'Alif-Lām-Rā Tilka 'Āyātu Al-Kitābi Al-Ĥakīmi  | 1. Alif Lam Ra. Hizo ni Aya za Kitabu chenye Hikima. | أَلِف-لَام-رَا تِلْكَ آيَاتُ الْكِتَابِ الْحَكِيمِ |
'Akāna Lilnnāsi `Ajabāan 'An 'Awĥaynā 'Ilá Rajulin Minhum 'An 'Andhiri An-Nāsa Wa Bashshiri Al-Ladhīna 'Āmanū 'Anna Lahum Qadama Şidqin `Inda Rabbihim Qāla Al-Kāfirūna 'Inna Hādhā Lasāĥirun Mubīnun  | 2. Je! Imekuwa ajabu kwa watu kwamba tumemfunulia
mmoja wao kuwa: Waonye watu, na wabashirie wale walio amini ya kuwa watakuwa
na cheo cha juu kwa Mola wao Mlezi? Wakasema makafiri: Hakika huyu ni mchawi
dhaahiri! | أَكَانَ لِلنَّاسِ عَجَباً أَنْ أَوْحَيْنَا إِلَى رَجُل ٍ مِنْهُمْ أَنْ أَنْذِرِ النَّاسَ وَبَشِّرِ الَّذِينَ آمَنُوا أَنَّ لَهُمْ قَدَمَ صِدْقٍ عِنْدَ رَبِّهِمْ قَالَ الْكَافِرُونَ إِنَّ هَذَا لَسَاحِر ٌ مُبِين ٌ |
'Inna Rabbakumu Allāhu Al-Ladhī Khalaqa As-Samāwāti Wa Al-'Arđa Fī Sittati 'Ayyāmin Thumma Astawá `Alá Al-`Arshi Yudabbiru Al-'Amra Mā Min Shafī`in 'Illā Min Ba`di 'Idhnihi Dhalikumu Allāhu Rabbukum Fā`budūhu 'Afalā Tadhakkarūna  | 3. Hakika Mola wenu Mlezi ni Mwenyezi Mungu, ambaye
ameziumba mbingu na ardhi kwa siku sita, na ametawala kwenye ufalme wake,
anaendesha mambo yote. Hapana mwombezi ila baada ya idhini yake. Huyo ndiye
Mwenyezi Mungu, Mola wenu Mlezi. Basi muabuduni Yeye. Je! Hamkumbuki? | إِنَّ رَبَّكُمُ اللَّهُ الَّذِي خَلَقَ السَّمَاوَاتِ وَالأَرْضَ فِي سِتَّةِ أَيَّام ٍ ثُمَّ اسْتَوَى عَلَى الْعَرْشِ يُدَبِّرُ الأَمْرَ مَا مِنْ شَفِيع ٍ إِلاَّ مِنْ بَعْدِ إِذْنِه ِِ ذَلِكُمُ اللَّهُ رَبُّكُمْ فَاعْبُدُوهُ~ُ أَفَلاَ تَذَكَّرُونَ |
'Ilayhi Marji`ukum Jamī`āan Wa`da Allāhi Ĥaqqāan 'Innahu Yabda'u Al-Khalqa Thumma Yu`īduhu Liyajziya Al-Ladhīna 'Āmanū Wa `Amilū Aş-Şāliĥāti Bil-Qisţi Wa Al-Ladhīna Kafarū Lahum Sharābun Min Ĥamīmin Wa `Adhābun 'Alīmun Bimā Kānū Yakfurūna  | 4. Kwake Yeye tu ndio marejeo yenu nyote. Hii
ni ahadi ya Mwenyezi Mungu iliyo ya kweli. Hakika Yeye ndiye aliye anzisha
uumbaji, na kisha ataurejesha ili awalipe kwa uadilifu wale walio amini
na wakatenda mema. Na walio kufuru, wao watapata vinywaji vinavyo chemka,
na adhabu chungu kwa sababu ya walivyo kuwa wakikufuru. | إِلَيْهِ مَرْجِعُكُمْ جَمِيعا ً وَعْدَ اللَّهِ حَقّا ً إِنَّه ُُ يَبْدَأُ الْخَلْقَ ثُمَّ يُعِيدُه ُُ لِيَجْزِيَ الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ بِالْقِسْطِ وَالَّذِينَ كَفَرُوا لَهُمْ شَرَاب ٌ مِنْ حَمِيم ٍ وَعَذَابٌ أَلِيم ٌ بِمَا كَانُوا يَكْفُرُونَ |
Huwa Al-Ladhī Ja`ala Ash-Shamsa Điyā'an Wa Al-Qamara Nūrāan Wa Qaddarahu Manāzila Lita`lamū `Adada As-Sinīna Wa Al-Ĥisāba Mā Khalaqa Allāhu Dhālika 'Illā Bil-Ĥaqqi Yufaşşilu Al-'Āyāti Liqawmin Ya`lamūna  | 5. Yeye ndiye aliye lijaalia jua kuwa na mwangaza,
na mwezi ukawa na nuru, na akaupimia vituo ili mjue idadi ya miaka na hisabu.
