Sūratun 'Anzalnāhā Wa Farađnāhā Wa 'Anzalnā Fīhā 'Āyātin Bayyinātin La`allakum Tadhakkarūna  | 1. HII NI SURA Tuliyo iteremsha na tukailazimisha;
tukateremsha ndani yake Aya zilizo wazi ili mkumbuke. | سُورَةٌ أَنزَلْنَاهَا وَفَرَضْنَاهَا وَأَنزَلْنَا فِيهَا آيَات ٍ بَيِّنَات ٍ لَعَلَّكُمْ تَذَكَّرُونَ |
Az-Zāniyatu Wa Az-Zānī Fājlidū Kulla Wāĥidin Minhumā Miā'ata Jaldatin Wa Lā Ta'khudhkum Bihimā Ra'fatun Fī Dīni Allāhi 'In Kuntum Tu'uminūna Billāhi Wa Al-Yawmi Al-'Ākhiri Wa Līash/had `Adhābahumā Ţā'ifatun Mina Al-Mu'uminīna  | 2. Mzinifu mwanamke na mzinifu mwanamume, mtandikeni
kila mmoja katika wao bakora mia. Wala isikushikeni huruma kwa ajili yao
katika hukumu ya Mwenyezi Mungu, ikiwa nyinyi mnamuamini Mwenyezi Mungu
na Siku ya Mwisho. Na lishuhudie adhabu yao kundi la Waumini. | الزَّانِيَةُ وَالزَّانِي فَاجْلِدُوا كُلَّ وَاحِد ٍ مِنْهُمَا مِائَةَ جَلْدَة ٍ وَلاَ تَأْخُذْكُمْ بِهِمَا رَأْفَة ٌ فِي دِينِ اللَّهِ إِنْ كُنتُمْ تُؤْمِنُونَ بِاللَّهِ وَالْيَوْمِ الآخِرِ وَلْيَشْهَدْ عَذَابَهُمَا طَائِفَة ٌ مِنَ الْمُؤْمِنِينَ |
Az-Zānī Lā Yankiĥu 'Illā Zāniyatan 'Aw Mushrikatan Wa Az-Zāniyatu Lā Yankiĥuhā 'Illā Zānin 'Aw Mushrikun Wa Ĥurrima Dhālika `Alá Al-Mu'uminīna  | 3. Mwanamume mzinifu hamwoi ila mwanamke mzinifu
au mwanamke mshirikina. Na mwanamke mzinifu haolewi ila na mwanamume mzinifu
au mshirikina. Na hayo yameharimishwa kwa Waumini. | الزَّانِي لاَ يَنكِحُ إلاَّ زَانِيَةً أَوْ مُشْرِكَة ً وَالزَّانِيَةُ لاَ يَنكِحُهَا إِلاَّ زَانٍ أَوْ مُشْرِك ٌ وَحُرِّمَ ذَلِكَ عَلَى الْمُؤْمِنِينَ |
Wa Al-Ladhīna Yarmūna Al-Muĥşanāti Thumma Lam Ya'tū Bi'arba`ati Shuhadā'a Fājlidūhum Thamānīna Jaldatan Wa Lā Taqbalū Lahum Shahādatan 'Abadāan Wa 'Ūlā'ika Humu Al-Fāsiqūna  | 4. Na wanao wasingizia wanawake mahashumu, kisha
wasilete mashahidi wane, basi watandikeni bakora thamanini, na msiwakubalie
ushahidi wao tena. Na hao ndio wapotovu. | وَالَّذِينَ يَرْمُونَ الْمُحْصَنَاتِ ثُمَّ لَمْ يَأْتُوا بِأَرْبَعَةِ شُهَدَاءَ فَاجْلِدُوهُمْ ثَمَانِينَ جَلْدَة ً وَلاَ تَقْبَلُوا لَهُمْ شَهَادَةً أَبَدا ً وَأُوْلَائِكَ هُمُ الْفَاسِقُونَ |
'Illā Al-Ladhīna Tābū Min Ba`di Dhālika Wa 'Aşlaĥū Fa'inna Allāha Ghafūrun Raĥīmun  | 5. Isipo kuwa wale walio tubu baada ya hayo na
wakatengenea; kwani bila ya shaka Mwenyezi Mungu ni Msamehevu, Mwenye kurehemu. | إِلاَّ الَّذِينَ تَابُوا مِنْ بَعْدِ ذَلِكَ وَأَصْلَحُوا فَإِنَّ اللَّهَ غَفُور ٌ رَحِيم ٌ |
Wa Al-Ladhīna Yarmūna 'Azwājahum Wa Lam Yakun Lahum Shuhadā'u 'Illā 'Anfusuhum Fashahādatu 'Aĥadihim 'Arba`u Shahādātin Billāhi 'Innahu Lamina Aş-Şādiqīna  | 6. Na wale wanao wasingizia wake zao na hawana
mashahidi ila nafsi zao, basi ushahidi wa mmoja wao utakuwa kushuhudilia
mara nne kwa kiapo cha Mwenyezi Mungu ya kwamba hakika yeye ni katika wasema
kweli. | وَالَّذِينَ يَرْمُونَ أَزْوَاجَهُمْ وَلَمْ يَكُنْ لَهُمْ شُهَدَاءُ إِلاَّ أَنفُسُهُمْ فَشَهَادَةُ أَحَدِهِمْ أَرْبَعُ شَهَادَات ٍ بِاللَّهِ إِنَّه ُُ لَمِنَ الصَّادِقِينَ |
Wa Al-Khāmisatu 'Anna La`nata Allāhi `Alayhi 'In Kāna Mina Al-Kādhibīna  | 7. Na mara ya tano kwamba laana ya Mwenyezi Mungu
