'Alif-Lām-Mīm  | 1. Alif Lam Mim (A.L.M.) | أَلِف-لَام-مِيم |
'Aĥasiba An-Nāsu 'An Yutrakū 'An Yaqūlū 'Āmannā Wa Hum Lā Yuftanūna  | 2. Je! Wanadhani watu wataachwa kwa kuwa wanasema:
Tumeamini. Nao wasijaribiwe? | أَحَسِبَ النَّاسُ أَنْ يُتْرَكُوا أَنْ يَقُولُوا آمَنَّا وَهُمْ لاَ يُفْتَنُونَ |
Wa Laqad Fatannā Al-Ladhīna Min Qablihim Falaya`lamanna Allāhu Al-Ladhīna Şadaqū Wa Laya`lamanna Al-Kādhibīna  | 3. Hakika tuliwajaribu walio kuwa kabla yao, na
kwa yakini Mwenyezi Mungu atawatambulisha walio wa kweli na atawatambulisha
walio waongo. | وَلَقَدْ فَتَنَّا الَّذِينَ مِنْ قَبْلِهِمْ فَلَيَعْلَمَنَّ اللَّهُ الَّذِينَ صَدَقُوا وَلَيَعْلَمَنَّ الْكَاذِبِينَ |
'Am Ĥasiba Al-Ladhīna Ya`malūna As-Sayyi'āti 'An Yasbiqūnā Sā'a Mā Yaĥkumūna  | 4. Au wanadhani wanao tenda maovu kwamba watatushinda?
Hukumu mbaya hiyo wanayo hukumu. | أَمْ حَسِبَ الَّذِينَ يَعْمَلُونَ السَّيِّئَاتِ أَنْ يَسْبِقُونَا سَاءَ مَا يَحْكُمُونَ |
Man Kāna Yarjū Liqā'a Allāhi Fa'inna 'Ajala Allāhi La'ātin Wa Huwa As-Samī`u Al-`Alīmu  | 5. Mwenye kutaraji kukutana na Mwenyezi Mungu,
basi hakika miadi ya Mwenyezi Mungu itafika bila ya shaka. Naye ni Mwenye
kusikia, Mwenye kujua. | مَنْ كَانَ يَرْجُو لِقَاءَ اللَّهِ فَإِنَّ أَجَلَ اللَّهِ لَآت ٍ وَهُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ |
Wa Man Jāhada Fa'innamā Yujāhidu Linafsihi 'Inna Allāha Laghanīyun `Ani Al-`Ālamīna  | 6. Na anaye fanya juhudi basi bila ya shaka anafanya
juhudi kwa ajili ya nafsi yake. Hakika Mwenyezi Mungu si mhitaji wa walimwengu. | وَمَنْ جَاهَدَ فَإِنَّمَا يُجَاهِدُ لِنَفْسِهِ~ِ إِنَّ اللَّهَ لَغَنِيٌّ عَنِ الْعَالَمِينَ |
Wa Al-Ladhīna 'Āmanū Wa `Amilū Aş-Şāliĥāti Lanukaffiranna `Anhum Sayyi'ātihim Wa Lanajziyannahum 'Aĥsana Al-Ladhī Kānū Ya`malūna  | 7. Na walio amini na wakatenda mema, kwa yakini
tutawafutia makosa yao, na tutawalipa bora ya waliyo kuwa wakiyatenda. | وَالَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ لَنُكَفِّرَنَّ عَنْهُمْ سَيِّئَاتِهِمْ وَلَنَجْزِيَنَّهُمْ أَحْسَنَ الَّذِي كَانُوا يَعْمَلُونَ |
Wa Waşşaynā Al-'Insāna Biwālidayhi Ĥusnāan Wa 'In Jāhadāka Litushrika Bī Mā Laysa Laka Bihi `Ilmun Falā Tuţi`humā 'Ilayya Marji`ukum Fa'unabbi'ukum Bimā Kuntum Ta`malūna  | 8. Na tumemuusia mwanaadamu kuwafanyia wema wazazi
wake. Na ikiwa watakushikilia unishirikishe Mimi na usiyo kuwa na ujuzi
nayo, basi usiwat'ii. Kwangu Mimi ndio marejeo yenu, na nitakwambieni mliyo
kuwa mkiyatenda. | وَوَصَّيْنَا الإِنسَانَ بِوَالِدَيْهِ حُسْنا ً وَإِنْ جَاهَدَاكَ لِتُشْرِكَ بِي مَا لَيْسَ لَكَ بِه ِِ عِلْم ٌ فَلاَ تُطِعْهُمَا إِلَيَّ مَرْجِعُكُمْ فَأُنَبِّئُكُمْ بِمَا كُنْتُمْ تَعْمَلُونَ |
Wa Al-Ladhīna 'Āmanū Wa `Amilū Aş-Şāliĥāti Lanudkhilannahum Fī Aş-Şāliĥīna  | 9. Na walio amini na wakatenda mema, bila ya shaka
tutawatia miongoni mwa watu wema. | وَالَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ لَنُدْخِلَنَّهُمْ فِي الصَّالِحِينَ |
Wa Mina An-Nāsi Man Yaqūlu 'Āmannā Billāhi Fa'idhā 'Ūdhiya Fī Allāhi Ja`ala Fitnata An-Nāsi Ka`adhābi Allāhi Wa La'in Jā'a Naşrun Min Rabbika Layaqūlunna 'Innā Kunnā Ma`akum 'Awalaysa Allāhu Bi'a`lama Bimā Fī Şudūri Al-`Ālamīna  | 10. Na katika watu wapo wanao sema: Tumemuamini
Mwenyezi Mungu. Lakini wanapo pewa maudhi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu,
wanayafanya mateso ya watu kama ni adhabu ya Mwenyezi Mungu. Na inapo kuja
nusura kutoka kwa Mola wako Mlezi husema: Hakika sisi tulikuwa pamoja nanyi.