Mwenyezi Mungu hakuviumba hivyo ila kwa Haki. Anazipambanua Ishara kwa
watu wanao jua. | هُوَ الَّذِي جَعَلَ الشَّمْسَ ضِيَاء ً وَالْقَمَرَ نُورا ً وَقَدَّرَه ُُ مَنَازِلَ لِتَعْلَمُوا عَدَدَ السِّنِينَ وَالْحِسَابَ مَا خَلَقَ اللَّهُ ذَلِكَ إِلاَّ بِالْحَقِّ يُفَصِّلُ الآيَاتِ لِقَوْم ٍ يَعْلَمُونَ |
'Inna Fī Akhtilāfi Al-Layli Wa An-Nahāri Wa Mā Khalaqa Allāhu Fī As-Samāwāti Wa Al-'Arđi La'āyātin Liqawmin Yattaqūna  | 6. Hakika katika kukhitalifiana usiku na mchana,
na katika alivyo umba Mwenyezi Mungu katika mbingu na ardhi, zipo Ishara
kwa watu wanao mcha-Mngu. | إِنَّ فِي اخْتِلاَفِ اللَّيْلِ وَالنَّهَارِ وَمَا خَلَقَ اللَّهُ فِي السَّمَاوَاتِ وَالأَرْضِ لَآيَات ٍ لِقَوْم ٍ يَتَّقُونَ |
'Inna Al-Ladhīna Lā Yarjūna Liqā'anā Wa Rađū Bil-Ĥayāati Ad-Dunyā Wa Aţma'annū Bihā Wa Al-Ladhīna Hum `An 'Āyātinā Ghāfilūna  | 7. Hakika wasio taraji kukutana nasi, na wakaridhia
maisha ya dunia na wakatua nayo, na walio ghafilika na Ishara zetu, | إِنَّ الَّذِينَ لاَ يَرْجُونَ لِقَاءَنَا وَرَضُوا بِالْحَيَاةِ الدُّنْيَا وَاطْمَأَنُّوا بِهَا وَالَّذِينَ هُمْ عَنْ آيَاتِنَا غَافِلُونَ |
'Ūlā'ika Ma'wāhumu An-Nāru Bimā Kānū Yaksibūna  | 8. Hao, makaazi yao ni Motoni kwa sababu ya waliyo
kuwa wakiyachuma. | أُوْلَائِكَ مَأْوَاهُمُ النَّارُ بِمَا كَانُوا يَكْسِبُونَ |
'Inna Al-Ladhīna 'Āmanū Wa `Amilū Aş-Şāliĥāti Yahdīhim Rabbuhum Bi'īmānihim Tajrī Min Taĥtihimu Al-'Anhāru Fī Jannāti An-Na`īmi  | 9. Hakika walio amini na wakatenda mema, Mola
wao Mlezi atawaongoa kwa sababu ya Imani yao. Itakuwa inapita mito kati
yao katika Mabustani yenye neema. | إِنَّ الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ يَهْدِيهِمْ رَبُّهُمْ بِإِيمَانِهِمْ تَجْرِي مِنْ تَحْتِهِمُ الأَنْهَارُ فِي جَنَّاتِ النَّعِيمِ |
Da`wāhum Fīhā Subĥānaka Al-Lahumma Wa Taĥīyatuhum Fīhā Salāmun Wa 'Ākhiru Da`wāhum 'Ani Al-Ĥamdu Lillāhi Rabbi Al-`Ālamīna  | 10. Wito wao humo utakuwa: Subhanaka Llahumma
