyātunā Qāla 'Asāţīru Al-'Awwalīna | 15. Anapo somewa Aya zetu, husema: Hizi ni simulizi za uwongo za watu wa zamani! | إِذَا تُتْلَى عَلَيْهِ آيَاتُنَا قَالَ أَسَاطِيرُ الأَوَّلِينَ |
| Sanasimuhu `Alá Al-Khurţūmi | 16. Tutamtia kovu juu ya pua yake. | سَنَسِمُه ُُ عَلَى الْخُرْطُومِ |
| 'Innā Balawnāhum Kamā Balawnā 'Aşĥāba Al-Jannati 'Idh 'Aqsamū Layaşrimunnahā Muşbiĥīna | 17. Hakika tumewajaribu hawa kama tulivyo wajaribu wale wenye shamba, walipo apa kwamba watayavuna mazao yake itakapo kuwa asubuhi. | إِنَّا بَلَوْنَاهُمْ كَمَا بَلَوْنَا أَصْحَابَ الْجَنَّةِ إِذْ أَقْسَمُوا لَيَصْرِمُنَّهَا مُصْبِحِينَ |
| Wa Lā Yastathnūna | 18. Wala hawakusema: Mungu akipenda! | وَلاَ يَسْتَثْنُونَ |
| Faţāfa `Alayhā Ţā'ifun Min Rabbika Wa Hum Nā'imūna | 19. Basi lilitokea tukio juu yake kutoka kwa Mola wako Mlezi, nao wamelala! | فَطَافَ عَلَيْهَا طَائِف ٌ مِنْ رَبِّكَ وَهُمْ نَائِمُونَ |
| Fa'aşbaĥat Kālşşarīmi | 20. Likawa kama usiku wa giza. | فَأَصْبَحَتْ كَالصَّرِيمِ |
| Fatanādaw Muşbiĥīna | 21. Asubuhi wakaitana. | فَتَنَادَوا مُصْبِحِينَ |
| 'Ani Aghdū `Alá Ĥarthikum 'In Kuntum Şārimīna | 22. Ya kwamba nendeni kondeni mwenu ikiwa mnataka kuvuna. | أَنِ اغْدُوا عَلَى حَرْثِكُمْ إِنْ كُنتُمْ صَارِمِينَ |
| Fānţalaqū Wa Hum Yatakhāfatūna | 23. Basi walikwenda na huku wakinong'onezana, | فَانطَلَقُوا وَهُمْ يَتَخَافَتُونَ |
| 'An Lā Yadkhulannahā Al-Yawma `Alaykum Miskīnun | 24. Ya kuwa leo hata masikini mmoja asikuingilieni. | أَنْ لاَ يَدْخُلَنَّهَا الْيَوْمَ عَلَيْكُمْ مِسْكِين ٌ |
| Waghadaw `Alá Ĥardin Qādirīna | 25. Na walikwenda asubuhi, nao wameshikilia azimio hilo. | وَغَدَوْا عَلَى حَرْد ٍ قَادِرِينَ |
| Falammā Ra'awhā Qālū 'Innā Lađāllūna | 26. Basi walipo liona, wakasema: Hakika tumepotea! | فَلَمَّا رَأَوْهَا قَالُوا إِنَّا لَضَالُّونَ |
| Bal Naĥnu Maĥrūmūna | 27. Bali tumenyimwa! | بَلْ نَحْنُ مَحْرُومُونَ |
| Qāla 'Awsaţuhum 'Alam 'Aqul Lakum Lawlā Tusabbiĥūna | 28. Mbora wao akasema: Sikukwambieni, kwa nini hamumtakasi Mwenyezi Mungu? | قَالَ أَوْسَطُهُمْ أَلَمْ أَقُلْ لَكُمْ لَوْلاَ تُسَبِّحُونَ |
| Qālū Subĥāna Rabbinā 'Innā Kunnā Žālimīna | 29. Wakasema: Ametakasika Mola wetu Mlezi! Hakika sisi tulikuwa wenye kudhulumu. | قَالُوا سُبْحَانَ رَبِّنَا إِنَّا كُنَّا ظَالِمِينَ |
| Fa'aqbala Ba`đuhum `Alá Ba`đin Yatalāwamūna | 30. Basi wakakabiliana kulaumiana wao kwa wao. | فَأَقْبَلَ بَعْضُهُمْ عَلَى بَعْض ٍ يَتَلاَوَمُونَ |