Kwani Mwenyezi Mungu hayajui yaliomo vifuani mwa walimwengu? | وَمِنَ النَّاسِ مَنْ يَقُولُ آمَنَّا بِاللَّهِ فَإِذَا أُوذِيَ فِي اللَّهِ جَعَلَ فِتْنَةَ النَّاسِ كَعَذَابِ اللَّهِ وَلَئِنْ جَاءَ نَصْر ٌ مِنْ رَبِّكَ لَيَقُولُنَّ إِنَّا كُنَّا مَعَكُمْ أَوَلَيْسَ اللَّهُ بِأَعْلَمَ بِمَا فِي صُدُورِ الْعَالَمِينَ |
Wa Laya`lamanna Allāhu Al-Ladhīna 'Āmanū Wa Laya`lamanna Al-Munāfiqīna  | 11. Na hapana shaka Mwenyezi Mungu atawatambulisha
walio amini, na atawatambulisha wanaafiki. | وَلَيَعْلَمَنَّ اللَّهُ الَّذِينَ آمَنُوا وَلَيَعْلَمَنَّ الْمُنَافِقِينَ |
Wa Qāla Al-Ladhīna Kafarū Lilladhīna 'Āmanū Attabi`ū Sabīlanā Wa Lnaĥmil Khaţāyākum Wa Mā Hum Biĥāmilīna Min Khaţāyāhum Min Shay'in 'Innahum Lakādhibūna  | 12. Na walio kufuru waliwaambia walio amini:
Fuateni njia yetu, nasi tutayabeba makosa yenu. Wala wao hawatabeba katika
makosa yao chochote kile. Hakika hao ni waongo. | وَقَالَ الَّذِينَ كَفَرُوا لِلَّذِينَ آمَنُوا اتَّبِعُوا سَبِيلَنَا وَلْنَحْمِلْ خَطَايَاكُمْ وَمَا هُمْ بِحَامِلِينَ مِنْ خَطَايَاهُمْ مِنْ شَيْء ٍ إِنَّهُمْ لَكَاذِبُونَ |
Wa Layaĥmilunna 'Athqālahum Wa 'Athqālāan Ma`a 'Athqālihim Wa Layus'alunna Yawma Al-Qiyāmati `Ammā Kānū Yaftarūna  | 13. Na hapana shaka wataibeba mizigo yao na mizigo
mingine pamoja na mizigo yao. Na kwa yakini wataulizwa Siku ya Kiyama juu
ya waliyo kuwa wakiyazua. | وَلَيَحْمِلُنَّ أَثْقَالَهُمْ وَأَثْقَالا ً مَعَ أَثْقَالِهِمْ وَلَيُسْأَلُنَّ يَوْمَ الْقِيَامَةِ عَمَّا كَانُوا يَفْتَرُونَ |
Wa Laqad 'Arsalnā Nūĥāan 'Ilá Qawmihi Falabitha Fīhim 'Alfa Sanatin 'Illā Khamsīna `Āmāan Fa'akhadhahumu Aţ-Ţūfānu Wa Hum Žālimūn  | 14. Na hakika tulimtuma Nuhu kwa watu wake, na
akakaa nao miaka elfu kasoro miaka khamsini. Basi tufani liliwachukua,
nao ni madhaalimu. | وَلَقَدْ أَرْسَلْنَا نُوحا ً إِلَى قَوْمِه ِِ فَلَبِثَ فِيهِمْ أَلْفَ سَنَة ٍ إِلاَّ خَمْسِينَ عَاما ً فَأَخَذَهُمُ الطُّوفَانُ وَهُمْ ظَالِمُون |
Fa'anjaynāhu Wa 'Aşĥāba As-Safīnati Wa Ja`alnāhā 'Āyatan Lil`ālamīna  | 15. Nasi tukamwokoa yeye na wenziwe wa katika
safina, na tukaifanya kuwa ni Ishara kwa walimwengu wote. | فَأَنجَيْنَاه ُُ وَأَصْحَابَ السَّفِينَةِ وَجَعَلْنَاهَا آيَة ً لِلْعَالَمِينَ |
Wa 'Ibrāhīma 'Idh Qāla Liqawmihi A`budū Allāha Wa Attaqūhu Dhālikum Khayrun Lakum 'In Kuntum Ta`lamūna  | 16. Na Ibrahim pale alipo waambia watu wake:
Muabuduni Mwenyezi Mungu, na mcheni Yeye. Hiyo ndiyo kheri yenu, ikiwa
nyinyi mnajua. | وَإِبْرَاهِيمَ إِذْ قَالَ لِقَوْمِهِ اعْبُدُوا اللَّهَ وَاتَّقُوه ُُ ذَلِكُمْ خَيْر ٌ لَكُمْ إِنْ كُنْتُمْ تَعْلَمُونَ |
'Innamā Ta`budūna Min Dūni Allāhi 'Awthānāan Wa Takhluqūna 'Ifkāan 'Inna Al-Ladhīna Ta`budūna Min Dūni Allāhi Lā Yamlikūna Lakum Rizqāan Fābtaghū `Inda Allāhi Ar-Rizqa Wa A`budūhu Wa Ashkurū Lahu 'Ilayhi Turja`ūna  | 17. Hakika nyinyi mnaabudu masanamu badala ya
Mwenyezi Mungu, na mnazua uzushi. Hakika hao mnao waabudu badala ya Mwenyezi
Mungu hawakumilikiini riziki yoyote. Takeni riziki kwa Mwenyezi Mungu,
na mumuabudu Yeye, na mumshukuru Yeye. Kwake Yeye ndio mtarudishwa. | إِنَّمَا تَعْبُدُونَ مِنْ دُونِ اللَّهِ أَوْثَانا ً وَتَخْلُقُونَ إِفْكا ً إِنَّ الَّذِينَ تَعْبُدُونَ مِنْ دُونِ اللَّهِ لاَ يَمْلِكُونَ لَكُمْ رِزْقا ً فَابْتَغُوا عِنْدَ اللَّهِ الرِّزْقَ وَاعْبُدُوه ُُ وَاشْكُرُوا لَهُ~ُ إِلَيْهِ تُرْجَعُونَ |