"Umetakasika Ee Mwenyezi Mungu!" Na maamkio yao humo ni "Salama". Na mwisho
wa wito wao ni: Alhamdulillahi Rabbil A'lamiin "Kuhimidiwa kote ni kwa
Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu wote." | دَعْوَاهُمْ فِيهَا سُبْحَانَكَ اللَّهُمَّ وَتَحِيَّتُهُمْ فِيهَا سَلاَم ٌ وَآخِرُ دَعْوَاهُمْ أَنِ الْحَمْدُ لِلَّهِ رَبِّ الْعَالَمِينَ |
Wa Law Yu`ajjilu Allāhu Lilnnāsi Ash-Sharra Asti`jālahum Bil-Khayri Laquđiya 'Ilayhim 'Ajaluhum Fanadharu Al-Ladhīna Lā Yarjūna Liqā'anā Fī Ţughyānihim Ya`mahūna  | 11. Na lau kama Mwenyezi Mungu angeli wafanyia
watu haraka kuwaletea shari kama wanavyo jihimizia kuletewa kheri, bila
ya shaka wangelisha timiziwa ajali yao. Lakini tunawaacha wale wasio tumainia
kukutana nasi wakihangaika katika upotovu wao. | وَلَوْ يُعَجِّلُ اللَّهُ لِلنَّاسِ الشَّرَّ اسْتِعْجَالَهُمْ بِالْخَيْرِ لَقُضِيَ إِلَيْهِمْ أَجَلُهُمْ فَنَذَرُ الَّذِينَ لاَ يَرْجُونَ لِقَاءَنَا فِي طُغْيَانِهِمْ يَعْمَهُونَ |
Wa 'Idhā Massa Al-'Insāna Ađ-Đurru Da`ānā Lijanbihi 'Aw Qā`idāan 'Aw Qā'imāan Falammā Kashafnā `Anhu Đurrahu Marra Ka'an Lam Yad`unā 'Ilá Đurrin Massahu Kadhālika Zuyyina Lilmusrifīna Mā Kānū Ya`malūna  | 12. Na mtu akiguswa na shida hutuomba naye kaegesha
ubavu, au kakaa, au kasimama. Lakini tukimwondoshea shida yake huendelea
kama kwamba hakupata kutuomba tumwondoshee shida iliyo mpata. Ndio namna
hiyo wamepambiwa warukao mipaka yale waliyo kuwa wakiyatenda. | وَإِذَا مَسَّ الإِنْسَانَ الضُّرُّ دَعَانَا لِجَنْبِهِ~ِ أَوْ قَاعِداً أَوْ قَائِما ً فَلَمَّا كَشَفْنَا عَنْهُ ضُرَّه ُُ مَرَّ كَأَنْ لَمْ يَدْعُنَا إِلَى ضُرّ ٍ مَسَّه ُُ كَذَلِكَ زُيِّنَ لِلْمُسْرِفِينَ مَا كَانُوا يَعْمَلُونَ |
Wa Laqad 'Ahlaknā Al-Qurūna Min Qablikum Lammā Žalamū Wa Jā'at/hum Rusuluhum Bil-Bayyināti Wa Mā Kānū Liyu'uminū Kadhālika Najzī Al-Qawma Al-Mujrimīna  | 13. Na kwa yakini tumekwisha ziangamiza kaumu
za kabla yenu walipo dhulumu, na waliwajia Mitume wao kwa Ishara zilizo
