Aqtaraba Lilnnāsi Ĥisābuhum Wa Hum Fī Ghaflatin Mu`riđūna  | 1. IMEWAKARIBIA watu hisabu yao, nao wamo katika
mghafala wanapuuza. | اقْتَرَبَ لِلنَّاسِ حِسَابُهُمْ وَهُمْ فِي غَفْلَة ٍ مُعْرِضُونَ |
Mā Ya'tīhim Min Dhikrin Min Rabbihim Muĥdathin 'Illā Astama`ūhu Wa Hum Yal`abūna  | 2. Hayawafikilii mawaidha mapya kutoka kwa Mola
wao Mlezi ila huyasikiliza na huku wanafanya mchezo. | مَا يَأْتِيهِمْ مِنْ ذِكْر ٍ مِنْ رَبِّهِمْ مُحْدَث ٍ إِلاَّ اسْتَمَعُوه ُُ وَهُمْ يَلْعَبُونَ |
Lāhiyatan Qulūbuhum Wa 'Asarrū An-Najwá Al-Ladhīna Žalamū Hal Hādhā 'Illā Basharun Mithlukum 'Afata'tūna As-Siĥra Wa 'Antum Tubşirūna  | 3. Zimeghafilika nyoyo zao. Na wale walio dhulumu
hunong'onezana kwa siri: Ni nani ati huyu isipo kuwa ni binaadamu tu kama
nyinyi! Mnauwendea uchawi hali nanyi mnaona? | لاَهِيَة ً قُلُوبُهُمْ وَأَسَرُّوا النَّجْوَى الَّذِينَ ظَلَمُوا هَلْ هَذَا إِلاَّ بَشَر ٌ مِثْلُكُمْ أَفَتَأْتُونَ السِّحْرَ وَأَنْتُمْ تُبْصِرُونَ |
Qāla Rabbī Ya`lamu Al-Qawla Fī As-Samā'i Wa Al-'Arđi Wa Huwa As-Samī`u Al-`Alīmu  | 4. Alisema: Mola wangu Mlezi anayajua yasemwayo
mbinguni na katika ardhi. Na Yeye ni Mwenye kusikia Mwenye kujua. | قَالَ رَبِّي يَعْلَمُ الْقَوْلَ فِي السَّمَاءِ وَالأَرْضِ وَهُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ |
Bal Qālū 'Ađghāthu 'Aĥlāmin Bal Aftarāhu Bal Huwa Shā`irun Falya'tinā Bi'āyatin Kamā 'Ursila Al-'Awwalūna  | 5. Lakini wao walisema: Hizo ni ndoto za ovyo
ovyo, bali amezizua tu, bali huyo ni mtunga mashairi. Basi atuletee miujiza
kama walivyo tumwa wale wa mwanzo. | بَلْ قَالُوا أَضْغَاثُ أَحْلاَم ٍ بَلْ افْتَرَاه ُُ بَلْ هُوَ شَاعِر ٌ فَلْيَأْتِنَا بِآيَة ٍ كَمَا أُرْسِلَ الأَوَّلُونَ |
Mā 'Āmanat Qablahum Min Qaryatin 'Ahlaknāhā 'Afahum Yu'uminūna  | 6. Hawakuamini kabla yao watu wa mji tulio uangamiza.
Basi, je, wataamini hawa? | مَا آمَنَتْ قَبْلَهُمْ مِنْ قَرْيَةٍ أَهْلَكْنَاهَا أَفَهُمْ يُؤْمِنُونَ |
Wa Mā 'Arsalnā Qablaka 'Illā Rijālāan Nūĥī 'Ilayhim Fās'alū 'Ahla Adh-Dhikri 'In Kuntum Lā Ta`lamūna  | 7. Na kabla yako hatukuwatuma ila watu wanaume
tulio wapa wahyi (ufunuo). Basi waulizeni wenye ilimu ikiwa nyinyi hamjui. | وَمَا أَرْسَلْنَا قَبْلَكَ إِلاَّ رِجَالا ً نُوحِي إِلَيْهِمْ فَاسْأَلُوا أَهْلَ الذِّكْرِ إِنْ كُنتُمْ لاَ تَعْلَمُونَ |
Wa Mā Ja`alnāhum Jasadāan Lā Ya'kulūna Aţ-Ţa`āma Wa Mā Kānū Khālidīna  | 8. Wala hatukuwafanya miili isiyo kula chakula,
wala hawakuwa wenye kuishi milele. | وَمَا جَعَلْنَاهُمْ جَسَدا ً لاَ يَأْكُلُونَ الطَّعَامَ وَمَا كَانُوا خَالِدِينَ |
Thumma Şadaqnāhumu Al-Wa`da Fa'anjaynāhum Wa Man Nashā'u Wa 'Ahlaknā Al-Musrifīna  | 9. Kisha tukawatimizia miadi, na tukawaokoa wao
na tulio wataka, na tukawateketeza walio pita mipaka. | ثُمَّ صَدَقْنَاهُمُ الْوَعْدَ فَأَنجَيْنَاهُمْ وَمَنْ نَشَاءُ وَأَهْلَكْنَا الْمُسْرِفِينَ |
Laqad 'Anzalnā 'Ilaykum Kitābāan Fīhi Dhikrukum 'Afalā Ta`qilūna  | 10. Na hakika tumekuteremshieni Kitabu ambacho
ndani yake yamo makumbusho yenu. Je! Hamzingatii? | لَقَدْ أَنزَلْنَا إِلَيْكُمْ كِتَابا ً فِيه ِِ ذِكْرُكُمْ أَفَلاَ تَعْقِلُونَ |
Wa Kam Qaşamnā Min Qaryatin Kānat Žālimatan Wa 'Ansha'nā Ba`dahā Qawmāan 'Ākharīna  | 11. Na mingapi katika miji iliyo kuwa ikidhulumu
tumeiteketeza, na tukawasimamisha baada yao watu wengine. | وَكَمْ قَصَمْنَا مِنْ قَرْيَة ٍ كَانَتْ ظَالِمَة ً وَأَنشَأْنَا بَعْدَهَا قَوْما ً آخَرِينَ |