Wa 'In Tukadhdhibū Faqad Kadhdhaba 'Umamun Min Qablikum Wa Mā `Alá Ar-Rasūli 'Illā Al-Balāghu Al-Mubīnu  | 18. Na mkikadhibisha, basi kaumu kadhaa wa kadhaa
za kabla yenu zilikwisha kadhibisha. Na si juu ya Mtume ila kufikisha Ujumbe
waziwazi. | وَإِنْ تُكَذِّبُوا فَقَدْ كَذَّبَ أُمَم ٌ مِنْ قَبْلِكُمْ وَمَا عَلَى الرَّسُولِ إِلاَّ الْبَلاَغُ الْمُبِينُ |
'Awalam Yaraw Kayfa Yubdi'u Allāhu Al-Khalqa Thumma Yu`īduhu 'Inna Dhālika `Alá Allāhi Yasīrun  | 19. Je! Wao hawaoni jinsi Mwenyezi Mungu anavyo
anzisha uumbaji, na kisha akarudisha tena. Hakika hayo kwa Mwenyezi Mungu
ni mepesi. | أَوَلَمْ يَرَوْا كَيْفَ يُبْدِئُ اللَّهُ الْخَلْقَ ثُمَّ يُعِيدُهُ~ُ إِنَّ ذَلِكَ عَلَى اللَّهِ يَسِير ٌ |
Qul Sīrū Fī Al-'Arđi Fānžurū Kayfa Bada'a Al-Khalqa Thumma Allāhu Yunshi'u An-Nash'ata Al-'Ākhirata 'Inna Allāha `Alá Kulli Shay'in Qadīrun  | 20. Sema: Tembeeni katika ardhi na tazameni jinsi
alivyo anzisha uumbaji; kisha Mwenyezi Mungu ndiye anaye umba umbo la baadaye.
Hakika Mwenyezi Mungu ni Muweza juu ya kila kitu. | قُلْ سِيرُوا فِي الأَرْضِ فَانْظُرُوا كَيْفَ بَدَأَ الْخَلْقَ ثُمَّ اللَّهُ يُنشِئُ النَّشْأَةَ الآخِرَةَ إِنَّ اللَّهَ عَلَى كُلِّ شَيْء ٍ قَدِير ٌ |
Yu`adhdhibu Man Yashā'u Wa Yarĥamu Man Yashā'u Wa 'Ilayhi Tuqlabūna  | 21. Humuadhibu amtakaye, na humrehemu amtakaye.
Na kwake Yeye mtapelekwa. | يُعَذِّبُ مَنْ يَشَاءُ وَيَرْحَمُ مَنْ يَشَاءُ وَإِلَيْهِ تُقْلَبُونَ |
Wa Mā 'Antum Bimu`jizīna Fī Al-'Arđi Wa Lā Fī As-Samā'i Wa Mā Lakum Min Dūni Allāhi Min Wa Līyin Wa Lā Naşīrin  | 22. Na nyinyi si wenye kushinda katika ardhi
wala katika mbingu. Wala nyinyi hamna mlinzi wala msaidizi isipo kuwa Mwenyezi
Mungu. | وَمَا أَنْتُمْ بِمُعْجِزِينَ فِي الأَرْضِ وَلاَ فِي السَّمَاءِ وَمَا لَكُمْ مِنْ دُونِ اللَّهِ مِنْ وَلِيّ ٍ وَلاَ نَصِير ٍ |
Wa Al-Ladhīna Kafarū Bi'āyāti Allāhi Wa Liqā'ihi 'Ūlā'ika Ya'isū Min Raĥmatī Wa 'Ūlā'ika Lahum `Adhābun 'Alīmun  | 23. Na walio zikanusha Ishara za Mwenyezi Mungu
na kukutana naye, hao ndio wenye kukata tamaa na rehema yangu, na hao ndio
wenye kupata adhabu chungu. | وَالَّذِينَ كَفَرُوا بِآيَاتِ اللَّهِ وَلِقَائِهِ~ِ أُوْلَائِكَ يَئِسُوا مِنْ رَحْمَتِي وَأُوْلَائِكَ لَهُمْ عَذَابٌ أَلِيم ٌ |
Famā Kāna Jawāba Qawmihi 'Illā 'An Qālū Aqtulūhu 'Aw Ĥarriqūhu Fa'anjāhu Allāhu Mina An-Nāri 'Inna Fī Dhālika La'āyātin Liqawmin Yu'uminūna  | 24. Basi haikuwa jawabu ya watu wake ila ni kusema:
Muuweni au mchomeni moto! Mwenyezi Mungu akamwokoa na moto. Hakika katika
hayo zipo Ishara kwa watu wanao amini. | فَمَا كَانَ جَوَابَ قَوْمِهِ~ِ إِلاَّ أَنْ قَالُوا اقْتُلُوهُ~ُ أَوْ حَرِّقُوه ُُ فَأَنجَاهُ اللَّهُ مِنَ النَّارِ إِنَّ فِي ذَلِكَ لَآيَات ٍ لِقَوْم ٍ يُؤْمِنُونَ |
Wa Qāla 'Innamā Attakhadhtum Min Dūni Allāhi 'Awthānāan Mawaddata Baynikum Fī Al-Ĥayāati Ad-Dunyā Thumma Yawma Al-Qiyāmati Yakfuru Ba`đukum Biba`đin Wa Yal`anu Ba`đukum Ba`đāan Wa Ma'wākumu An-Nāru Wa Mā Lakum Min Nāşirīna  | 25. Na alisema: Hakika nyinyi mmeyashika masanamu
badala ya Mwenyezi Mungu kwa mapenzi yaliyo baina yenu katika uhai wa duniani.