wazi; lakini hawakuwa wenye kuamini. Ndio kama hivyo tunavyo walipa watu
wakosefu. | وَلَقَدْ أَهْلَكْنَا الْقُرُونَ مِنْ قَبْلِكُمْ لَمَّا ظَلَمُوا وَجَاءَتْهُمْ رُسُلُهُمْ بِالْبَيِّنَاتِ وَمَا كَانُوا لِيُؤْمِنُوا كَذَلِكَ نَجْزِي الْقَوْمَ الْمُجْرِمِينَ |
Thumma Ja`alnākum Khalā'ifa Fī Al-'Arđi Min Ba`dihim Linanžura Kayfa Ta`malūna  | 14. Kisha tukakufanyeni nyiye ndio wenye kushika
mahala pao baada yao katika ardhi ili tuone jinsi mtakavyo tenda. | ثُمَّ جَعَلْنَاكُمْ خَلاَئِفَ فِي الأَرْضِ مِنْ بَعْدِهِمْ لِنَنْظُرَ كَيْفَ تَعْمَلُونَ |
Wa 'Idhā Tutlá `Alayhim 'Āyātunā Bayyinātin Qāla Al-Ladhīna Lā Yarjūna Liqā'anā A'ti Biqur'ānin Ghayri Hādhā 'Aw Baddilhu Qul Mā Yakūnu Lī 'An 'Ubaddilahu Min Tilqā'i Nafsī 'In 'Attabi`u 'Illā Mā Yūĥá 'Ilayya 'Innī 'Akhāfu 'In `Aşaytu Rabbī `Adhāba Yawmin `Ažīmin  | 15. Na wanapo somewa Aya zetu zilizo wazi, wale
wasio taraji kukutana na Sisi husema: Lete Qur'ani isiyo kuwa hii, au ibadilishe.
Sema: Hainifalii mimi kuibadilisha kwa nitakavyo nafsi yangu. Mimi sifuati
ila ninayo funuliwa kwa Wahyi. Hakika mimi naogopa, nikimuasi Mola wangu
Mlezi, adhabu ya Siku iliyo kuu. | وَإِذَا تُتْلَى عَلَيْهِمْ آيَاتُنَا بَيِّنَات ٍ قَالَ الَّذِينَ لاَ يَرْجُونَ لِقَاءَنَا ائْتِ بِقُرْآنٍ غَيْرِ هَذَا أَوْ بَدِّلْهُ قُلْ مَا يَكُونُ لِي أَنْ أُبَدِّلَه ُُ مِنْ تِلْقَاءِ نَفْسِي إِنْ أَتَّبِعُ إِلاَّ مَا يُوحَى إِلَيَّ إِنِّي أَخَافُ إِنْ عَصَيْتُ رَبِّي عَذَابَ يَوْمٍ عَظِيم ٍ |
Qul Law Shā'a Allāhu Mā Talawtuhu `Alaykum Wa Lā 'Adrākum Bihi Faqad Labithtu Fīkum `Umurāan Min Qablihi 'Afalā Ta`qilūna  | 16. Sema: Mwenyezi Mungu angeli taka nisingeli
kusomeeni, wala nisingeli kujuvyeni. Kwani nalikwisha kaa nanyi umri mzima
kabla yake! Basi, je! Hamzingatii? | قُلْ لَوْ شَاءَ اللَّهُ مَا تَلَوْتُه ُُ عَلَيْكُمْ وَلاَ أَدْرَاكُمْ بِه ِِ فَقَدْ لَبِثْتُ فِيكُمْ عُمُرا ً مِنْ قَبْلِهِ~ِ أَفَلاَ تَعْقِلُونَ |