Falammā 'Aĥassū Ba'sanā 'Idhā Hum Minhā Yarkuđūna  | 12. Basi walipo ihisi adhabu yetu, mara wakaanza
kukimbia. | فَلَمَّا أَحَسُّوا بَأْسَنَا إِذَا هُمْ مِنْهَا يَرْكُضُونَ |
Lā Tarkuđū Wa Arji`ū 'Ilá Mā 'Utriftum Fīhi Wa Masākinikum La`allakum Tus'alūna  | 13. Msikimbie! Na rejeeni kwenye zile zile starehe
zenu, na maskani zenu, mpate kusailiwa! | لاَ تَرْكُضُوا وَارْجِعُوا إِلَى مَا أُتْرِفْتُمْ فِيه ِِ وَمَسَاكِنِكُمْ لَعَلَّكُمْ تُسْأَلُونَ |
Qālū Yā Waylanā 'Innā Kunnā Žālimīna  | 14. Wakasema: Ole wetu! Hakika sisi tulikuwa
madhaalimu. | قَالُوا يَاوَيْلَنَا إِنَّا كُنَّا ظَالِمِينَ |
Famā Zālat Tilka Da`wāhum Ĥattá Ja`alnāhum Ĥaşīdāan Khāmidīna  | 15. Hakikuacha hicho kuwa kilio chao mpaka tukawafanya
kama walio fyekwa, wamezimika. | فَمَا زَالَتْ تِلْكَ دَعْوَاهُمْ حَتَّى جَعَلْنَاهُمْ حَصِيداً خَامِدِينَ |
Wa Mā Khalaqnā As-Samā'a Wa Al-'Arđa Wa Mā Baynahumā Lā`ibīna  | 16. Na hatukuziumba mbingu na ardhi na vilivyo
baina yao kwa mchezo. | وَمَا خَلَقْنَا السَّمَاءَ وَالأَرْضَ وَمَا بَيْنَهُمَا لاَعِبِينَ |
Law 'Aradnā 'An Nattakhidha Lahwan Lāttakhadhnāhu Min Ladunnā 'In Kunnā Fā`ilīna  | 17. Kama tungeli taka kufanya mchezo tunge jifanyia
Sisi wenyewe, lau kwamba tungeli kuwa ni wafanyao mchezo. | لَوْ أَرَدْنَا أَنْ نَتَّخِذَ لَهْوا ً لاَتَّخَذْنَاه ُُ مِنْ لَدُنَّا إِنْ كُنَّا فَاعِلِينَ |
Bal Naqdhifu Bil-Ĥaqqi `Alá Al-Bāţili Fayadmaghuhu Fa'idhā Huwa Zāhiqun Wa Lakumu Al-Waylu Mimmā Taşifūna  | 18. Bali tunaitupa kweli juu ya uwongo ikauvunja
na mara ukatoweka. Na ole wenu kwa mnayo yazua. | بَلْ نَقْذِفُ بِالْحَقِّ عَلَى الْبَاطِلِ فَيَدْمَغُه ُُ فَإِذَا هُوَ زَاهِق ٌ وَلَكُمُ الْوَيْلُ مِمَّا تَصِفُونَ |
Wa Lahu Man Fī As-Samāwāti Wa Al-'Arđi Wa Man `Indahu Lā Yastakbirūna `An `Ibādatihi Wa Lā Yastaĥsirūna  | 19. Na ni vyake Yeye tu Mwenyezi Mungu vilivyomo
mbinguni na katika ardhi. Na walioko kwake hawafanyi kiburi wakaacha kumuabudu,
wala hawachoki. | وَلَه ُُ مَنْ فِي السَّمَاوَاتِ وَالأَرْضِ وَمَنْ عِنْدَهُ لاَ يَسْتَكْبِرُونَ عَنْ عِبَادَتِه ِِ وَلاَ يَسْتَحْسِرُونَ |
Yusabbiĥūna Al-Layla Wa An-Nahāra Lā Yafturūna  | 20. Wanamtakasa usiku na mchana, wala hawanyong'onyei. | يُسَبِّحُونَ اللَّيْلَ وَالنَّهَارَ لاَ يَفْتُرُونَ |
'Am Attakhadhū 'Ālihatan Mina Al-'Arđi Hum Yunshirūna  | 21. Au wamepata miungu katika ardhi inayo fufua? | أَمْ اتَّخَذُوا آلِهَة ً مِنَ الأَرْضِ هُمْ يُنشِرُونَ |
Law Kāna Fīhimā 'Ālihatun 'Illā Allāhu Lafasadatā Fasubĥāna Allāhi Rabbi Al-`Arshi `Ammā Yaşifūna  | 22. Lau wangeli kuwamo humo miungu wengine isipo
kuwa Mwenyezi Mungu basi bila ya shaka hizo mbingu na ardhi zingeli fisidika.
Subahana 'Llah Ametakasika Mwenyezi Mungu, Bwana wa A'rshi (Kiti cha Enzi),
na hayo wanayo yazua. | لَوْ كَانَ فِيهِمَا آلِهَة ٌ إِلاَّ اللَّهُ لَفَسَدَتَا فَسُبْحَانَ اللَّهِ رَبِّ الْعَرْشِ عَمَّا يَصِفُونَ |
Lā Yus'alu `Ammā Yaf`alu Wa Hum Yus'alūna  | 23. Yeye hahojiwi kwa ayatendayo, na wao ndio
wanao hojiwa kwa wayatendayo. | لاَ يُسْأَلُ عَمَّا يَفْعَلُ وَهُمْ يُسْأَلُونَ |
'Am Attakhadhū Min Dūnihi 'Ālihatan Qul Hātū Burhānakum Hādhā Dhikru Man Ma`iya Wa Dhikru Man Qablī Bal 'Aktharuhum Lā Ya`lamūna Al-Ĥaqqa Fahum Mu`riđūna  | 24. Au wanawaabudu miungu mingine badala yake?