iwe juu yake ikiwa ni miongoni mwa waongo. | وَالْخَامِسَةُ أَنَّ لَعْنَةَ اللَّهِ عَلَيْهِ إِنْ كَانَ مِنَ الْكَاذِبِينَ |
Wa Yadra'u `Anhā Al-`Adhāba 'An Tash/hada 'Arba`a Shahādātin Billāhi 'Innahu Lamina Al-Kādhibīna  | 8. Na mke itamwondokea adhabu kwa kutoa shahada
mara nne kwa kiapo cha Mwenyezi Mungu ya kwamba huyu mume ni miongoni mwa
waongo. | وَيَدْرَأُ عَنْهَا الْعَذَابَ أَنْ تَشْهَدَ أَرْبَعَ شَهَادَات ٍ بِاللَّهِ إِنَّه ُُ لَمِنَ الْكَاذِبِينَ |
Wa Al-Khāmisata 'Anna Ghađaba Allāhi `Alayhā 'In Kāna Mina Aş-Şādiqīna  | 9. Na mara ya tano ya kwamba ghadhabu ya Mwenyezi
Mungu iwe juu yake kama mumewe yu miongoni mwa wanao sema kweli. | وَالْخَامِسَةَ أَنَّ غَضَبَ اللَّهِ عَلَيْهَا إِنْ كَانَ مِنَ الصَّادِقِينَ |
Wa Lawlā Fađlu Allāhi `Alaykum Wa Raĥmatuhu Wa 'Anna Allāha Tawwābun Ĥakīmun  | 10. Na lau kuwa si fadhila ya Mwenyezi Mungu
juu yenu na rehema yake, na ya kuwa Mwenyezi Mungu ni Mpokeaji toba.... | وَلَوْلاَ فَضْلُ اللَّهِ عَلَيْكُمْ وَرَحْمَتُه ُُ وَأَنَّ اللَّهَ تَوَّابٌ حَكِيم ٌ |
'Inna Al-Ladhīna Jā'ū Bil-'Ifki `Uşbatun Minkum Lā Taĥsabūhu Sharrāan Lakum Bal Huwa Khayrun Lakum Likulli Amri'in Minhum Mā Aktasaba Mina Al-'Ithmi Wa Al-Ladhī Tawallá Kibrahu Minhum Lahu `Adhābun `Ažīmun  | 11. Hakika wale walio leta uwongo ni kundi miongoni
mwenu. Msifikiri ni shari kwenu, bali hiyo ni kheri kwenu. Kila mtu katika
wao atapata aliyo yachuma katika madhambi. Na yule aliyejitwika sehemu
yake kubwa miongoni mwao, atapata adhabu kubwa. | إِنَّ الَّذِينَ جَاءُوا بِالإِفْكِ عُصْبَة ٌ مِنْكُمْ لاَ تَحْسَبُوه ُُ شَرّا ً لَكُمْ بَلْ هُوَ خَيْر ٌ لَكُمْ لِكُلِّ امْرِئ ٍ مِنْهُمْ مَا اكْتَسَبَ مِنَ الإِثْمِ وَالَّذِي تَوَلَّى كِبْرَه ُُ مِنْهُمْ لَه ُُ عَذَابٌ عَظِيم ٌ |
Lawlā 'Idh Sami`tumūhu Žanna Al-Mu'uminūna Wa Al-Mu'uminātu Bi'anfusihim Khayrāan Wa Qālū Hādhā 'Ifkun Mubīnun  | 12. Kwa nini mlipo sikia khabari hii, wanaume
Waumini na wanawake Waumini hawakuwadhania wenzao mema, na kusema: Huu
ni uzushi dhaahiri? | لَوْلاَ إِذْ سَمِعْتُمُوه ُُ ظَنَّ الْمُؤْمِنُونَ وَالْمُؤْمِنَاتُ بِأَنفُسِهِمْ خَيْرا ً وَقَالُوا هَذَا إِفْك ٌ مُبِين ٌ |
Lawlā Jā'ū `Alayhi Bi'arba`ati Shuhadā'a Fa'idh Lam Ya'tū Bish-Shuhadā'i Fa'ūlā'ika `Inda Allāhi Humu Al-Kādhibūna  | 13. Kwa nini hawakuleta mashahidi wane? Na ilivyo
kuwa hawakuleta mashahidi wane basi hao mbele ya Mwenyezi Mungu ni waongo. | لَوْلاَ جَاءُوا عَلَيْهِ بِأَرْبَعَةِ شُهَدَاءَ فَإِذْ لَمْ يَأْتُوا بِالشُّهَدَاءِ فَأُوْلَائِكَ عِنْدَ اللَّهِ هُمُ الْكَاذِبُونَ |
Wa Lawlā Fađlu Allāhi `Alaykum Wa Raĥmatuhu Fī Ad-Dunyā Wa Al-'Ākhirati Lamassakum Fī Mā 'Afađtum Fīhi `Adhābun `Ažīmun  | 14. Na lau kuwa si fadhila ya Mwenyezi Mungu
juu yenu na rehema yake katika dunia na Akhera, bila ya shaka ingeli kupateni
adhabu kubwa kwa sababu ya yale mliyo jiingiza. | وَلَوْلاَ فَضْلُ اللَّهِ عَلَيْكُمْ وَرَحْمَتُه ُُ فِي الدُّنْيَا وَالآخِرَةِ لَمَسَّكُمْ فِي مَا أَفَضْتُمْ فِيه ِِ عَذَابٌ عَظِيم ٌ |
'Idh Talaqqawnahu Bi'alsinatikum Wa Taqūlūna Bi'afwāhikum Mā Laysa Lakum Bihi `Ilmun Wa Taĥsabūnahu Hayyināan Wa Huwa `Inda Allāhi `Ažīmun  | 15. Mlipo yapokea kwa ndimi zenu na mkasema kwa