Faman 'Ažlamu Mimmani Aftará `Alá Allāhi Kadhibāan 'Aw Kadhdhaba Bi'āyātihi 'Innahu Lā Yufliĥu Al-Mujrimūna  | 17. Basi ni nani aliye dhaalimu zaidi kuliko
yule anaye mzulia uwongo Mwenyezi Mungu na akazikanusha Ishara zake? Hakika
hawafanikiwi wakosefu. | فَمَنْ أَظْلَمُ مِمَّنِ افْتَرَى عَلَى اللَّهِ كَذِباً أَوْ كَذَّبَ بِآيَاتِهِ~ِ إِنَّهُ لاَ يُفْلِحُ الْمُجْرِمُونَ |
Wa Ya`budūna Min Dūni Allāhi Mā Lā Yađurruhum Wa Lā Yanfa`uhum Wa Yaqūlūna Hā'uulā' Shufa`ā'uunā `Inda Allāhi Qul 'Atunabbi'ūna Allāha Bimā Lā Ya`lamu Fī As-Samāwāti Wa Lā Fī Al-'Arđi Subĥānahu Wa Ta`ālá `Ammā Yushrikūna  | 18. Nao, badala ya Mwenyezi Mungu, wanaabudu
wasio wadhuru wala kuwanufaisha, na wanasema: Hawa ndio waombezi wetu kwa
Mwenyezi Mungu! Sema: Je! Mnamwambia Mwenyezi Mungu asiyo yajua ya katika
mbingu wala katika ardhi? Subhanahu wa Taa'la! Ametakasika na ametukuka
na hao wanao mshirikisha naye. | وَيَعْبُدُونَ مِنْ دُونِ اللَّهِ مَا لاَ يَضُرُّهُمْ وَلاَ يَنْفَعُهُمْ وَيَقُولُونَ هَاؤُلاَء شُفَعَاؤُنَا عِنْدَ اللَّهِ قُلْ أَتُنَبِّئُونَ اللَّهَ بِمَا لاَ يَعْلَمُ فِي السَّمَاوَاتِ وَلاَ فِي الأَرْضِ سُبْحَانَه ُُ وَتَعَالَى عَمَّا يُشْرِكُونَ |
Wa Mā Kāna An-Nāsu 'Illā 'Ummatan Wāĥidatan Fākhtalafū Wa Lawlā Kalimatun Sabaqat Min Rabbika Laquđiya Baynahum Fīmā Fīhi Yakhtalifūna  | 19. Wala watu hawakuwa ila Umma mmoja tu. Kisha
wakakhitalifiana. Na lau kuwa si neno lililo kwisha tangulia kutokana na
Mola wako Mlezi, hapana shaka hukumu ingeli kwisha katwa baina yao katika
hayo wanayo khitalifiana. | وَمَا كَانَ النَّاسُ إِلاَّ أُمَّة ً وَاحِدَة ً فَاخْتَلَفُوا وَلَوْلاَ كَلِمَة ٌ سَبَقَتْ مِنْ رَبِّكَ لَقُضِيَ بَيْنَهُمْ فِيمَا فِيه ِِ يَخْتَلِفُونَ |
Wa Yaqūlūna Lawlā 'Unzila `Alayhi 'Āyatun Min Rabbihi Faqul 'Innamā Al-Ghaybu Lillāhi Fāntažirū 'Innī Ma`akum Mina Al-Muntažirīna  | 20. Na wanasema: Kwa nini hakuteremshiwa Ishara
kutoka kwa Mola wake Mlezi? Sema: Mambo ya ghaibu ni ya Mwenyezi Mungu.