Sema: Leteni ushahidi wenu! Haya ni ukumbusho wa hawa walio nami, na ukumbusho
wa walio kabla yangu. Lakini wengi wao hawaijui kweli, na kwa hivyo wanapuuza. | أَمْ اتَّخَذُوا مِنْ دُونِهِ آلِهَة ً قُلْ هَاتُوا بُرْهَانَكُمْ هَذَا ذِكْرُ مَنْ مَعِيَ وَذِكْرُ مَنْ قَبْلِي بَلْ أَكْثَرُهُمْ لاَ يَعْلَمُونَ الْحَقَّ فَهُمْ مُعْرِضُونَ |
Wa Mā 'Arsalnā Min Qablika Min Rasūl 'Iinillā Nūĥī 'Ilayhi 'Annahu Lā 'Ilāha 'Illā 'Anā Fā`budūni  | 25. Na hatukumtuma kabla yako Mtume yeyote ila
tulimfunulia ya kwamba hapana mungu isipo kuwa Mimi. Basi niabuduni Mimi
tu. | وَمَا أَرْسَلْنَا مِنْ قَبْلِكَ مِنْ رَسُول إٍِلاَّ نُوحِي إِلَيْهِ أَنَّهُ لاَ إِلَهَ~َ إِلاَّ أَنَا فَاعْبُدُونِ |
Wa Qālū Attakhadha Ar-Raĥmānu Waladāan Subĥānahu Bal `Ibādun Mukramūna  | 26. Na wanasema: Arrahman, Mwingi wa Rehema,
ana mwana! Subhanahu, Ametakasika na hayo! Bali hao (wanao waita wana)
ni watumwa walio tukuzwa. | وَقَالُوا اتَّخَذَ الرَّحْمَنُ وَلَدا ً سُبْحَانَه ُُ بَلْ عِبَاد ٌ مُكْرَمُونَ |
Lā Yasbiqūnahu Bil-Qawli Wa Hum Bi'amrihi Ya`malūna  | 27. Hawamtangulii kwa neno, nao wanafanya amri
zake. | لاَ يَسْبِقُونَه ُُ بِالْقَوْلِ وَهُمْ بِأَمْرِه ِِ يَعْمَلُونَ |
Ya`lamu Mā Bayna 'Aydīhim Wa Mā Khalfahum Wa Lā Yashfa`ūna 'Illā Limani Artađá Wa Hum Min Khashyatihi Mushfiqūna  | 28. Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma
yao. Wala hawamwombei yeyote ila yule anaye mridhia Yeye, nao kwa ajili
ya kumwogopa wananyenyekea. | يَعْلَمُ مَا بَيْنَ أَيْدِيهِمْ وَمَا خَلْفَهُمْ وَلاَ يَشْفَعُونَ إِلاَّ لِمَنِ ارْتَضَى وَهُمْ مِنْ خَشْيَتِه ِِ مُشْفِقُونَ |
Wa Man Yaqul Minhum 'Innī 'Ilahun Min Dūnihi Fadhālika Najzīhi Jahannama Kadhālika Najzī Až-Žālimīna  | 29. Na yeyote kati yao atakaye sema: Mimi ni
mungu, badala yake, basi huyo tutamlipa malipo yake Jahannamu. Hivyo ndivyo
tuwalipavyo wenye kudhulumu. | وَمَنْ يَقُلْ مِنْهُمْ إِنِّي إِلَه ٌ ٌ مِنْ دُونِه ِِ فَذَلِكَ نَجْزِيه ِِ جَهَنَّمَ كَذَلِكَ نَجْزِي الظَّالِمِينَ |
'Awalam Yará Al-Ladhīna Kafarū 'Anna As-Samāwāti Wa Al-'Arđa Kānatā Ratqāan Fafataqnāhumā Wa Ja`alnā Mina Al-Mā'i Kulla Shay'in Ĥayyin 'Afalā Yu'uminūna  | 30. Je! Hao walio kufuru hawakuona kwamba mbingu
na ardhi zilikuwa zimeambatana, kisha Sisi tukazibabandua? Na tukajaalia
kwa maji kila kilicho hai? Basi je, hawaamini? | أَوَلَمْ يَرَى الَّذِينَ كَفَرُوا أَنَّ السَّمَاوَاتِ وَالأَرْضَ كَانَتَا رَتْقا ً فَفَتَقْنَاهُمَا وَجَعَلْنَا مِنَ الْمَاءِ كُلَّ شَيْءٍ حَيٍّ أَفَلاَ يُؤْمِنُونَ |
Wa Ja`alnā Fī Al-'Arđi Rawāsiya 'An Tamīda Bihim Wa Ja`alnā Fīhā Fijājāan Subulāan La`allahum Yahtadūna  | 31. Na tukaweka katika ardhi milima iliyo thibiti
ili isiwayumbishe, na tukaweka humo njia pana ili wapate kuongoka. | وَجَعَلْنَا فِي الأَرْضِ رَوَاسِيَ أَنْ تَمِيدَ بِهِمْ وَجَعَلْنَا فِيهَا فِجَاجا ً سُبُلا ً لَعَلَّهُمْ يَهْتَدُونَ |