vinywa vyenu msiyo yajua, na mlifikiri ni jambo dogo, kumbe mbele ya Mwenyezi
Mungu ni kubwa. | إِذْ تَلَقَّوْنَه ُُ بِأَلْسِنَتِكُمْ وَتَقُولُونَ بِأَفْوَاهِكُمْ مَا لَيْسَ لَكُمْ بِه ِِ عِلْم ٌ وَتَحْسَبُونَه ُُ هَيِّنا ً وَهُوَ عِنْدَ اللَّهِ عَظِيم ٌ |
Wa Lawlā 'Idh Sami`tumūhu Qultum Mā Yakūnu Lanā 'An Natakallama Bihadhā Subĥānaka Hādhā Buhtānun `Ažīmun  | 16. Na kwa nini mlipo yasikia msiseme: Haitufalii
kuzungumza haya. Subhanak Umetakasika! Huu ni uzushi mkubwa! | وَلَوْلاَ إِذْ سَمِعْتُمُوه ُُ قُلْتُمْ مَا يَكُونُ لَنَا أَنْ نَتَكَلَّمَ بِهَذَا سُبْحَانَكَ هَذَا بُهْتَانٌ عَظِيم ٌ |
Ya`ižukumu Allāhu 'An Ta`ūdū Limithlihi 'Abadāan 'In Kuntum Mu'uminīna  | 17. Mwenyezi Mungu anakuonyeni msirejee tena
kufanya kama haya kabisa, ikiwa nyinyi ni Waumini! | يَعِظُكُمُ اللَّهُ أَنْ تَعُودُوا لِمِثْلِهِ~ِ أَبَدا ً إِنْ كُنتُمْ مُؤْمِنِينَ |
Wa Yubayyinu Allāhu Lakumu Al-'Āyāti Wa Allāhu `Alīmun Ĥakīmun  | 18. Na Mwenyezi Mungu anakubainisheni Aya. Na
Mwenyezi Mungu ni Mjuzi Mwenye hikima. | وَيُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمُ الآيَاتِ وَاللَّهُ عَلِيمٌ حَكِيم ٌ |
'Inna Al-Ladhīna Yuĥibbūna 'An Tashī`a Al-Fāĥishatu Fī Al-Ladhīna 'Āmanū Lahum `Adhābun 'Alīmun Fī Ad-Dunyā Wa Al-'Ākhirati Wa Allāhu Ya`lamu Wa 'Antum Lā Ta`lamūna  | 19. Kwa hakika wale wanao penda uenee uchafu
kwa walio amini, watapata adhabu chungu katika dunia na Akhera. Na Mwenyezi
Mungu anajua na nyinyi hamjui. | إِنَّ الَّذِينَ يُحِبُّونَ أَنْ تَشِيعَ الْفَاحِشَةُ فِي الَّذِينَ آمَنُوا لَهُمْ عَذَابٌ أَلِيم ٌ فِي الدُّنْيَا وَالآخِرَةِ وَاللَّهُ يَعْلَمُ وَأَنْتُمْ لاَ تَعْلَمُونَ |
Wa Lawlā Fađlu Allāhi `Alaykum Wa Raĥmatuhu Wa 'Anna Allāha Ra'ūfun Raĥīm  | 20. Na lau kuwa si fadhila ya Mwenyezi Mungu
juu yenu na rehema yake, na kuwa hakika Mwenyezi Mungu ni Mpole, Mwenye
kurehemu.... | وَلَوْلاَ فَضْلُ اللَّهِ عَلَيْكُمْ وَرَحْمَتُه ُُ وَأَنَّ اللَّهَ رَءُوف ٌ رَحِيم |
Yā 'Ayyuhā Al-Ladhīna 'Āmanū Lā Tattabi`ū Khuţuwāti Ash-Shayţāni Wa Man Yattabi` Khuţuwāti Ash-Shayţāni Fa'innahu Ya'muru Bil-Faĥshā'i Wa Al-Munkari Wa Lawlā Fađlu Allāhi `Alaykum Wa Raĥmatuhu Mā Zakā Minkum Min 'Aĥadin 'Abadāan Wa Lakinna Allāha Yuzakkī Man Yashā'u Wa Allāhu Samī`un `Alīmun  | 21. Enyi mlio amini! Msizifuate nyayo za Shet'ani.
Na atakaye fuata nyayo za Shet'ani basi yeye huamrisha machafu na maovu.
Na lau kuwa si fadhila ya Mwenyezi Mungu na rehema yake juu yenu, asingeli
takasika miongoni mwenu kabisa hata mmoja. Lakini Mwenyezi Mungu humtakasa
amtakaye, na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua. | يَاأَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لاَ تَتَّبِعُوا خُطُوَاتِ الشَّيْطَانِ وَمَنْ يَتَّبِعْ خُطُوَاتِ الشَّيْطَانِ فَإِنَّه ُُ يَأْمُرُ بِالْفَحْشَاءِ وَالْمُنْكَرِ وَلَوْلاَ فَضْلُ اللَّهِ عَلَيْكُمْ وَرَحْمَتُه ُُ مَا زَكَا مِنْكُمْ مِنْ أَحَدٍ أَبَدا ً وَلَكِنَّ اللَّهَ يُزَكِّي مَنْ يَشَاءُ وَاللَّهُ سَمِيعٌ عَلِيم ٌ |
Wa Lā Ya'tali 'Ūlū Al-Fađli Minkum Wa As-Sa`ati 'An Yu'utū 'Ūlī Al-Qurbá Wa Al-Masākīna Wa Al-Muhājirīna Fī Sabīli Allāhi Wa Līa`fū Wa Līaşfaĥū 'Alā Tuĥibbūna 'An Yaghfira Allāhu Lakum Wa Allāhu Ghafūrun Raĥīmun  | 22. Na wale katika nyinyi wenye fadhila na wasaa