Basi nyinyi ngojeni, na mimi ni pamoja nanyi katika wanao ngojea. | وَيَقُولُونَ لَوْلاَ أُنْزِلَ عَلَيْهِ آيَة ٌ مِنْ رَبِّه ِِ فَقُلْ إِنَّمَا الْغَيْبُ لِلَّهِ فَانْتَظِرُوا إِنِّي مَعَكُمْ مِنَ الْمُنْتَظِرِينَ |
Wa 'Idhā 'Adhaqnā An-Nāsa Raĥmatan Min Ba`di Đarrā'a Massat/hum 'Idhā Lahum Makrun Fī 'Āyātinā Quli Allāhu 'Asra`u Makrāan 'Inna Rusulanā Yaktubūna Mā Tamkurūn  | 21. Na tunapo waonjesha watu rehema baada ya
shida waliyo ipata, utawaona wana vitimbi kuzipangia Ishara zetu. Sema:
Mwenyezi Mungu ni Mwepesi zaidi wa kupanga. Hakika wajumbe wetu wanayaandika
mnayo yapanga. | وَإِذَا أَذَقْنَا النَّاسَ رَحْمَة ً مِنْ بَعْدِ ضَرَّاءَ مَسَّتْهُمْ إِذَا لَهُمْ مَكْر ٌ فِي آيَاتِنَا قُلِ اللَّهُ أَسْرَعُ مَكْرا ً إِنَّ رُسُلَنَا يَكْتُبُونَ مَا تَمْكُرُون |
Huwa Al-Ladhī Yusayyirukum Fī Al-Barri Wa Al-Baĥri Ĥattá 'Idhā Kuntum Fī Al-Fulki Wa Jarayna Bihim Birīĥin Ţayyibatin Wa Fariĥū Bihā Jā'at/hā Rīĥun `Āşifun Wa Jā'ahumu Al-Mawju Min Kulli Makānin Wa Žannū 'Annahum 'Uĥīţa Bihim Da`aw Allāha Mukhlişīna Lahu Ad-Dīna La'in 'Anjaytanā Min Hadhihi Lanakūnanna Mina Ash-Shākirīna  | 22. Yeye ndiye anaye kuendesheni bara na baharini.
Hata mnapo kuwa majahazini na yakawa yanakwenda nao kwa upepo mzuri wakaufurahia,
upepo mkali ukawazukia, na yakawajia mawimbi kutoka kila upande, na wakaona
wamesha zongwa, basi hapo humwomba Mwenyezi Mungu kwa kumsafishia niya:
Ukituokoa na haya bila ya shaka tutakuwa miongoni mwa wanao shukuru. | هُوَ الَّذِي يُسَيِّرُكُمْ فِي الْبَرِّ وَالْبَحْرِ حَتَّى إِذَا كُنْتُمْ فِي الْفُلْكِ وَجَرَيْنَ بِهِمْ بِرِيح ٍ طَيِّبَة ٍ وَفَرِحُوا بِهَا جَاءَتْهَا رِيحٌ عَاصِف ٌ وَجَاءَهُمُ الْمَوْجُ مِنْ كُلِّ مَكَان ٍ وَظَنُّوا أَنَّهُمْ أُحِيطَ بِهِمْ دَعَوْا اللَّهَ مُخْلِصِينَ لَهُ الدِّينَ لَئِنْ أَنْجَيْتَنَا مِنْ هَذِه ِِ لَنَكُونَنَّ مِنَ الشَّاكِرِينَ |
Falammā 'Anjāhum 'Idhā Hum Yabghūna Fī Al-'Arđi Bighayri Al-Ĥaqqi Yā 'Ayyuhā An-Nāsu 'Innamā Baghyukum `Alá 'Anfusikum Matā`a Al-Ĥayāati Ad-Dunyā Thumma 'Ilaynā Marji`ukum Fanunabbi'ukum Bimā Kuntum Ta`malūna  | 23. Lakini akisha waokoa, mara wanafanya jeuri
tena katika nchi bila ya haki. Enyi watu! Jeuri zenu zitakudhuruni wenyewe.