Wa Ja`alnā As-Samā'a Saqfāan Maĥfūžāan Wa Hum `An 'Āyātihā Mu`riđūna  | 32. Na tukaifanya mbingu kuwa dari iliyo hifadhiwa,
lakini wanazipuuza Ishara zake. | وَجَعَلْنَا السَّمَاءَ سَقْفا ً مَحْفُوظا ً وَهُمْ عَنْ آيَاتِهَا مُعْرِضُونَ |
Wa Huwa Al-Ladhī Khalaqa Al-Layla Wa An-Nahāra Wa Ash-Shamsa Wa Al-Qamara Kullun Fī Falakin Yasbaĥūna  | 33. Na Yeye ndiye aliye umba usiku na mchana
na jua na mwezi, vyote katika anga vinaogelea. | وَهُوَ الَّذِي خَلَقَ اللَّيْلَ وَالنَّهَارَ وَالشَّمْسَ وَالْقَمَرَ كُلّ ٌ فِي فَلَك ٍ يَسْبَحُونَ |
Wa Mā Ja`alnā Libasharin Min Qablika Al-Khulda 'Afa'īn Mitta Fahumu Al-Khālidūna  | 34. Nasi hatukumjaalia mwanaadamu yeyote kabla
yako kuwa na maisha ya milele. Basi je! Ukifa wewe, wao wataishi milele? | وَمَا جَعَلْنَا لِبَشَر ٍ مِنْ قَبْلِكَ الْخُلْدَ أَفَإِيْنْ مِتَّ فَهُمُ الْخَالِدُونَ |
Kullu Nafsin Dhā'iqatu Al-Mawti Wa Nablūkum Bish-Sharri Wa Al-Khayri Fitnatan Wa 'Ilaynā Turja`ūna  | 35. Kila nafsi itaonja mauti; na tunakujaribuni
kwa mtihani wa shari na kheri. Na kwetu Sisi mtarejeshwa. | كُلُّ نَفْس ٍ ذَائِقَةُ الْمَوْتِ وَنَبْلُوكُمْ بِالشَّرِّ وَالْخَيْرِ فِتْنَة ً وَإِلَيْنَا تُرْجَعُونَ |
Wa 'Idhā Ra'āka Al-Ladhīna Kafarū 'In Yattakhidhūnaka 'Illā Huzūan 'Ahadhā Al-Ladhī Yadhkuru 'Ālihatakum Wa Hum Bidhikri Ar-Raĥmāni Hum Kāfirūna  | 36. Na wakikuona walio kufuru hawakufanyi wewe
ila ni kitu cha maskhara tu, (wakisema): Je! Ndiye huyu anaye itaja miungu
yenu? Na hali wao wanakataa kumkumbuka Arrahman, Mwingi wa Rehema! | وَإِذَا رَآكَ الَّذِينَ كَفَرُوا إِنْ يَتَّخِذُونَكَ إِلاَّ هُزُواً أَهَذَا الَّذِي يَذْكُرُ آلِهَتَكُمْ وَهُمْ بِذِكْرِ الرَّحْمَنِ هُمْ كَافِرُونَ |
Khuliqa Al-'Insānu Min `Ajalin Sa'urīkum 'Āyātī Falā Tasta`jilūni  | 37. Mwanaadamu ameumbwa na haraka. Nitakuonyesheni
Ishara zangu. Basi msinihimize. | خُلِقَ الإِنسَانُ مِنْ عَجَل ٍ سَأُرِيكُمْ آيَاتِي فَلاَ تَسْتَعْجِلُونِ |
Wa Yaqūlūna Matá Hādhā Al-Wa`du 'In Kuntum Şādiqīna  | 38. Na wanasema: Ahadi hii itatokea lini, ikiwa
nyinyi mnasema kweli? | وَيَقُولُونَ مَتَى هَذَا الْوَعْدُ إِنْ كُنتُمْ صَادِقِينَ |
Law Ya`lamu Al-Ladhīna Kafarū Ĥīna Lā Yakuffūna `An Wujūhihimu An-Nāra Wa Lā `An Žuhūrihim Wa Lā Hum Yunşarūna  | 39. Lau wangeli jua wale walio kufuru wakati
ambao hawatauzuia Moto kwenye nyuso zao wala migongo yao, na wala hawatanusuriwa! | لَوْ يَعْلَمُ الَّذِينَ كَفَرُوا حِينَ لاَ يَكُفُّونَ عَنْ وُجُوهِهِمُ النَّارَ وَلاَ عَنْ ظُهُورِهِمْ وَلاَ هُمْ يُنْصَرُونَ |
Bal Ta'tīhim Baghtatan Fatabhatuhum Falā Yastaţī`ūna Raddahā Wa Lā Hum Yunžarūna  | 40. Bali utawafikia kwa ghafla, na utawashitua
na wala hawataweza kuurudisha, wala hawatapewa muhula! | بَلْ تَأْتِيهِمْ بَغْتَة ً فَتَبْهَتُهُمْ فَلاَ يَسْتَطِيعُونَ رَدَّهَا وَلاَ هُمْ يُنظَرُونَ |
Wa Laqadi Astuhzi'a Birusulin Min Qablika Faĥāqa Bial-Ladhīna Sakhirū Minhum Mā Kānū Bihi Yastahzi'ūn  | 41. Na Mitume walio kabla yako walikwisha dhihakiwa.