wasiape kutowapa jamaa zao na masikini na walio hama kwa Njia ya Mwenyezi
Mungu. Na wasamehe, na waachilie mbali. Je! Nyinyi hampendi Mwenyezi Mungu
akusameheni? Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu. | وَلاَ يَأْتَلِ أُوْلُوا الْفَضْلِ مِنْكُمْ وَالسَّعَةِ أَنْ يُؤْتُوا أُوْلِي الْقُرْبَى وَالْمَسَاكِينَ وَالْمُهَاجِرِينَ فِي سَبِيلِ اللَّهِ وَلْيَعْفُوا وَلْيَصْفَحُوا أَلاَ تُحِبُّونَ أَنْ يَغْفِرَ اللَّهُ لَكُمْ وَاللَّهُ غَفُور ٌ رَحِيم ٌ |
'Inna Al-Ladhīna Yarmūna Al-Muĥşanāti Al-Ghāfilāti Al-Mu'umināti Lu`inū Fī Ad-Dunyā Wa Al-'Ākhirati Wa Lahum `Adhābun `Ažīmun  | 23. Hakika wanao wasingizia wanawake, wanao jihishimu,
walio ghafilika, Waumini, wamelaaniwa duniani na Akhera, nao watapata adhabu
kubwa. | إِنَّ الَّذِينَ يَرْمُونَ الْمُحْصَنَاتِ الْغَافِلاَتِ الْمُؤْمِنَاتِ لُعِنُوا فِي الدُّنْيَا وَالآخِرَةِ وَلَهُمْ عَذَابٌ عَظِيم ٌ |
Yawma Tash/hadu `Alayhim 'Alsinatuhum Wa 'Aydīhim Wa 'Arjuluhum Bimā Kānū Ya`malūna  | 24. Siku ambayo zitawashuhudia ndimi zao na mikono
yao na miguu yao kwa waliyo kuwa wakiyatenda. | يَوْمَ تَشْهَدُ عَلَيْهِمْ أَلْسِنَتُهُمْ وَأَيْدِيهِمْ وَأَرْجُلُهُمْ بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ |
Yawma'idhin Yuwaffīhimu Allāhu Dīnahumu Al-Ĥaqqa Wa Ya`lamūna 'Anna Allāha Huwa Al-Ĥaqqu Al-Mubīnu  | 25. Siku hiyo Mwenyezi Mungu atawapa sawa sawa
malipo yao ya haki, na watajua kwamba hakika Mwenyezi Mungu ndiye Haki
Iliyo Wazi. | يَوْمَئِذ ٍ يُوَفِّيهِمُ اللَّهُ دِينَهُمُ الْحَقَّ وَيَعْلَمُونَ أَنَّ اللَّهَ هُوَ الْحَقُّ الْمُبِينُ |
Al-Khabīthātu Lilkhabīthīna Wa Al-Khabīthūna Lilkhabīthāti Wa Aţ-Ţayyibātu Lilţţayyibīna Wa Aţ-Ţayyibūna Lilţţayyibāti 'Ūlā'ika Mubarra'ūna Mimmā Yaqūlūna Lahum Maghfiratun Wa Rizqun Karīmun  | 26. Wanawake waovu ni wa wanaume waovu, na wanaume
waovu ni wa wanawake waovu. Na wanawake wema ni wa wanaume wema, na wanaume
wema ni wa wanawake wema. Hao wameepushwa na hayo wanayo yasema; wao watapata
msamaha na riziki ya ukarimu. | الْخَبِيثَاتُ لِلْخَبِيثِينَ وَالْخَبِيثُونَ لِلْخَبِيثَاتِ وَالطَّيِّبَاتُ لِلطَّيِّبِينَ وَالطَّيِّبُونَ لِلطَّيِّبَاتِ أُوْلَائِكَ مُبَرَّءُونَ مِمَّا يَقُولُونَ لَهُمْ مَغْفِرَة ٌ وَرِزْق ٌ كَرِيم ٌ |
Yā 'Ayyuhā Al-Ladhīna 'Āmanū Lā Tadkhulū Buyūtāan Ghayra Buyūtikum Ĥattá Tasta'nisū Wa Tusallimū `Alá 'Ahlihā Dhālikum Khayrun Lakum La`allakum Tadhakkarūna  | 27. Enyi mlio amini! Msiingie nyumba zisio nyumba
zenu mpaka mwombe ruhusa, na mwatolee salamu wenyewe. Hayo ni bora kwenu
mpate kukumbuka. | يَاأَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لاَ تَدْخُلُوا بُيُوتاً غَيْرَ بُيُوتِكُمْ حَتَّى تَسْتَأْنِسُوا وَتُسَلِّمُوا عَلَى أَهْلِهَا ذَلِكُمْ خَيْر ٌ لَكُمْ لَعَلَّكُمْ تَذَكَّرُونَ |
Fa'in Lam Tajidū Fīhā 'Aĥadāan Falā Tadkhulūhā Ĥattá Yu'udhana Lakum Wa 'In Qīla Lakum Arji`ū Fārji`ū Huwa 'Azká Lakum Wa Allāhu Bimā Ta`malūna `Alīmun  | 28. Na msipo mkuta mtu humo basi msiingie mpaka
mruhusiwe. Na mkiambiwa: Rudini! Basi rudini. Hivi ni usafi zaidi kwenu.