Kisha Siku ya Kiyama mtakataana nyinyi kwa nyinyi, na mtalaaniana nyinyi
kwa nyinyi. Na makaazi yenu ni Motoni. Wala hamtapata wa kukunusuruni. | وَقَالَ إِنَّمَا اتَّخَذْتُمْ مِنْ دُونِ اللَّهِ أَوْثَانا ً مَوَدَّةَ بَيْنِكُمْ فِي الْحَيَاةِ الدُّنْيَا ثُمَّ يَوْمَ الْقِيَامَةِ يَكْفُرُ بَعْضُكُمْ بِبَعْض ٍ وَيَلْعَنُ بَعْضُكُمْ بَعْضا ً وَمَأْوَاكُمُ النَّارُ وَمَا لَكُمْ مِنْ نَاصِرِينَ |
Fa'āmana Lahu Lūţun Wa Qāla 'Innī Muhājirun 'Ilá Rabbī 'Innahu Huwa Al-`Azīzu Al-Ĥakīmu  | 26. Lut'i akamuamini, na akasema: Mimi nahamia
kwa Mola wangu Mlezi. Hakika Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima. | فَآمَنَ لَه ُُ لُوط ٌ وَقَالَ إِنِّي مُهَاجِر ٌ إِلَى رَبِّي إِنَّه ُُ هُوَ الْعَزِيزُ الْحَكِيمُ |
Wa Wahabnā Lahu 'Isĥāqa Wa Ya`qūba Wa Ja`alnā Fī Dhurrīyatihi An-Nubūwata Wa Al-Kitāba Wa 'Ātaynāhu 'Ajrahu Fī Ad-Dunyā Wa 'Innahu Fī Al-'Ākhirati Lamina Aş-Şāliĥīn  | 27. Na tulimtunukia (Ibrahim) Is-haq na Yaa'qub.
Na tukajaalia katika dhuriya zake Unabii na Kitabu, na tukampa ujira wake
katika dunia; naye hakika katika Akhera bila ya shaka ni katika watu wema. | وَوَهَبْنَا لَهُ~ُ إِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ وَجَعَلْنَا فِي ذُرِّيَّتِهِ النُّبُوَّةَ وَالْكِتَابَ وَآتَيْنَاهُ~ُ أَجْرَه ُُ فِي الدُّنْيَا وَإِنَّه ُُ فِي الآخِرَةِ لَمِنَ الصَّالِحِين |
Wa Lūţāan 'Idh Qāla Liqawmihi 'Innakum Lata'tūna Al-Fāĥishata Mā Sabaqakum Bihā Min 'Aĥadin Mina Al-`Ālamīna  | 28. Na pale Lut'i alipo waambia watu wake: Hakika
nyinyi mnafanya uchafu, ambao hapana mmoja katika walimwengu aliye kutangulieni
kwa hayo. | وَلُوطا ً إِذْ قَالَ لِقَوْمِهِ~ِ إِنَّكُمْ لَتَأْتُونَ الْفَاحِشَةَ مَا سَبَقَكُمْ بِهَا مِنْ أَحَد ٍ مِنَ الْعَالَمِينَ |
'A'innakum Lata'tūna Ar-Rijāla Wa Taqţa`ūna As-Sabīla Wa Ta'tūna Fī Nādīkumu Al-Munkara Famā Kāna Jawāba Qawmihi 'Illā 'An Qālū A'tinā Bi`adhābi Allāhi 'In Kunta Mina Aş-Şādiqīna  | 29. Je! Nyinyi mnawaingilia wanaume, na mnaikata
njia? Na katika mikutano yenu mnafanya maovu? Basi haikuwa jawabu ya watu
wake isipo kuwa kusema: Tuletee hiyo adhabu ya Mwenyezi Mungu ikiwa wewe
ni katika wasemao kweli. | أَئِنَّكُمْ لَتَأْتُونَ الرِّجَالَ وَتَقْطَعُونَ السَّبِيلَ وَتَأْتُونَ فِي نَادِيكُمُ الْمُنكَرَ فَمَا كَانَ جَوَابَ قَوْمِهِ~ِ إِلاَّ أَنْ قَالُوا ائْتِنَا بِعَذَابِ اللَّهِ إِنْ كُنتَ مِنَ الصَّادِقِينَ |
Qāla Rabbi Anşurnī `Alá Al-Qawmi Al-Mufsidīna  | 30. Akasema: Ewe Mola wangu Mlezi! Ninusuru na
watu mafisadi hawa! | قَالَ رَبِّ انصُرْنِي عَلَى الْقَوْمِ الْمُفْسِدِينَ |
Wa Lammā Jā'at Rusulunā 'Ibrāhīma Bil-Bushrá Qālū 'Innā Muhlikū 'Ahli Hadhihi Al-Qaryati 'Inna 'Ahlahā Kānū Žālimīna  | 31. Na wajumbe wetu walipo mjia Ibrahim na bishara,
walisema: Hakika sisi hapana shaka tutawahiliki watu wa mji huu, kwani
watu wake hakika wamekuwa madhaalimu. | وَلَمَّا جَاءَتْ رُسُلُنَا إِبْرَاهِيمَ بِالْبُشْرَى قَالُوا إِنَّا مُهْلِكُو أَهْلِ هَذِهِ الْقَرْيَةِ إِنَّ أَهْلَهَا كَانُوا ظَالِمِينَ |
Qāla 'Inna Fīhā Lūţāan Qālū Naĥnu 'A`lamu Biman Fīhā Lanunajjiyannahu Wa 'Ahlahu 'Illā Amra'atahu Kānat Mina Al-Ghābirīn  | 32. Akasema: Hakika humo yumo Lut'i. Wao wakasema:
Sisi tunajua zaidi nani yumo humo. Hapana shaka tutamwokoa yeye na ahali