Hii ni starehe ya maisha ya dunia tu. Kisha marejeo yenu ni kwetu, na hapo
tutakuambieni mliyo kuwa mkiyatenda. | فَلَمَّا أَنْجَاهُمْ إِذَا هُمْ يَبْغُونَ فِي الأَرْضِ بِغَيْرِ الْحَقِّ يَا أَيُّهَا النَّاسُ إِنَّمَا بَغْيُكُمْ عَلَى أَنْفُسِكُمْ مَتَاعَ الْحَيَاةِ الدُّنْيَا ثُمَّ إِلَيْنَا مَرْجِعُكُمْ فَنُنَبِّئُكُمْ بِمَا كُنْتُمْ تَعْمَلُونَ |
'Innamā Mathalu Al-Ĥayāati Ad-Dunyā Kamā'in 'Anzalnāhu Mina As-Samā'i Fākhtalaţa Bihi Nabātu Al-'Arđi Mimmā Ya'kulu An-Nāsu Wa Al-'An`ām Ĥattá 'Idhā 'Akhadhati Al-'Arđu Zukhrufahā Wa Azzayyanat Wa Žanna 'Ahluhā 'Annahum Qādirūna `Alayhā 'Atāhā 'Amrunā Laylāan 'Aw Nahārāan Faja`alnāhā Ĥaşīdāan Ka'an Lam Taghna Bil-'Amsi Kadhālika Nufaşşilu Al-'Āyāti Liqawmin Yatafakkarūna  | 24. Hakika mfano wa maisha ya dunia ni kama maji
tuliyo yateremsha kutoka mbinguni, kisha yakachanganyika na mimea ya ardhi
wanayo ila watu na wanyama. Mpaka ardhi ilipo kamilika uzuri wake, na ikapambika,
na wenyewe wakadhani wamesha iweza, iliifikia amri yetu usiku au mchana,
tukaifanya kama iliyo fyekwa - kama kwamba haikuwapo jana. Namna hivi tunazipambanua
Ishara zetu kwa watu wanao fikiri. | إِنَّمَا مَثَلُ الْحَيَاةِ الدُّنْيَا كَمَاءٍ أَنْزَلْنَاه ُُ مِنَ السَّمَاءِ فَاخْتَلَطَ بِه ِِ نَبَاتُ الأَرْضِ مِمَّا يَأْكُلُ النَّاسُ وَالأَنعَام حَتَّى إِذَا أَخَذَتِ الأَرْضُ زُخْرُفَهَا وَازَّيَّنَتْ وَظَنَّ أَهْلُهَا أَنَّهُمْ قَادِرُونَ عَلَيْهَا أَتَاهَا أَمْرُنَا لَيْلاً أَوْ نَهَارا ً فَجَعَلْنَاهَا حَصِيدا ً كَأَنْ لَمْ تَغْنَ بِالأَمْسِ كَذَلِكَ نُفَصِّلُ الآيَاتِ لِقَوْم ٍ يَتَفَكَّرُونَ |
Wa Allāhu Yad`ū 'Ilá Dāri As-Salāmi Wa Yahdī Man Yashā'u 'Ilá Şirāţin Mustaqīmin  | 25. Na Mwenyezi Mungu anaita kwendea Nyumba ya
Amani, na anamwongoa amtakaye kwenye Njia Iliyo Nyooka. | وَاللَّهُ يَدْعُو إِلَى دَارِ السَّلاَمِ وَيَهْدِي مَنْ يَشَاءُ إِلَى صِرَاط ٍ مُسْتَقِيم ٍ |
Lilladhīna 'Aĥsanū Al-Ĥusná Wa Ziyādatun Wa Lā Yarhaqu Wujūhahum Qatarun Wa Lā Dhillatun 'Ūlā'ika 'Aşĥābu Al-Jannati Hum Fīhā Khālidūna  | 26. Kwa wafanyao wema ni wema na zaidi. Wala
vumbi halitawafunika nyuso zao, wala madhila. Hao ndio watu wa Peponi.