Na Mwenyezi Mungu anajua mnayo yatenda. | فَإِنْ لَمْ تَجِدُوا فِيهَا أَحَدا ً فَلاَ تَدْخُلُوهَا حَتَّى يُؤْذَنَ لَكُمْ وَإِنْ قِيلَ لَكُمْ ارْجِعُوا فَارْجِعُوا هُوَ أَزْكَى لَكُمْ وَاللَّهُ بِمَا تَعْمَلُونَ عَلِيم ٌ |
Laysa `Alaykum Junāĥun 'An Tadkhulū Buyūtāan Ghayra Maskūnatin Fīhā Matā`un Lakum Wa Allāhu Ya`lamu Mā Tubdūna Wa Mā Taktumūna  | 29. Si vibaya kwenu kuingia nyumba zisio kaliwa
ambazo ndani yake yamo manufaa yenu. Na Mwenyezi Mungu anajua mnayo yadhihirisha
na mnayo yaficha. | لَيْسَ عَلَيْكُمْ جُنَاحٌ أَنْ تَدْخُلُوا بُيُوتاً غَيْرَ مَسْكُونَة ٍ فِيهَا مَتَاع ٌ لَكُمْ وَاللَّهُ يَعْلَمُ مَا تُبْدُونَ وَمَا تَكْتُمُونَ |
Qul Lilmu'uminīna Yaghuđđū Min 'Abşārihim Wa Yaĥfažū Furūjahum Dhālika 'Azká Lahum 'Inna Allāha Khabīrun Bimā Yaşna`ūna  | 30. Waambie Waumini wanaume wainamishe macho
yao, na wazilinde tupu zao. Hili ni takaso bora kwao. Hakika Mwenyezi Mungu
anazo khabari za wanayo yafanya. | قُلْ لِلْمُؤْمِنِينَ يَغُضُّوا مِنْ أَبْصَارِهِمْ وَيَحْفَظُوا فُرُوجَهُمْ ذَلِكَ أَزْكَى لَهُمْ إِنَّ اللَّهَ خَبِير ٌ بِمَا يَصْنَعُونَ |
Wa Qul Lilmu'umināti Yaghđuđna Min 'Abşārihinna Wa Yaĥfažna Furūjahunna Wa Lā Yubdīna Zīnatahunna 'Illā Mā Žahara Minhā Wa Līađribna Bikhumurihinna `Alá Juyūbihinna Wa Lā Yubdīna Zīnatahunna 'Illā Libu`ūlatihinna 'Aw 'Ābā'ihinna 'Aw 'Ābā'i Bu`ūlatihinna 'Aw 'Abnā'ihinna 'Aw 'Abnā'i Bu`ūlatihinna 'Aw 'Ikhwānihinna 'Aw Banī 'Ikhwānihinna 'Aw Banī 'Akhawātihinna 'Aw Nisā'ihinna 'Aw Mā Malakat 'Aymānuhunna 'Awi At-Tābi`īna Ghayri 'Ūlī Al-'Irbati Mina Ar-Rijāli 'Awi Aţ-Ţifli Al-Ladhīna Lam Yažharū `Alá `Awrāti An-Nisā' Wa Lā Yađribna Bi'arjulihinna Liyu`lama Mā Yukhfīna Min Zīnatihinna Wa Tūbū 'Ilá Allāhi Jamī`āan 'Ayyuhā Al-Mu'uminūna La`allakum Tufliĥūna  | 31. Na waambie Waumini wanawake wainamishe macho
yao, na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipo kuwa unao
dhihirika. Na waangushe shungi zao juu ya vifua vyao, wala wasionyeshe
uzuri wao ila kwa waume zao, au baba zao, au baba wa waume zao, au watoto
wao, au watoto wa waume zao, au kaka zao, au wana wa kaka zao, au wana
wa dada zao, au wanawake wenzao, au iliyo wamiliki mikono yao ya kuume,
au wafwasi wanaume wasio na matamanio, au watoto ambao hawajajua mambo
yaliyo khusu uke. Wala wasipige chini miguu yao ili yajuulikane mapambo
waliyo yaficha. Na tubuni nyote kwa Mwenyezi Mungu, enyi Waumini, ili mpate
kufanikiwa. | وَقُلْ لِلْمُؤْمِنَاتِ يَغْضُضْنَ مِنْ أَبْصَارِهِنَّ وَيَحْفَظْنَ فُرُوجَهُنَّ وَلاَ يُبْدِينَ زِينَتَهُنَّ إِلاَّ مَا ظَهَرَ مِنْهَا وَلْيَضْرِبْنَ بِخُمُرِهِنَّ عَلَى جُيُوبِهِنَّ وَلاَ يُبْدِينَ زِينَتَهُنَّ إِلاَّ لِبُعُولَتِهِنَّ أَوْ آبَائِهِنَّ أَوْ آبَاءِ بُعُولَتِهِنَّ أَوْ أَبْنَائِهِنَّ أَوْ أَبْنَاءِ بُعُولَتِهِنَّ أَوْ إِخْوَانِهِنَّ أَوْ بَنِي إِخْوَانِهِنَّ أَوْ بَنِي أَخَوَاتِهِنَّ أَوْ نِسَائِهِنَّ أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُهُنَّ أَوِ التَّابِعِينَ غَيْرِ أُوْلِي الإِرْبَةِ مِنَ الرِّجَالِ أَوِ الطِّفْلِ الَّذِينَ لَمْ يَظْهَرُوا عَلَى عَوْرَاتِ النِسَاء وَلاَ يَضْرِبْنَ بِأَرْجُلِهِنَّ لِيُعْلَمَ مَا يُخْفِينَ مِنْ زِينَتِهِنَّ وَتُوبُوا إِلَى اللَّهِ جَمِيعاً أَيُّهَا الْمُؤْمِنُونَ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ |
Wa 'Ankiĥū Al-'Ayāmá Minkum Wa Aş-Şāliĥīna Min `Ibādikum Wa 'Imā'ikum 'In Yakūnū Fuqarā'a Yughnihimu Allāhu Min Fađlihi Wa Allāhu Wāsi`un `Alīmun  | 32. Na waozeni wajane miongoni mwenu na wema
katika watumwa wenu na wajakazi wenu. Wakiwa mafakiri Mwenyezi Mungu atawatajirisha
kwa fadhila yake. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye wasaa Mwenye kujua. | وَأَنكِحُوا الأَيَامَى مِنْكُمْ وَالصَّالِحِينَ مِنْ عِبَادِكُمْ وَإِمَائِكُمْ إِنْ يَكُونُوا فُقَرَاءَ يُغْنِهِمُ اللَّهُ مِنْ فَضْلِه ِِ وَاللَّهُ وَاسِعٌ عَلِيم ٌ |
Wa Līasta`fifi Al-Ladhīna Lā Yajidūna Nikāĥāan Ĥattá Yughniyahumu Allāhu Min Fađlihi Wa Al-Ladhīna Yabtaghūna Al-Kitāba Mimmā Malakat 'Aymānukum Fakātibūhum 'In `Alimtum Fīhim Khayrāan Wa 'Ātūhum Min Māli Allāhi Al-Ladhī 'Ātākum Wa Lā Tukrihū Fatayātikum `Alá Al-Bighā'i 'In 'Aradna Taĥaşşunāan Litabtaghū `Arađa Al-Ĥayāati Ad-Dunyā Wa Man Yukrihhunna Fa'inna Allāha Min Ba`di 'Ikrāhihinna Ghafūrun Raĥīmun  | 33. Na wajizuilie na machafu wale wasio pata
cha kuolea, mpaka Mwenyezi Mungu awatajirishe kwa fadhila yake. Na wanao
taka kuandikiwa uhuru katika wale ambao mikono yenu ya kulia imewamiliki,
basi waandikieni kama mkiona wema kwao. Na wapeni katika mali ya Mwenyezi
Mungu aliyo kupeni. Wala msiwashurutishe vijakazi vyenu kufanya zina kwa
ajili ya kutafuta pato la maisha ya dunia, ilhali wao wanataka kujihishimu.