zake, isipo kuwa mkewe aliye miongoni mwa watao kaa nyuma. | قَالَ إِنَّ فِيهَا لُوطا ً قَالُوا نَحْنُ أَعْلَمُ بِمَنْ فِيهَا لَنُنَجِّيَنَّه ُُ وَأَهْلَهُ~ُ إِلاَّ امْرَأَتَه ُُ كَانَتْ مِنَ الْغَابِرِين |
Wa Lammā 'An Jā'at Rusulunā Lūţāan Sī'a Bihim Wa Đāqa Bihim Dhar`āan Wa Qālū Lā Takhaf Wa Lā Taĥzan 'Innā Munajjūka Wa 'Ahlaka 'Illā Amra'ataka Kānat Mina Al-Ghābirīna  | 33. Na wajumbe wetu walipo mfikia Lut'i, alihuzunika
kwa ajili yao, na moyo uliona dhiki kwa ajili yao. Wakasema: Usiogope,
wala usihuzunike. Hakika sisi tutakuokoa wewe na ahali zako, ila mkeo aliye
miongoni mwa watao kaa nyuma. | وَلَمَّا أَنْ جَاءَتْ رُسُلُنَا لُوطا ً سِيءَ بِهِمْ وَضَاقَ بِهِمْ ذَرْعا ً وَقَالُوا لاَ تَخَفْ وَلاَ تَحْزَنْ إِنَّا مُنَجُّوكَ وَأَهْلَكَ إِلاَّ امْرَأَتَكَ كَانَتْ مِنَ الْغَابِرِينَ |
'Innā Munzilūna `Alá 'Ahli Hadhihi Al-Qaryati Rijzāan Mina As-Samā'i Bimā Kānū Yafsuqūna  | 34. Kwa yakini sisi tutawateremshia watu wa mji
huu adhabu kutoka mbinguni kwa sababu ya uchafu wanao ufanya. | إِنَّا مُنزِلُونَ عَلَى أَهْلِ هَذِهِ الْقَرْيَةِ رِجْزا ً مِنَ السَّمَاءِ بِمَا كَانُوا يَفْسُقُونَ |
Wa Laqad Taraknā Minhā 'Āyatan Bayyinatan Liqawmin Ya`qilūna  | 35. Na tumeacha katika mji huo Ishara ilio wazi
kwa watu wanao tumia akili zao. | وَلَقَد تَرَكْنَا مِنْهَا آيَة ً بَيِّنَة ً لِقَوْم ٍ يَعْقِلُونَ |
Wa 'Ilá Madyana 'Akhāhum Shu`aybāan Faqāla Yā Qawmi A`budū Allāha Wa Arjū Al-Yawma Al-'Ākhira Wa Lā Ta`thaw Fī Al-'Arđi Mufsidīn  | 36. Na kwa Madyana tulimtuma ndugu yao Shuaibu,
naye akasema: Enyi watu wangu! Muabuduni Mwenyezi Mungu na iogopeni Siku
ya Akhera, wala msende katika ardhi mkifisidi. | وَإِلَى مَدْيَنَ أَخَاهُمْ شُعَيْبا ً فَقَالَ يَاقَوْمِ اعْبُدُوا اللَّهَ وَارْجُوا الْيَوْمَ الآخِرَ وَلاَ تَعْثَوْا فِي الأَرْضِ مُفْسِدِين |
Fakadhdhabūhu Fa'akhadhat/humu Ar-Rajfatu Fa'aşbaĥū Fī Dārihim Jāthimīna  | 37. Lakini walimkanusha basi ukawatwaa mtikiso
wa ardhi, wakapambazukiwa ndani ya nyumba zao nao wamefudikia. | فَكَذَّبُوه ُُ فَأَخَذَتْهُمُ الرَّجْفَةُ فَأَصْبَحُوا فِي دَارِهِمْ جَاثِمِينَ |
Wa `Ādāan Wa Thamūda Wa Qad Tabayyana Lakum Min Masākinihim Wa Zayyana Lahumu Ash-Shayţānu 'A`mālahum Faşaddahum `Ani As-Sabīli Wa Kānū Mustabşirīna  | 38. Na pia kina A'di na Thamud. Nanyi yamekwisha
kubainikieni kutokana na maskani zao. Na Shet'ani aliwapambia vitendo vyao,
na akawazuilia Njia, na hali walikuwa wenye kuona. | وَعَادا ً وَثَمُودَ وَقَدْ تَبَيَّنَ لَكُمْ مِنْ مَسَاكِنِهِمْ وَزَيَّنَ لَهُمُ الشَّيْطَانُ أَعْمَالَهُمْ فَصَدَّهُمْ عَنِ السَّبِيلِ وَكَانُوا مُسْتَبْصِرِينَ |
Wa Qārūna Wa Fir`awna Wa Hāmāna Wa Laqad Jā'ahum Mūsá Bil-Bayyināti Fāstakbarū Fī Al-'Arđi Wa Mā Kānū Sābiqīna  | 39. Na pia Qaruni na Firauni na Hamana! Na Musa
aliwajia kwa Ishara waziwazi, lakini walijivuna katika nchi, wala hawakuweza
kushinda. | وَقَارُونَ وَفِرْعَوْنَ وَهَامَانَ وَلَقَدْ جَاءَهُمْ مُوسَى بِالْبَيِّنَاتِ فَاسْتَكْبَرُوا فِي الأَرْضِ وَمَا كَانُوا سَابِقِينَ |
Fakullāan 'Akhadhnā Bidhanbihi Faminhum Man 'Arsalnā `Alayhi Ĥāşibāan Wa Minhum Man 'Akhadhat/hu Aş-Şayĥatu Wa Minhum Man Khasafnā Bihi Al-'Arđa Wa Minhum Man 'Aghraqnā Wa Mā Kāna Allāhu Liyažlimahum Wa Lakin Kānū 'Anfusahum Yažlimūna  | 40. Basi kila mmoja tulimtesa kwa mujibu wa makosa