Kwa hivyo wale walio wafanyia maskhara yaliwafika yale waliyo kuwa wakiyafanyia
dhihaka. | وَلَقَدِ اسْتُهْزِئَ بِرُسُل ٍ مِنْ قَبْلِكَ فَحَاقَ بِالَّذِينَ سَخِرُوا مِنْهُمْ مَا كَانُوا بِه ِِ يَسْتَهْزِئُون |
Qul Man Yakla'uukum Bil-Layli Wa An-Nahāri Mina Ar-Raĥmāni Bal Hum `An Dhikri Rabbihim Mu`riđūna  | 42. Sema: Nani anaye kulindeni usiku na mchana
na Arrahmani Mwingi wa Rehema? Bali wao wanapuuza kumkumbuka Mola wao Mlezi. | قُلْ مَنْ يَكْلَؤُكُمْ بِاللَّيْلِ وَالنَّهَارِ مِنَ الرَّحْمَنِ بَلْ هُمْ عَنْ ذِكْرِ رَبِّهِمْ مُعْرِضُونَ |
'Am Lahum 'Ālihatun Tamna`uhum Min Dūninā Lā Yastaţī`ūna Naşra 'Anfusihim Wa Lā Hum Minnā Yuşĥabūna  | 43. Au wao wanao miungu watao weza kuwakinga
nasi? Hao hawawezi kujinusuru nafsi zao, wala hawatalindwa nasi! | أَمْ لَهُمْ آلِهَة ٌ تَمْنَعُهُمْ مِنْ دُونِنَا لاَ يَسْتَطِيعُونَ نَصْرَ أَنفُسِهِمْ وَلاَ هُمْ مِنَّا يُصْحَبُونَ |
Bal Matta`nā Hā'uulā' Wa 'Ābā'ahum Ĥattá Ţāla `Alayhimu Al-`Umuru 'Afalā Yarawna 'Annā Na'tī Al-'Arđa Nanquşuhā Min 'Aţrāfihā 'Afahumu Al-Ghālibūna  | 44. Bali tuliwastarehesha hawa na baba zao mpaka
umri ukawa mrefu kwao. Je, hawaoni ya kwamba Sisi tunaifikia ardhi tukiipunguza
ncha zake? Basi je! Hao ni wenye kushinda? | بَلْ مَتَّعْنَا هَاؤُلاَء وَآبَاءَهُمْ حَتَّى طَالَ عَلَيْهِمُ الْعُمُرُ أَفَلاَ يَرَوْنَ أَنَّا نَأْتِي الأَرْضَ نَنقُصُهَا مِنْ أَطْرَافِهَا أَفَهُمُ الْغَالِبُونَ |
Qul 'Innamā 'Undhirukum Bil-Waĥyi Wa Lā Yasma`u Aş-Şummu Ad-Du`ā'a 'Idhā Mā Yundharūna  | 45. Sema: Mimi nakuonyeni kwa Wahyi. Na viziwi
hawasikii wito wanapo onywa. | قُلْ إِنَّمَا أُنذِرُكُمْ بِالْوَحْيِ وَلاَ يَسْمَعُ الصُّمُّ الدُّعَاءَ إِذَا مَا يُنذَرُونَ |
Wa La'in Massat/hum Nafĥatun Min `Adhābi Rabbika Layaqūlunna Yā Waylanā 'Innā Kunnā Žālimīna  | 46. Na wanapo guswa na mpulizo mmoja tu wa adhabu
itokayo kwa Mola wako Mlezi, bila ya shaka wao husema: Ole wetu! Hakika
tulikuwa wenye kudhulumu. | وَلَئِنْ مَسَّتْهُمْ نَفْحَة ٌ مِنْ عَذَابِ رَبِّكَ لَيَقُولُنَّ يَاوَيْلَنَا إِنَّا كُنَّا ظَالِمِينَ |
Wa Nađa`u Al-Mawāzīna Al-Qisţa Liyawmi Al-Qiyāmati Falā Tužlamu Nafsun Shay'āan Wa 'In Kāna Mithqāla Ĥabbatin Min Khardalin 'Ataynā Bihā Wa Kafá Binā Ĥāsibīna  | 47. Nasi tutaweka mizani za uadilifu kwa Siku
ya Kiyama. Basi nafsi haitadhulumiwa kitu chochote. Hata ikiwa ni uzito
wa chembe ya khardali tutaileta. Nasi tunatosha kuwa washika hisabu. | وَنَضَعُ الْمَوَازِينَ الْقِسْطَ لِيَوْمِ الْقِيَامَةِ فَلاَ تُظْلَمُ نَفْس ٌ شَيْئا ً وَإِنْ كَانَ مِثْقَالَ حَبَّة ٍ مِنْ خَرْدَلٍ أَتَيْنَا بِهَا وَكَفَى بِنَا حَاسِبِينَ |
Wa Laqad 'Ātaynā Mūsá Wa Hārūna Al-Furqāna Wa Điyā'an Wa Dhikrāan Lilmuttaqīna  | 48. Na kwa yakini tuliwapa Musa na Haaruni kipambanuzi,
na mwangaza, na makumbusho kwa wachamngu, | وَلَقَدْ آتَيْنَا مُوسَى وَهَارُونَ الْفُرْقَانَ وَضِيَاء ً وَذِكْرا ً لِلْمُتَّقِينَ |
Al-Ladhīna Yakhshawna Rabbahum Bil-Ghaybi Wa Hum Mina As-Sā`ati Mushfiqūna  | 49. Ambao wanamkhofu Mola wao Mlezi faraghani,
na wanaiogopa Saa ya Kiyama. | الَّذِينَ يَخْشَوْنَ رَبَّهُمْ بِالْغَيْبِ وَهُمْ مِنَ السَّاعَةِ مُشْفِقُونَ |