Na atakaye walazimisha basi Mwenyezi Mungu baada ya kulazimishwa kwao huko,
atawasamehe, kwani Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu. | وَلْيَسْتَعْفِفِ الَّذِينَ لاَ يَجِدُونَ نِكَاحاً حَتَّى يُغْنِيَهُمُ اللَّهُ مِنْ فَضْلِه ِِ وَالَّذِينَ يَبْتَغُونَ الْكِتَابَ مِمَّا مَلَكَتْ أَيْمَانُكُمْ فَكَاتِبُوهُمْ إِنْ عَلِمْتُمْ فِيهِمْ خَيْرا ً وَآتُوهُمْ مِنْ مَالِ اللَّهِ الَّذِي آتَاكُمْ وَلاَ تُكْرِهُوا فَتَيَاتِكُمْ عَلَى الْبِغَاءِ إِنْ أَرَدْنَ تَحَصُّنا ً لِتَبْتَغُوا عَرَضَ الْحَيَاةِ الدُّنْيَا وَمَنْ يُكْرِهُّنَّ فَإِنَّ اللَّهَ مِنْ بَعْدِ إِكْرَاهِهِنَّ غَفُور ٌ رَحِيم ٌ |
Wa Laqad 'Anzalnā 'Ilaykum 'Āyātin Mubayyinātin Wa Mathalāan Mina Al-Ladhīna Khalaw Min Qablikum Wa Maw`ižatan Lilmuttaqīna  | 34. Na kwa yakini tumekuteremshieni Ishara zilizo
wazi na mifano kutokana na walio tangulia kabla yenu na mawaidha kwa wachamngu. | وَلَقَدْ أَنزَلْنَا إِلَيْكُمْ آيَات ٍ مُبَيِّنَات ٍ وَمَثَلا ً مِنَ الَّذِينَ خَلَوْا مِنْ قَبْلِكُمْ وَمَوْعِظَة ً لِلْمُتَّقِينَ |
Allāhu Nūru As-Samāwāti Wa Al-'Arđi Mathalu Nūrihi Kamishkāatin Fīhā Mişbāĥun Al-Mişbāĥu Fī Zujājatin Az-Zujājatu Ka'annahā Kawkabun Durrīyun Yūqadu Min Shajaratin Mubārakatin Zaytūniatin Lā Sharqīyatin Wa Lā Gharbīyatin Yakādu Zaytuhā Yuđī'u Wa Law Lam Tamsas/hu Nārun Nūrun `Alá Nūrin Yahdī Allāhu Linūrihi Man Yashā'u Wa Yađribu Allāhu Al-'Amthāla Lilnnāsi Wa Allāhu Bikulli Shay'in `Alīmun  | 35. Mwenyezi Mungu ni Nuru ya Mbingu na Ardhi.
Mfano wa Nuru yake ni kama shubaka lenye kuwekwa ndani yake taa. Taa ile
imo katika tungi. Tungi lile ni kama nyota inayo meremeta, inayo washwa
kwa mafuta yanayo toka katika mti ulio barikiwa, mzaituni. Si wa mashariki
wala magharibi. Yanakaribia mafuta yake kung'aa wenyewe ingawa moto haujayagusa
- Nuru juu ya Nuru. Mwenyezi Mungu humwongoa kwenye Nuru yake amtakaye.