yake. Kati yao wapo tulio wapelekea kimbunga cha changarawe; na kati yao
wapo walio nyakuliwa na ukelele; na kati yao wapo ambao tulio wadidimiza
katika ardhi; na kati yao wapo tulio wazamisha. Wala Mwenyezi Mungu hakuwa
mwenye kuwadhulumu, lakini walikuwa wenyewe wakijidhulumu nafsi zao. | فَكُلّاً أَخَذْنَا بِذَنْبِه ِِ فَمِنْهُمْ مَنْ أَرْسَلْنَا عَلَيْهِ حَاصِبا ً وَمِنْهُمْ مَنْ أَخَذَتْهُ الصَّيْحَةُ وَمِنْهُمْ مَنْ خَسَفْنَا بِهِ الأَرْضَ وَمِنْهُمْ مَنْ أَغْرَقْنَا وَمَا كَانَ اللَّهُ لِيَظْلِمَهُمْ وَلَكِنْ كَانُوا أَنْفُسَهُمْ يَظْلِمُونَ |
Mathalu Al-Ladhīna Attakhadhū Min Dūni Allāhi 'Awliyā'a Kamathali Al-`Ankabūti Attakhadhat Baytāan Wa 'Inna 'Awhana Al-Buyūti Labaytu Al-`Ankabūti Law Kānū Ya`lamūna  | 41. Mfano wa walio wafanya walinzi badala ya
Mwenyezi Mungu, ni mfano wa buibui alivyo jitandia nyumba. Na hakika nyumba
dhaifu mno kuliko zote ni jumba la buibui, laiti kuwa wanajua. | مَثَلُ الَّذِينَ اتَّخَذُوا مِنْ دُونِ اللَّهِ أَوْلِيَاءَ كَمَثَلِ الْعَنكَبُوتِ اتَّخَذَتْ بَيْتا ً وَإِنَّ أَوْهَنَ الْبُيُوتِ لَبَيْتُ الْعَنْكَبُوتِ لَوْ كَانُوا يَعْلَمُونَ |
'Inna Allāha Ya`lamu Mā Yad`ūna Min Dūnihi Min Shay'in Wa Huwa Al-`Azīzu Al-Ĥakīmu  | 42. Kwa hakika Mwenyezi Mungu anajua kila kitu
wanacho kiomba badala yake Yeye. Na Yeye ndiye Mtukufu Mwenye nguvu Mwenye
hikima. | إِنَّ اللَّهَ يَعْلَمُ مَا يَدْعُونَ مِنْ دُونِه ِِ مِنْ شَيْء ٍ وَهُوَ الْعَزِيزُ الْحَكِيمُ |
Wa Tilka Al-'Amthālu Nađribuhā Lilnnāsi Wa Mā Ya`qiluhā 'Illā Al-`Ālimūna  | 43. Na hiyo ni mifano tunawapigia watu, na hawaifahamu
ila wenye ilimu. | وَتِلْكَ الأَمْثَالُ نَضْرِبُهَا لِلنَّاسِ وَمَا يَعْقِلُهَا إِلاَّ الْعَالِمُونَ |
Khalaqa Allāhu As-Samāwāti Wa Al-'Arđa Bil-Ĥaqqi 'Inna Fī Dhālika La'āyatan Lilmu'uminīna  | 44. Mwenyezi Mungu ameumba mbingu na ardhi kwa
Haki. Kwa hakika katika hayo ipo Ishara kwa Waumini. | خَلَقَ اللَّهُ السَّمَاوَاتِ وَالأَرْضَ بِالْحَقِّ إِنَّ فِي ذَلِكَ لَآيَة ً لِلْمُؤْمِنِينَ |
Atlu Mā 'Ūĥiya 'Ilayka Mina Al-Kitābi Wa 'Aqimu Aş-Şalāata 'Inna Aş-Şalāata Tanhá `Ani Al-Faĥshā'i Wa Al-Munkari Wa Ladhikru Allāhi 'Akbaru Wa Allāhu Ya`lamu Mā Taşna`ūna  | 45. SOMA uliyo funuliwa katika Kitabu, na ushike
Sala. Hakika Sala inazuilia mambo machafu na maovu. Na kwa yakini kumdhukuru
Mwenyezi Mungu ndilo jambo kubwa kabisa. Na Mwenyezi Mungu anayajua mnayo
yatenda. | اتْلُ مَا أُوحِيَ إِلَيْكَ مِنَ الْكِتَابِ وَأَقِمُ الصَّلاَةَ إِنَّ الصَّلاَةَ تَنْهَى عَنِ الْفَحْشَاءِ وَالْمُنْكَرِ وَلَذِكْرُ اللَّهِ أَكْبَرُ وَاللَّهُ يَعْلَمُ مَا تَصْنَعُونَ |
Wa Lā Tujādilū 'Ahla Al-Kitābi 'Illā Bi-Atī Hiya 'Aĥsanu 'Illā Al-Ladhīna Žalamū Minhum Wa Qūlū 'Āmannā Bial-Ladhī 'Unzila 'Ilaynā Wa 'Unzila 'Ilaykum Wa 'Ilahunā Wa 'Ilahukum Wāĥidun Wa Naĥnu Lahu Muslimūna  | 46. Wala msijadiliane na Watu wa Kitabu ila kwa
njia iliyo nzuri kabisa, isipo kuwa wale walio dhulumu miongoni mwao. Na
semeni: Tumeyaamini yaliyo teremshwa kwetu na yaliyo teremshwa kwenu. Na