Wa Hadhā Dhikrun Mubārakun 'Anzalnāhu 'Afa'antum Lahu Munkirūna  | 50. Na haya ni makumbusho yaliyo barikiwa, tuliyo
yateremsha. Basi je! Mnayakataa? | وَهَذَا ذِكْر ٌ مُبَارَكٌ أَنزَلْنَاهُ~ُ أَفَأَنْتُمْ لَه ُُ مُنكِرُونَ |
Wa Laqad 'Ātaynā 'Ibrāhīma Rushdahu Min Qablu Wa Kunnā Bihi `Ālimīna  | 51. Na hakika tulikwisha mpa Ibrahim uwongofu
wake zamani, na tulikuwa tunamjua. | وَلَقَدْ آتَيْنَا إِبْرَاهِيمَ رُشْدَه ُُ مِنْ قَبْلُ وَكُنَّا بِه ِِ عَالِمِينَ |
'Idh Qāla Li'abīhi Wa Qawmihi Mā Hadhihi At-Tamāthīlu Allatī 'Antum Lahā `Ākifūna  | 52. Alipo mwambia baba yake na watu wake: Ni
nini haya masanamu mnayo yashughulikia kuyaabudu? | إِذْ قَالَ لِأَبِيه ِِ وَقَوْمِه ِِ مَا هَذِهِ التَّمَاثِيلُ الَّتِي أَنْتُمْ لَهَا عَاكِفُونَ |
Qālū Wajadnā 'Ābā'anā Lahā `Ābidīna  | 53. Wakasema: Tumewakuta baba zetu wakiyaabudu. | قَالُوا وَجَدْنَا آبَاءَنَا لَهَا عَابِدِينَ |
Qāla Laqad Kuntum 'Antum Wa 'Ābā'uukum Fī Đalālin Mubīnin  | 54. Akasema: Bila ya shaka nyinyi na baba zenu
mmekuwa katika upotofu ulio dhaahiri. | قَالَ لَقَدْ كُنتُمْ أَنْتُمْ وَآبَاؤُكُمْ فِي ضَلاَل ٍ مُبِين ٍ |
Qālū 'Aji'tanā Bil-Ĥaqqi 'Am 'Anta Mina Al-Lā`ibīna  | 55. Wakasema: Je! Umetujia kwa maneno ya kweli
au wewe ni katika wachezao tu? | قَالُوا أَجِئْتَنَا بِالْحَقِّ أَمْ أَنْتَ مِنَ اللاَّعِبِينَ |
Qāla Bal Rabbukum Rabbu As-Samāwāti Wa Al-'Arđi Al-Ladhī Faţarahunna Wa 'Anā `Alá Dhālikum Mina Ash-Shāhidīna  | 56. Akasema: Bali Mola wenu Mlezi ni Mola Mlezi
wa mbingu na ardhi ambaye ndiye aliye ziumba. Na mimi ni katika wenye kuyashuhudia
hayo. | قَالَ بَل رَبُّكُمْ رَبُّ السَّمَاوَاتِ وَالأَرْضِ الَّذِي فَطَرَهُنَّ وَأَنَا عَلَى ذَلِكُمْ مِنَ الشَّاهِدِينَ |
Wa Tālllahi La'akīdanna 'Aşnāmakum Ba`da 'An Tuwallū Mudbirīna  | 57. Na Wallahi! Nitayafanyia vitimbi masanamu
yenu haya baada ya mkisha geuka kwenda zenu. | وَتَاللَّهِ لَأَكِيدَنَّ أَصْنَامَكُمْ بَعْدَ أَنْ تُوَلُّوا مُدْبِرِينَ |
Faja`alahum Judhādhāan 'Illā Kabīrāan Lahum La`allahum 'Ilayhi Yarji`ūna  | 58. Basi akayavunja vipande vipande, ila kubwa
lao, ili wao walirudie. | فَجَعَلَهُمْ جُذَاذا ً إِلاَّ كَبِيرا ً لَهُمْ لَعَلَّهُمْ إِلَيْهِ يَرْجِعُونَ |
Qālū Man Fa`ala Hādhā Bi'ālihatinā 'Innahu Lamina Až-Žālimīna  | 59. Wakasema: Nani aliye ifanyia haya miungu
yetu? Hakika huyu ni katika walio dhulumu. | قَالُوا مَنْ فَعَلَ هَذَا بِآلِهَتِنَا إِنَّه ُُ لَمِنَ الظَّالِمِينَ |
Qālū Sami`nā Fatáan Yadhkuruhum Yuqālu Lahu 'Ibrāhīmu  | 60. Wakasema: Tumemsikia kijana mmoja akiwataja.
Anaitwa Ibrahim. | قَالُوا سَمِعْنَا فَتى ً يَذْكُرُهُمْ يُقَالُ لَهُ~ُ إِبْرَاهِيمُ |
Qālū Fa'tū Bihi `Alá 'A`yuni An-Nāsi La`allahum Yash/hadūna  | 61. Wakasema: Mleteni mbele ya macho ya watu,
wapate kumshuhudia! | قَالُوا فَأْتُوا بِه ِِ عَلَى أَعْيُنِ النَّاسِ لَعَلَّهُمْ يَشْهَدُونَ |
Qālū 'A'anta Fa`alta Hādhā Bi'ālihatinā Yā 'Ibrāhīmu  | 62. Wakasema: Je! Wewe umeifanyia haya miungu
yetu, ewe Ibrahim? | قَالُوا أَأَنْتَ فَعَلْتَ هَذَا بِآلِهَتِنَا يَاإِبْرَاهِيمُ |
Qāla Bal Fa`alahu Kabīruhum Hādhā Fās'alūhum 'In Kānū Yanţiqūna  | 63. Akasema: Bali amefanya hayo huyu mkubwa wao.