| Qālū Yā Waylanā 'Innā Kunnā Ţāghīna | 31. Wakasema: Ole wetu! Tulikuwa tumeikiuka mipaka! | قَالُوا يَا وَيْلَنَا إِنَّا كُنَّا طَاغِينَ |
| `Asá Rabbunā 'An Yubdilanā Khayrāan Minhā 'Innā 'Ilá Rabbinā Rāghibūna | 32. Asaa Mola wetu Mlezi akatubadilishia lilio bora kuliko hili. Hakika sisi ni wenye kurejea kwa Mola wetu Mlezi. | عَسَى رَبُّنَا أَنْ يُبْدِلَنَا خَيْرا ً مِنْهَا إِنَّا إِلَى رَبِّنَا رَاغِبُونَ |
| Kadhālika Al-`Adhābu Wa La`adhābu Al-'Ākhirati 'Akbaru Law Kānū Ya`lamūna | 33. Namna hivi yanakuwa mateso, na bila ya shaka mateso ya Akhera ni makubwa zaidi, laiti wangeli jua! | كَذَلِكَ الْعَذَابُ وَلَعَذَابُ الآخِرَةِ أَكْبَرُ لَوْ كَانُوا يَعْلَمُونَ |
| 'Inna Lilmuttaqīna `Inda Rabbihim Jannāti An-Na`īmi | 34. Hakika wachamngu watakuwa na Bustani za neema kwa Mola wao Mlezi. | إِنَّ لِلْمُتَّقِينَ عِنْدَ رَبِّهِمْ جَنَّاتِ النَّعِيمِ |
| 'Afanaj`alu Al-Muslimīna Kālmujrimīna | 35. Kwani tutawafanya Waislamu kama wakosefu? | أَفَنَجْعَلُ الْمُسْلِمِينَ كَالْمُجْرِمِينَ |
| Mā Lakum Kayfa Taĥkumūna | 36. Mna nini? Mnahukumu vipi? | مَا لَكُمْ كَيْفَ تَحْكُمُونَ |
| 'Am Lakum Kitābun Fīhi Tadrusūna | 37. Au mnacho kitabu ambacho ndani yake mnasoma? | أَمْ لَكُمْ كِتَاب ٌ فِيه ِِ تَدْرُسُونَ |
| 'Inna Lakum Fīhi Lamā Takhayyarūna | 38. Kuwa mtapata humo mnayo yapenda? | إِنَّ لَكُمْ فِيه ِِ لَمَا تَخَيَّرُونَ |
| 'Am Lakum 'Aymānun `Alaynā Bālighatun 'Ilá Yawmi Al-Qiyāmati 'Inna Lakum Lamā Taĥkumūna | 39. Au mnazo ahadi za viapo juu yetu za kufika Siku ya Kiyama ya kuwa hakika mtapata kila mnayo jihukumia? | أَمْ لَكُمْ أَيْمَانٌ عَلَيْنَا بَالِغَة ٌ إِلَى يَوْمِ الْقِيَامَةِ إِنَّ لَكُمْ لَمَا تَحْكُمُونَ |
| Salhum 'Ayyuhum Bidhālika Za`īmun | 40. Waulize: Ni nani miongoni mwao dhamini wa haya? | سَلْهُم أَيُّهُمْ بِذَلِكَ زَعِيم ٌ |
| 'Am Lahum Shurakā'u Falya'tū Bishurakā'ihim 'In Kānū Şādiqīna | 41. Au wanao washirika? Basi wawalete washirika wao wakiwa wanasema kweli. | أَمْ لَهُمْ شُرَكَاءُ فَلْيَأْتُوا بِشُرَكَائِهِمْ إِنْ كَانُوا صَادِقِينَ |
| Yawma Yukshafu `An Sāqin Wa Yud`awna 'Ilá As-Sujūdi Falā Yastaţī`ūna | 42. Siku utakapo wekwa wazi mundi, na wataitwa kusujudu, lakini hawataweza, | يَوْمَ يُكْشَفُ عَنْ سَاق ٍ وَيُدْعَوْنَ إِلَى السُّجُودِ فَلاَ يَسْتَطِيعُونَ |