Mungu wetu na Mungu wenu ni Mmoja. Na sisi ni wenye kusilimu kwake. | وَلاَ تُجَادِلُوا أَهْلَ الْكِتَابِ إِلاَّ بِالَّتِي هِيَ أَحْسَنُ إِلاَّ الَّذِينَ ظَلَمُوا مِنْهُمْ وَقُولُوا آمَنَّا بِالَّذِي أُنْزِلَ إِلَيْنَا وَأُنْزِلَ إِلَيْكُمْ وَإِلَهُنَا وَإِلَهُكُمْ وَاحِد ٌ وَنَحْنُ لَه ُُ مُسْلِمُونَ |
Wa Kadhalika 'Anzalnā 'Ilayka Al-Kitāba Fa-Al-Ladhīna 'Ātaynāhumu Al-Kitāba Yu'uminūna Bihi Wa Min Hā'uulā' Man Yu'uminu Bihi Wa Mā Yajĥadu Bi'āyātinā 'Illā Al-Kāfirūna  | 47. Na namna hivi tumekuteremshia Kitabu (cha
Qur'ani). Basi wale tulio wapa Kitabu (cha Biblia) wataiamini (Qur'ani),
na miongoni mwa hawa (washirikina) wapo watakao iamini. Na hawazikatai
Ishara zetu isipo kuwa makafiri. | وَكَذَلِكَ أَنْزَلْنَا إِلَيْكَ الْكِتَابَ فَالَّذِينَ آتَيْنَاهُمُ الْكِتَابَ يُؤْمِنُونَ بِه ِِ وَمِنْ هَاؤُلاَء مَنْ يُؤْمِنُ بِه ِِ وَمَا يَجْحَدُ بِآيَاتِنَا إِلاَّ الْكَافِرُونَ |
Wa Mā Kunta Tatlū Min Qablihi Min Kitābin Wa Lā Takhuţţuhu Biyamīnika 'Idhāan Lārtāba Al-Mubţilūna  | 48. Na wewe hukuwa kabla yake unasoma kitabu
chochote, wala hukukiandika kwa mkono wako wa kulia. Ingeli kuwa hivyo
wangeli fanya shaka wavunjifu. | وَمَا كُنْتَ تَتْلُو مِنْ قَبْلِه ِِ مِنْ كِتَاب ٍ وَلاَ تَخُطُّه ُُ بِيَمِينِكَ إِذا ً لاَرْتَابَ الْمُبْطِلُونَ |
Bal Huwa 'Āyātun Bayyinātun Fī Şudūri Al-Ladhīna 'Ūtū Al-`Ilma Wa Mā Yajĥadu Bi'āyātinā 'Illā Až-Žālimūna  | 49. Bali hii (Qur'ani) ni Ishara zilizo wazi
katika vifua vya walio pewa ilimu. Na hawazikatai Ishara zetu isipo kuwa
wenye kudhulumu. | بَلْ هُوَ آيَات ٌ بَيِّنَات ٌ فِي صُدُورِ الَّذِينَ أُوتُوا الْعِلْمَ وَمَا يَجْحَدُ بِآيَاتِنَا إِلاَّ الظَّالِمُونَ |
Wa Qālū Lawlā 'Unzila `Alayhi 'Āyātun Min Rabbihi Qul 'Innamā Al-'Āyātu `Inda Allāhi Wa 'Innamā 'Anā Nadhīrun Mubīnun  | 50. Na walisema: Mbona hakuteremshiwa Ishara
kutoka kwa Mola wake Mlezi? Sema: Ishara ziko kwake Mwenyezi Mungu; ama
mimi kwa hakika ni mwonyaji mwenye kubainisha tu. | وَقَالُوا لَوْلاَ أُنْزِلَ عَلَيْهِ آيَات ٌ مِنْ رَبِّه ِِ قُلْ إِنَّمَا الآيَاتُ عِنْدَ اللَّهِ وَإِنَّمَا أَنَا نَذِير ٌ مُبِين ٌ |
'Awalam Yakfihim 'Annā 'Anzalnā `Alayka Al-Kitāba Yutlá `Alayhim 'Inna Fī Dhālika Laraĥmatan Wa Dhikrá Liqawmin Yu'uminūna  | 51. Je! Kwani hayakuwatosha ya kwamba tumekuteremshia
Kitabu hiki wanacho somewa? Hakika katika hayo zipo rehema na mawaidha
kwa watu wanao amini. | أَوَلَمْ يَكْفِهِمْ أَنَّا أَنْزَلْنَا عَلَيْكَ الْكِتَابَ يُتْلَى عَلَيْهِمْ إِنَّ فِي ذَلِكَ لَرَحْمَة ً وَذِكْرَى لِقَوْم ٍ يُؤْمِنُونَ |
Qul Kafá Billāhi Baynī Wa Baynakum Shahīdāan Ya`lamu Mā Fī As-Samāwāti Wa Al-'Arđi Wa Al-Ladhīna 'Āmanū Bil-Bāţili Wa Kafarū Billāhi 'Ūlā'ika Humu Al-Khāsirūna  | 52. Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa ni Shahidi
baina yangu na nyinyi. Anayajua yaliomo katika mbingu na ardhi. Na wale
wanao amini upotovu na wakamkataa Mwenyezi Mungu, hao ndio walio khasiri. | قُلْ كَفَى بِاللَّهِ بَيْنِي وَبَيْنَكُمْ شَهِيدا ً يَعْلَمُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَالأَرْضِ وَالَّذِينَ آمَنُوا بِالْبَاطِلِ وَكَفَرُوا بِاللَّهِ أُوْلَائِكَ هُمُ الْخَاسِرُونَ |
Wa Yasta`jilūnaka Bil-`Adhābi Wa Lawlā 'Ajalun Musammáan Lajā'ahumu Al-`Adhābu Wa Laya'tiyannahum Baghtatan Wa Hum Lā Yash`urūna  | 53. Na wanakuhimiza waletewe adhabu kwa haraka.