Na Mwenyezi Mungu huwapigia watu mifano. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua
kila kitu. | اللَّهُ نُورُ السَّمَاوَاتِ وَالأَرْضِ مَثَلُ نُورِه ِِ كَمِشْكَاة ٍ فِيهَا مِصْبَاح ٌ الْمِصْبَاحُ فِي زُجَاجَة ٍ الزُّجَاجَةُ كَأَنَّهَا كَوْكَب ٌ دُرِّيّ ٌ يُوقَدُ مِنْ شَجَرَة ٍ مُبَارَكَة ٍ زَيْتُونِة ٍ لاَ شَرْقِيَّة ٍ وَلاَ غَرْبِيَّة ٍ يَكَادُ زَيْتُهَا يُضِيءُ وَلَوْ لَمْ تَمْسَسْهُ نَار ٌ نُورٌ عَلَى نُور ٍ يَهْدِي اللَّهُ لِنُورِه ِِ مَنْ يَشَاءُ وَيَضْرِبُ اللَّهُ الأَمْثَالَ لِلنَّاسِ وَاللَّهُ بِكُلِّ شَيْءٍ عَلِيم ٌ |
Fī Buyūtin 'Adhina Allāhu 'An Turfa`a Wa Yudhkara Fīhā Asmuhu Yusabbiĥu Lahu Fīhā Bil-Ghudūwi Wa Al-'Āşāli  | 36. Katika Nyumba ambazo Mwenyezi Mungu ameamrisha
zitukuzwe, na humo litajwe jina lake, wanamtakasa humo asubuhi na jioni | فِي بُيُوتٍ أَذِنَ اللَّهُ أَنْ تُرْفَعَ وَيُذْكَرَ فِيهَا اسْمُه ُُ يُسَبِّحُ لَه ُُ فِيهَا بِالْغُدُوِّ وَالآصَالِ |
Rijālun Lā Tulhīhim Tijāratun Wa Lā Bay`un `An Dhikri Allāhi Wa 'Iqāmi Aş-Şalāati Wa 'Ītā'i Az-Zakāati Yakhāfūna Yawmāan Tataqallabu Fīhi Al-Qulūbu Wa Al-'Abşāru  | 37. Watu ambao biashara wala kuuza hakuwashughulishi
na kumdhukuru Mwenyezi Mungu, na kushika Sala, na kutoa Zaka. Wanaikhofu
Siku ambayo nyoyo na macho yatageuka. | رِجَال ٌ لاَ تُلْهِيهِمْ تِجَارَة ٌ وَلاَ بَيْعٌ عَنْ ذِكْرِ اللَّهِ وَإِقَامِ الصَّلاَةِ وَإِيتَاءِ الزَّكَاةِ يَخَافُونَ يَوْما ً تَتَقَلَّبُ فِيهِ الْقُلُوبُ وَالأَبْصَارُ |
Liyajziyahumu Allāhu 'Aĥsana Mā `Amilū Wa Yazīdahum Min Fađlihi Wa Allāhu Yarzuqu Man Yashā'u Bighayri Ĥisābin  | 38. Ili Mwenyezi Mungu awalipe bora ya waliyo
yatenda, na awazidishie katika fadhila zake. Na Mwenyezi Mungu humruzuku
amtakaye bila ya hisabu. | لِيَجْزِيَهُمُ اللَّهُ أَحْسَنَ مَا عَمِلُوا وَيَزِيدَهُمْ مِنْ فَضْلِه ِِ وَاللَّهُ يَرْزُقُ مَنْ يَشَاءُ بِغَيْرِ حِسَاب ٍ |
Wa Al-Ladhīna Kafarū 'A`māluhum Kasarābin Biqī`atin Yaĥsabuhu Až-Žam'ānu Mā'an Ĥattá 'Idhā Jā'ahu Lam Yajid/hu Shay'āan Wa Wajada Allāha `Indahu Fawaffāhu Ĥisābahu Wa Allāhu Sarī`u Al-Ĥisābi  | 39. Na walio kufuru vitendo vyao ni kama sarabi
(mazigazi) uwandani. Mwenye kiu huyadhania ni maji. Hata akiyaendea hapati
chochote. Na atamkuta Mwenyezi Mungu hapo naye amlipe hisabu yake sawa
sawa. Na Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu. | وَالَّذِينَ كَفَرُوا أَعْمَالُهُمْ كَسَرَاب ٍ بِقِيعَة ٍ يَحْسَبُهُ الظَّمْآنُ مَاءً حَتَّى إِذَا جَاءَه ُُ لَمْ يَجِدْهُ شَيْئا ً وَوَجَدَ اللَّهَ عِنْدَه ُُ فَوَفَّاه ُُ حِسَابَه ُُ وَاللَّهُ سَرِيعُ الْحِسَابِ |
'Aw Kažulumātin Fī Baĥrin Lujjīyin Yaghshāhu Mawjun Min Fawqihi Mawjun Min Fawqihi Saĥābun Žulumātun Ba`đuhā Fawqa Ba`đin 'Idhā 'Akhraja Yadahu Lam Yakad Yarāhā Wa Man Lam Yaj`ali Allāhu Lahu Nūrāan Famā Lahu Min Nūrin  | 40. Au ni kama giza katika bahari kuu, iliyo
funikwa na mawimbi juu ya mawimbi, na juu yake yapo mawingu. Giza juu ya
giza. Akiutoa mtu mkono wake anakaribia asiuone. Na ambaye Mwenyezi Mungu
hakumjaalia kuwa na nuru hawi na nuru. | أَوْ كَظُلُمَات ٍ فِي بَحْر ٍ لُجِّيّ ٍ يَغْشَاه ُُ مَوْج ٌ مِنْ فَوْقِه ِِ مَوْج ٌ مِنْ فَوْقِه ِِ سَحَاب ٌ ظُلُمَات ٌ بَعْضُهَا فَوْقَ بَعْض ٍ إِذَا أَخْرَجَ يَدَه ُُ لَمْ يَكَدْ يَرَاهَا وَمَنْ لَمْ يَجْعَلِ اللَّهُ لَه ُُ نُورا ً فَمَا لَه ُُ مِنْ نُور ٍ |
'Alam Tará 'Anna Allāha Yusabbiĥu Lahu Man Fī As-Samāwāti Wa Al-'Arđi Wa Aţ-Ţayru Şāffātin Kullun Qad `Alima Şalātahu Wa Tasbīĥahu Wa Allāhu `Alīmun Bimā Yaf`alūna  | 41. Je! Huoni kwamba Mwenyezi Mungu vinamtakasa
vilivyomo katika mbingu na ardhi, na ndege wakikunjua mbawa zao? Kila mmoja
amekwisha jua Sala yake na namna ya kumtakasa kwake. Na Mwenyezi Mungu