| Khāshi`atan 'Abşāruhum Tarhaquhum Dhillatun Wa Qad Kānū Yud`awna 'Ilá As-Sujūdi Wa Hum Sālimūna | 43. Macho yao yatainama chini, fedheha itawafunika. Na hakika walikuwa wakiitwa wasujudu walipo kuwa wazima - | خَاشِعَةً أَبْصَارُهُمْ تَرْهَقُهُمْ ذِلَّة ٌ وَقَدْ كَانُوا يُدْعَوْنَ إِلَى السُّجُودِ وَهُمْ سَالِمُونَ |
| Fadharnī Wa Man Yukadhdhibu Bihadhā Al-Ĥadīthi Sanastadrijuhum Min Ĥaythu Lā Ya`lamūna | 44. Basi niache na wanao kadhibisha maneno haya! Tutawavutia kidogo kidogo kwa mahali wasipo pajua. | فَذَرْنِي وَمَنْ يُكَذِّبُ بِهَذَا الْحَدِيثِ سَنَسْتَدْرِجُهُمْ مِنْ حَيْثُ لاَ يَعْلَمُونَ |
| Wa 'Umlī Lahum 'Inna Kaydī Matīnun | 45. Na ninawapururia muhula; hakika hila zangu ni imara. | وَأُمْلِي لَهُمْ إِنَّ كَيْدِي مَتِين ٌ |
| 'Am Tas'aluhum 'Ajrāan Fahum Min Maghramin Muthqalūna | 46. Au unawaomba ujira, na wao wanaemewa na gharama hiyo? | أَمْ تَسْأَلُهُمْ أَجْرا ً فَهُمْ مِنْ مَغْرَم ٍ مُثْقَلُونَ |
| 'Am `Indahumu Al-Ghaybu Fahum Yaktubūna | 47. Au iko kwao siri, basi wao wanaiandika? | أَمْ عِنْدَهُمُ الْغَيْبُ فَهُمْ يَكْتُبُونَ |
| Fāşbir Liĥukmi Rabbika Wa Lā Takun Kaşāĥibi Al-Ĥūti 'Idh Nādá Wa Huwa Makžūmun | 48. Basi ingojee hukumu ya Mola wako Mlezi, wala usiwe kama mmezwa na samaki, alipo nadi naye kazongwa. | فَاصْبِرْ لِحُكْمِ رَبِّكَ وَلاَ تَكُنْ كَصَاحِبِ الْحُوتِ إِذْ نَادَى وَهُوَ مَكْظُوم ٌ |
| Lawlā 'An Tadārakahu Ni`matun Min Rabbihi Lanubidha Bil-`Arā'i Wa Huwa Madhmūmun | 49. Kama isingeli mfikia neema kutoka kwa Mola wake Mlezi, bila ya shaka angeli tupwa ufukweni naye ni mwenye kulaumiwa. | لَوْلاَ أَنْ تَدَارَكَه ُُ نِعْمَة ٌ مِنْ رَبِّه ِِ لَنُبِذَ بِالْعَرَاءِ وَهُوَ مَذْمُوم ٌ |
| Fājtabāhu Rabbuhu Faja`alahu Mina Aş-Şāliĥīna | 50. Lakini Mola wake Mlezi alimteua na akamfanya miongoni mwa watu wema. | فَاجْتَبَاه ُُ رَبُّه ُُ فَجَعَلَه ُُ مِنَ الصَّالِحِينَ |
| Wa 'In Yakādu Al-Ladhīna Kafarū Layuzliqūnaka Bi'abşārihim Lammā Sami`ū Adh-Dhikra Wa Yaqūlūna 'Innahu Lamajnūnun | 51. Na walio kufuru hukaribia kukutelezesha kwa macho yao, wanapo sikia mawaidha, na wanasema: Hakika yeye ni mwendawazimu. | وَإِنْ يَكَادُ الَّذِينَ كَفَرُوا لَيُزْلِقُونَكَ بِأَبْصَارِهِمْ لَمَّا سَمِعُوا الذِّكْرَ وَيَقُولُونَ إِنَّه ُُ لَمَجْنُون ٌ |
| Wa Mā Huwa 'Illā Dhikrun Lil`ālamīna | 52. Na hayakuwa haya, ila ni ukumbusho kwa walimwengu wote. * | وَمَا هُوَ إِلاَّ ذِكْر ٌ لِلْعَالَمِينَ |