Basi waulizeni ikiwa wanaweza kutamka. | قَالَ بَلْ فَعَلَه ُُ كَبِيرُهُمْ هَذَا فَاسْأَلُوهُمْ إِنْ كَانُوا يَنطِقُونَ |
Faraja`ū 'Ilá 'Anfusihim Faqālū 'Innakum 'Antumu Až-Žālimūna  | 64. Basi wakajirudi nafsi zao, wakasema: Hakika
nyinyi mlikuwa madhaalimu! | فَرَجَعُوا إِلَى أَنفُسِهِمْ فَقَالُوا إِنَّكُمْ أَنْتُمُ الظَّالِمُونَ |
Thumma Nukisū `Alá Ru'ūsihim Laqad `Alimta Mā Hā'uulā' Yanţiqūna  | 65. Kisha wakarejea kwenye ule ule upotovu wao
wakasema: Wewe unajua kwamba hawa hawesemi. | ثُمَّ نُكِسُوا عَلَى رُءُوسِهِمْ لَقَدْ عَلِمْتَ مَا هَاؤُلاَء يَنطِقُونَ |
Qāla 'Afata`budūna Min Dūni Allāhi Mā Lā Yanfa`ukum Shay'āan Wa Lā Yađurrukum  | 66. Akasema: Basi nyinyi mnawaabudu asiye kuwa
Mwenyezi Mungu wasio kufaini kitu wala kukudhuruni? | قَالَ أَفَتَعْبُدُونَ مِنْ دُونِ اللَّهِ مَا لاَ يَنفَعُكُمْ شَيْئا ً وَلاَ يَضُرُّكُمْ |
'Uffin Lakum Wa Limā Ta`budūna Min Dūni Allāhi 'Afalā Ta`qilūna  | 67. Aibu yenu nyinyi na hivyo mnavyo viabudu
badala ya Mwenyezi Mungu! Basi nyinyi hamtii akilini? | أُفّ ٍ لَكُمْ وَلِمَا تَعْبُدُونَ مِنْ دُونِ اللَّهِ أَفَلاَ تَعْقِلُونَ |
Qālū Ĥarriqūhu Wa Anşurū 'Ālihatakum 'In Kuntum Fā`ilīna  | 68. Wakasema: Mchomeni moto, na muinusuru miungu
yenu, ikiwa nyinyi ni watendao jambo! | قَالُوا حَرِّقُوه ُُ وَانصُرُوا آلِهَتَكُمْ إِنْ كُنتُمْ فَاعِلِينَ |
Qulnā Yā Nāru Kūnī Bardāan Wa Salāmāan `Alá 'Ibrāhīma  | 69. Sisi tukasema: Ewe moto! Kuwa baridi na salama
kwa Ibrahim! | قُلْنَا يَا نَارُ كُونِي بَرْدا ً وَسَلاَماً عَلَى إِبْرَاهِيمَ |
Wa 'Arādū Bihi Kaydāan Faja`alnāhumu Al-'Akhsarīna  | 70. Wao walimkusudia maovu, lakini Sisi tukawafanya
wao ndio walio khasiri. | وَأَرَادُوا بِه ِِ كَيْدا ً فَجَعَلْنَاهُمُ الأَخْسَرِينَ |
Wa Najjaynāhu Wa Lūţāan 'Ilá Al-'Arđi Allatī Bāraknā Fīhā Lil`ālamīna  | 71. Na tukamwokoa yeye na Luut'i tukawapeleka
kwenye nchi tulio ibariki kwa ajili ya walimwengu wote. | وَنَجَّيْنَاه ُُ وَلُوطا ً إِلَى الأَرْضِ الَّتِي بَارَكْنَا فِيهَا لِلْعَالَمِينَ |
Wa Wahabnā Lahu 'Isĥāqa Wa Ya`qūba Nāfilatan Wa Kullāan Ja`alnā Şāliĥīna  | 72. Naye tukampa Is-haq, na Yaaqub kuwa ni ziada.
Na wote tukawajaalia wawe watu wema. | وَوَهَبْنَا لَهُ~ُ إِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ نَافِلَة ً وَكُلاّ ً جَعَلْنَا صَالِحِينَ |
Wa Ja`alnāhum 'A'immatan Yahdūna Bi'amrinā Wa 'Awĥaynā 'Ilayhim Fi`la Al-Khayrāti Wa 'Iqāma Aş-Şalāati Wa 'Ītā'a Az-Zakāati Wa Kānū Lanā `Ābidīna  | 73. Na tukawafanya maimamu wakiongoa watu kwa
amri yetu. Na tukawafunulia watende kheri, na washike Sala, na watoe Zaka;
na walikuwa wanatuabudu Sisi tu. | وَجَعَلْنَاهُمْ أَئِمَّة ً يَهْدُونَ بِأَمْرِنَا وَأَوْحَيْنَا إِلَيْهِمْ فِعْلَ الْخَيْرَاتِ وَإِقَامَ الصَّلاَةِ وَإِيتَاءَ الزَّكَاةِ وَكَانُوا لَنَا عَابِدِينَ |
Wa Lūţāan 'Ātaynāhu Ĥukmāan Wa `Ilmāan Wa Najjaynāhu Mina Al-Qaryati Allatī Kānat Ta`malu Al-Khabā'itha 'Innahum Kānū Qawma Saw'in Fāsiqīna  | 74. Na Luut'i tukampa hukumu na ilimu na tukamwokoa
na ule mji ulio kuwa ukifanya maovu. Hakika hao walikuwa watu wabaya, wachafu. | وَلُوطا ً آتَيْنَاه ُُ حُكْما ً وَعِلْما ً وَنَجَّيْنَاه ُُ مِنَ الْقَرْيَةِ الَّتِي كَانَتْ تَعْمَلُ الْخَبَائِثَ إِنَّهُمْ كَانُوا قَوْمَ سَوْء ٍ فَاسِقِينَ |
Wa 'Adkhalnāhu Fī Raĥmatinā 'Innahu Mina Aş-Şāliĥīna  | 75. Na tukamuingiza katika rehema yetu. Hakika
yeye ni miongoni mwa watenda mema. | وَأَدْخَلْنَاه ُُ فِي رَحْمَتِنَا إِنَّه ُُ مِنَ الصَّالِحِينَ |
Wa Nūĥāan 'Idh Nādá Min Qablu Fāstajabnā Lahu Fanajjaynāhu Wa 'Ahlahu Mina Al-Karbi Al-`Ažīmi  | 76. Na Nuhu alipo ita zamani, nasi tukamuitikia,