ni Mwenye kuyajua wayatendayo. | أَلَمْ تَرَى أَنَّ اللَّهَ يُسَبِّحُ لَه ُُ مَنْ فِي السَّمَاوَاتِ وَالأَرْضِ وَالطَّيْرُ صَافَّات ٍ كُلّ ٌ قَدْ عَلِمَ صَلاَتَه ُُ وَتَسْبِيحَه ُُ وَاللَّهُ عَلِيم ٌ بِمَا يَفْعَلُونَ |
Wa Lillahi Mulku As-Samāwāti Wa Al-'Arđi Wa 'Ilá Allāhi Al-Maşīru  | 42. Na ni wa Mwenyezi Mungu ufalme wa mbingu
na ardhi, na kwa Mwenyezi Mungu ndio marejeo ya wote. | وَلِلَّهِ مُلْكُ السَّمَاوَاتِ وَالأَرْضِ وَإِلَى اللَّهِ الْمَصِيرُ |
'Alam Tará 'Anna Allāha Yuzjī Saĥābāan Thumma Yu'uallifu Baynahu Thumma Yaj`aluhu Rukāmāan Fatará Al-Wadqa Yakhruju Min Khilālihi Wa Yunazzilu Mina As-Samā'i Min Jibālin Fīhā Min Baradin Fayuşību Bihi Man Yashā'u Wa Yaşrifuhu `An Man Yashā'u Yakādu Sanā Barqihi Yadh/habu Bil-'Abşāri  | 43. Je! Huoni ya kwamba Mwenyezi Mungu huyasukuma
mawingu, kisha huyaambatisha, kisha huyafanya mirundi? Basi utaona mvua
ikitoka kati yake. Na huteremsha kutoka juu kwenye milima ya mawingu mvua
ya mawe, akamsibu nayo amtakaye na akamuepusha nayo amtakaye. Hukurubia
mmetuko wa umeme wake kupofua macho. | أَلَمْ تَرَى أَنَّ اللَّهَ يُزْجِي سَحَابا ً ثُمَّ يُؤَلِّفُ بَيْنَه ُُ ثُمَّ يَجْعَلُه ُُ رُكَاما ً فَتَرَى الْوَدْقَ يَخْرُجُ مِنْ خِلاَلِه ِِ وَيُنَزِّلُ مِنَ السَّمَاءِ مِنْ جِبَال ٍ فِيهَا مِنْ بَرَد ٍ فَيُصِيبُ بِه ِِ مَنْ يَشَاءُ وَيَصْرِفُه ُُ عَنْ مَنْ يَشَاءُ يَكَادُ سَنَا بَرْقِه ِِ يَذْهَبُ بِالأَبْصَارِ |
Yuqallibu Allāhu Al-Layla Wa An-Nahāra 'Inna Fī Dhālika La`ibratan Li'wlī Al-'Abşāri  | 44. Mwenyezi Mungu hubadilisha usiku na mchana.
Hakika katika hayo yapo mazingatio kwa wenye kuona. | يُقَلِّبُ اللَّهُ اللَّيْلَ وَالنَّهَارَ إِنَّ فِي ذَلِكَ لَعِبْرَة ً لِأوْلِي الأَبْصَارِ |
Wa Allāhu Khalaqa Kulla Dābbatin Min Mā'in Faminhum Man Yamshī `Alá Baţnihi Wa Minhum Man Yamshī `Alá Rijlayni Wa Minhum Man Yamshī `Alá 'Arba`in Yakhluqu Allāhu Mā Yashā'u 'Inna Allāha `Alá Kulli Shay'in Qadīrun  | 45. Na Mwenyezi Mungu ameumba kila kinyama kutokana
na maji. Wengine katika wao huenda kwa matumbo yao, na wengine huenda kwa
miguu miwili, na wengine huenda kwa miguu mine. Mwenyezi Mungu huumba ayatakayo.
Hakika Mwenyezi Mungu ni Muweza wa kila kitu. | وَاللَّهُ خَلَقَ كُلَّ دَابَّة ٍ مِنْ مَاء ٍ فَمِنْهُمْ مَنْ يَمْشِي عَلَى بَطْنِه ِِ وَمِنْهُمْ مَنْ يَمْشِي عَلَى رِجْلَيْنِ وَمِنْهُمْ مَنْ يَمْشِي عَلَى أَرْبَع ٍ يَخْلُقُ اللَّهُ مَا يَشَاءُ إِنَّ اللَّهَ عَلَى كُلِّ شَيْء ٍ قَدِير ٌ |
Laqad 'Anzalnā 'Āyātin Mubayyinātin Wa Allāhu Yahdī Man Yashā'u 'Ilá Şirāţin Mustaqīmin  | 46. Kwa yakini tumeteremsha Ishara zinazo bainisha.
Na Mwenyezi Mungu hummwongoa amtakaye kwenye Njia Iliyo Nyooka. | لَقَدْ أَنزَلْنَا آيَات ٍ مُبَيِّنَات ٍ وَاللَّهُ يَهْدِي مَنْ يَشَاءُ إِلَى صِرَاط ٍ مُسْتَقِيم ٍ |
Wa Yaqūlūna 'Āmannā Billāhi Wa Bir-Rasūli Wa 'Aţa`nā Thumma Yatawallá Farīqun Minhum Min Ba`di Dhālika Wa Mā 'Ūlā'ika Bil-Mu'uminīna  | 47. Na wanasema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na
Mtume, na tumet'ii. Kisha kikundi katika hao hugeuka baada ya hayo. Wala
hao si wenye kuamini. | وَيَقُولُونَ آمَنَّا بِاللَّهِ وَبِالرَّسُولِ وَأَطَعْنَا ثُمَّ يَتَوَلَّى فَرِيق ٌ مِنْهُمْ مِنْ بَعْدِ ذَلِكَ وَمَا أُوْلَائِكَ بِالْمُؤْمِنِينَ |
Wa 'Idhā Du`ū 'Ilá Allāhi Wa Rasūlihi Liyaĥkuma Baynahum 'Idhā Farīqun Minhum Mu`riđūna  | 48. Na wanapo itwa kumuendea Mwenyezi Mungu na
Mtume wake ili ahukumu baina yao, kipo kikundi katika wao kinakataa. | وَإِذَا دُعُوا إِلَى اللَّهِ وَرَسُولِه ِِ لِيَحْكُمَ بَيْنَهُمْ إِذَا فَرِيق ٌ مِنْهُمْ مُعْرِضُونَ |
Wa 'In Yakun Lahumu Al-Ĥaqqu Ya'tū 'Ilayhi Mudh`inīna  | 49. Na ikiwa haki ni yao, wanamjia kwa kut'ii. | وَإِنْ يَكُنْ لَهُمُ الْحَقُّ يَأْتُوا إِلَيْهِ مُذْعِنِينَ |
| 'Afī Qulūbihim Marađun 'Am Artābū 'Am Yakhāfūna 'An Yaĥ |