Na lau kuwa hapana wakati maalumu ulio wekwa, basi adhabu ingeli wajia,
na ingeli watokea kwa ghafla, na hali wao hawana khabari. | وَيَسْتَعْجِلُونَكَ بِالْعَذَابِ وَلَوْلاَ أَجَل ٌ مُسَمّى ً لَجَاءَهُمُ الْعَذَابُ وَلَيَأْتِيَنَّهُمْ بَغْتَة ً وَهُمْ لاَ يَشْعُرُونَ |
Yasta`jilūnaka Bil-`Adhābi Wa 'Inna Jahannama Lamuĥīţatun Bil-Kāfirīna  | 54. Wanakuhimiza waletewe adhabu kwa haraka,
na hali Jahannamu kwa hakika imewazunguka makafiri! | يَسْتَعْجِلُونَكَ بِالْعَذَابِ وَإِنَّ جَهَنَّمَ لَمُحِيطَة ٌ بِالْكَافِرِينَ |
Yawma Yaghshāhumu Al-`Adhābu Min Fawqihim Wa Min Taĥti 'Arjulihim Wa Yaqūlu Dhūqū Mā Kuntum Ta`malūna  | 55. Siku itapo wafunika adhabu hiyo kutoka juu
yao na chini ya miguu yao, na atasema: Onjeni hayo mliyo kuwa mkiyatenda! | يَوْمَ يَغْشَاهُمُ الْعَذَابُ مِنْ فَوْقِهِمْ وَمِنْ تَحْتِ أَرْجُلِهِمْ وَيَقُولُ ذُوقُوا مَا كُنْتُمْ تَعْمَلُونَ |
Yā `Ibādiya Al-Ladhīna 'Āmanū 'Inna 'Arđī Wāsi`atun Fa'īyāya Fā`budūni  | 56. Enyi waja wangu mlio amini! Kwa hakika ardhi
yangu ina wasaa. Basi niabuduni Mimi peke yangu. | يَاعِبَادِيَ الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّ أَرْضِي وَاسِعَة ٌ فَإِيَّايَ فَاعْبُدُونِ |
Kullu Nafsin Dhā'iqatu Al-Mawti Thumma 'Ilaynā Turja`ūna  | 57. Kila nafsi itaonja mauti. Kisha mtarudishwa
kwetu. | كُلُّ نَفْس ٍ ذَائِقَةُ الْمَوْتِ ثُمَّ إِلَيْنَا تُرْجَعُونَ |
Wa Al-Ladhīna 'Āmanū Wa `Amilū Aş-Şāliĥāti Lanubawwi'annahum Mina Al-Jannati Ghurafāan Tajrī Min Taĥtihā Al-'Anhāru Khālidīna Fīhā Ni`ma 'Ajru Al-`Āmilīna  | 58. Na ambao wameamini na wakatenda mema, bila
ya shaka tutawaweka katika maghorofa ya Peponi yenye kupitiwa chini yake
mito, wakidumu humo. Ni mwema ulioje huo ujira wa watendao, | وَالَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ لَنُبَوِّئَنَّهُمْ مِنَ الْجَنَّةِ غُرَفا ً تَجْرِي مِنْ تَحْتِهَا الأَنْهَارُ خَالِدِينَ فِيهَا نِعْمَ أَجْرُ الْعَامِلِينَ |
Al-Ladhīna Şabarū Wa `Alá Rabbihim Yatawakkalūna  | 59.
Ambao walisubiri, na wakamtegemea Mola wao Mlezi. | الَّذِينَ صَبَرُوا وَعَلَى رَبِّهِمْ يَتَوَكَّلُونَ |
Wa Ka'ayyin Min Dābbatin Lā Taĥmilu Rizqahā Allāhu Yarzuquhā Wa 'Īyākum Wa Huwa As-Samī`u Al-`Alīmu  | 60. Na wanyama wangapi hawawezi kujimilikia riziki
zao! Mwenyezi Mungu anawaruzuku hao na nyinyi pia. Na Yeye ndiye Mwenye
kusikia Mwenye kujua. | وَكَأَيِّن مِنْ دَابَّة ٍ لاَ تَحْمِلُ رِزْقَهَا اللَّهُ يَرْزُقُهَا وَإِيَّاكُمْ وَهُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ |
Wa La'in Sa'altahum Man Khalaqa As-Samāwāti Wa Al-'Arđa Wa Sakhkhara Ash-Shamsa Wa Al-Qamara Layaqūlunna Allāhu Fa'annā Yu'ufakūna  | 61. Na ukiwauliza; Nani aliye umba mbingu na
ardhi na akafanya jua na mwezi kuti'ii amri yake? Bila ya shaka, watasema:
Mwenyezi Mungu. Wapi basi wanako geuzwa? | وَلَئِنْ سَأَلْتَهُمْ مَنْ خَلَقَ السَّمَاوَاتِ وَالأَرْضَ وَسَخَّرَ الشَّمْسَ وَالْقَمَرَ لَيَقُولُنَّ اللَّهُ فَأَنَّا يُؤْفَكُونَ |
Allāhu Yabsuţu Ar-Rizqa Liman Yashā'u Min `Ibādihi Wa Yaqdiru Lahu 'Inna Allāha Bikulli Shay'in `Alīmun  | 62. Mwenyezi Mungu humkunjulia, na humdhikishia,
riziki amtakaye katika waja wake. Kwa hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa
kila kitu. | اللَّهُ يَبْسُطُ الرِّزْقَ لِمَنْ يَشَاءُ مِنْ عِبَادِه ِِ وَيَقْدِرُ لَهُ~ُ إِنَّ اللَّهَ بِكُلِّ شَيْءٍ عَلِيم ٌ |
| Wa La'in Sa'altahum Man Nazzala Mina As-Samā'i Mā'an Fa'aĥyā Bihi Al-'Arđa Min Ba`di Mawtihā Layaqūlunna All |