na tukamwokoa yeye na watu wake kutokana na shida kubwa. | وَنُوحا ً إِذْ نَادَى مِنْ قَبْلُ فَاسْتَجَبْنَا لَه ُُ فَنَجَّيْنَاه ُُ وَأَهْلَه ُُ مِنَ الْكَرْبِ الْعَظِيمِ |
Wa Naşarnāhu Mina Al-Qawmi Al-Ladhīna Kadhdhabū Bi'āyātinā 'Innahum Kānū Qawma Saw'in Fa'aghraqnāhum 'Ajma`īna  | 77. Na tukamnusuru na watu walio zikanusha Ishara
zetu. Hakika hao walikuwa watu wabaya. Basi tukawazamisha wote. | وَنَصَرْنَاه ُُ مِنَ الْقَوْمِ الَّذِينَ كَذَّبُوا بِآيَاتِنَا إِنَّهُمْ كَانُوا قَوْمَ سَوْء ٍ فَأَغْرَقْنَاهُمْ أَجْمَعِينَ |
Wa Dāwūda Wa Sulaymāna 'Idh Yaĥkumāni Fī Al-Ĥarthi 'Idh Nafashat Fīhi Ghanamu Al-Qawmi Wa Kunnā Liĥukmihim Shāhidīna  | 78. Na Daud na Suleiman walipo kata hukumu katika
kadhiya ya konde walipo lisha humo mbuzi wa watu usiku. Na Sisi tulikuwa
wenye kushuhudia hukumu yao hiyo. | وَدَاوُودَ وَسُلَيْمَانَ إِذْ يَحْكُمَانِ فِي الْحَرْثِ إِذْ نَفَشَتْ فِيه ِِ غَنَمُ الْقَوْمِ وَكُنَّا لِحُكْمِهِمْ شَاهِدِينَ |
Fafahhamnāhā Sulaymāna Wa Kullāan 'Ātaynā Ĥukmāan Wa `Ilmāan Wa Sakhkharnā Ma`a Dāwūda Al-Jibāla Yusabbiĥna Wa Aţ-Ţayra Wa Kunnā Fā`ilīna  | 79. Tukamfahamisha Suleiman. Na kila mmoja wao
tulimpa hukumu na ilimu. Na tuliifanya milima na ndege kuwa pamoja na Daud
imnyenyekee na imtakase Mwenyezi Mungu. Na Sisi ndio tulio fanya hayo. | فَفَهَّمْنَاهَا سُلَيْمَانَ وَكُلاّ ً آتَيْنَا حُكْما ً وَعِلْما ً وَسَخَّرْنَا مَعَ دَاوُودَ الْجِبَالَ يُسَبِّحْنَ وَالطَّيْرَ وَكُنَّا فَاعِلِينَ |
Wa `Allamnāhu Şan`ata Labūsin Lakum Lituĥşinakum Min Ba'sikum Fahal 'Antum Shākirūna  | 80. Na tukamfundisha kuunda mavazi ya vita kwa
ajili yenu ili yakuhifadhini katika kupigana kwenu. Je! Mtakuwa wenye kushukuru? | وَعَلَّمْنَاه ُُ صَنْعَةَ لَبُوس ٍ لَكُمْ لِتُحْصِنَكُمْ مِنْ بَأْسِكُمْ فَهَلْ أَنْتُمْ شَاكِرُونَ |
Wa Lisulaymāna Ar-Rīĥa `Āşifatan Tajrī Bi'amrihi 'Ilá Al-'Arđi Allatī Bāraknā Fīhā Wa Kunnā Bikulli Shay'in `Ālimīna  | 81. Na tukamsahilishia Suleiman upepo wa kimbunga
wendao kwa amri yake kwenye ardhi tuliyo ibarikia. Na Sisi ndio tunao jua
kila kitu. | وَلِسُلَيْمَانَ الرِّيحَ عَاصِفَة ً تَجْرِي بِأَمْرِهِ~ِ إِلَى الأَرْضِ الَّتِي بَارَكْنَا فِيهَا وَكُنَّا بِكُلِّ شَيْءٍ عَالِمِينَ |
Wa Mina Ash-Shayāţīni Man Yaghūşūna Lahu Wa Ya`malūna `Amalāan Dūna Dhālika Wa Kunnā Lahum Ĥāfižīna  | 82. Na pia mashet'ani wanao mpigia mbizi na kufanya
kazi nyenginezo. Na Sisi tulikuwa walinzi wao. | وَمِنَ الشَّيَاطِينِ مَنْ يَغُوصُونَ لَه ُُ وَيَعْمَلُونَ عَمَلا ً دُونَ ذَلِكَ وَكُنَّا لَهُمْ حَافِظِينَ |
Wa 'Ayyūba 'Idh Nādá Rabbahu 'Annī Massanī Ađ-Đurru Wa 'Anta 'Arĥamu Ar-Rāĥimīna  | 83. Na Ayyubu, alipo mwita Mola wake Mlezi, akasema:
Mimi yamenipata madhara. Na Wewe ndiye unaye rehemu kuliko wote wanao rehemu. | وَأَيُّوبَ إِذْ نَادَى رَبَّهُ~ُ أَنِّي مَسَّنِي الضُّرُّ وَأَنْتَ أَرْحَمُ الرَّاحِمِينَ |
Fāstajabnā Lahu Fakashafnā Mā Bihi Min Đurrin Wa 'Ātaynāhu 'Ahlahu Wa Mithlahum Ma`ahum Raĥmatan Min `Indinā Wa Dhikrá Lil`ābidīna  | 84. Basi tukamwitikia, na tukamwondolea madhara
aliyo kuwa nayo, na tukampa watu wake na mfano wao pamoja nao kuwa ni rehema
inayo toka kwetu, na ukumbusho kwa wafanyao ibada. | فَاسْتَجَبْنَا لَه ُُ فَكَشَفْنَا مَا بِه ِِ مِنْ ضُرّ ٍ وَآتَيْنَاهُ~ُ أَهْلَه ُُ وَمِثْلَهُمْ مَعَهُمْ رَحْمَة ً مِنْ عِنْدِنَا وَذِكْرَى لِلْعَابِدِينَ |
Wa 'Ismā`īla Wa 'Idrīsa Wa Dhā Al-Kifli Kullun Mina Aş-Şābirīna  | 85. Na Ismail, na Idris, na Dhulkifli - wote
walikuwa miongoni mwa wanao subiri. | وَإِسْمَاعِيلَ وَإِدْرِي |