Humo watadumu. | لِلَّذِينَ أَحْسَنُوا الْحُسْنَى وَزِيَادَة ٌ وَلاَ يَرْهَقُ وُجُوهَهُمْ قَتَر ٌ وَلاَ ذِلَّةٌ أُوْلَائِكَ أَصْحَابُ الْجَنَّةِ هُمْ فِيهَا خَالِدُونَ |
Wa Al-Ladhīna Kasabū As-Sayyi'āti Jazā'u Sayyi'atin Bimithlihā Wa Tarhaquhum Dhillatun Mā Lahum Mina Allāhi Min `Āşimin Ka'annamā 'Ughshiyat Wujūhuhum Qiţa`āan Mina Al-Layli Mužlimāan 'Ūlā'ika 'Aşĥābu An-Nāri Hum Fīhā Khālidūna  | 27. Na wale walio chuma maovu, malipo ya uovu
ni mfano wake vile vile, na yatawafika madhila. Hawatakuwa na wa kuwalinda
na Mwenyezi Mungu. Nyuso zao kama kwamba zimefunikwa na vipande vya usiku
wa giza. Hao ndio watu wa Motoni, wao humo watadumu. | وَالَّذِينَ كَسَبُوا السَّيِّئَاتِ جَزَاءُ سَيِّئَة ٍ بِمِثْلِهَا وَتَرْهَقُهُمْ ذِلَّة ٌ مَا لَهُمْ مِنَ اللَّهِ مِنْ عَاصِم ٍ كَأَنَّمَا أُغْشِيَتْ وُجُوهُهُمْ قِطَعا ً مِنَ اللَّيْلِ مُظْلِماً أُوْلَائِكَ أَصْحَابُ النَّارِ هُمْ فِيهَا خَالِدُونَ |
Wa Yawma Naĥshuruhum Jamī`āan Thumma Naqūlu Lilladhīna 'Ashrakū Makānakum 'Antum Wa Shurakā'uukum Fazayyalnā Baynahum Wa Qāla Shurakā'uuhum Mā Kuntum 'Īyānā Ta`budūna  | 28. Na siku tutakapo wakusanya wote, kisha tutawaambia
walio shirikisha: Simameni mahali penu nyinyi na wale mlio wafanya washirika.
Kisha tutawatenga baina yao. Na hao walio washirikisha watasema: Nyinyi
hamkuwa mkituabudu sisi. | وَيَوْمَ نَحْشُرُهُمْ جَمِيعا ً ثُمَّ نَقُولُ لِلَّذِينَ أَشْرَكُوا مَكَانَكُمْ أَنْتُمْ وَشُرَكَاؤُكُمْ فَزَيَّلْنَا بَيْنَهُمْ وَقَالَ شُرَكَاؤُهُمْ مَا كُنْتُمْ إِيَّانَا تَعْبُدُونَ |
Fakafá Billāhi Shahīdāan Baynanā Wa Baynakum 'In Kunnā `An `Ibādatikum Laghāfilīna  | 29. Mwenyezi Mungu anatosha kuwa ni shahidi baina
yetu na nyinyi. Hakika sisi tulikuwa hatuna khabari ya ibada yenu. | فَكَفَى بِاللَّهِ شَهِيدا ً بَيْنَنَا وَبَيْنَكُمْ إِنْ كُنَّا عَنْ عِبَادَتِكُمْ لَغَافِلِينَ |
Hunālika Tablū Kullu Nafsin Mā 'Aslafat Wa Ruddū 'Ilá Allāhi Mawlāhumu Al-Ĥaqqi Wa Đalla `Anhum Mā Kānū Yaftarūna  | 30. Huko kila mtu atayajua aliyo yatanguliza.
Na watarudishwa kwa Mwenyezi Mungu, Mola wao wa Haki, na yote waliyo kuwa
wakiyazua yatawapotea. | هُنَالِكَ تَبْلُو كُلُّ نَفْس ٍ مَا أَسْلَفَتْ وَرُدُّوا إِلَى اللَّهِ مَوْلاَهُمُ الْحَقِّ وَضَلَّ عَنْهُمْ مَا كَانُوا يَفْتَرُونَ |
Qul Man Yarzuqukum Mina As-Samā'i Wa Al-'Arđi 'Amman Yamliku As-Sam`a Wa Al-'Abşāra Wa Man Yukhriju Al-Ĥayya Mina Al-Mayyiti Wa Yukhriju Al-Mayyita Mina Al-Ĥayyi Wa Man Yudabbiru Al-'Amra Fasayaqūlūna Allāhu Faqul 'Afalā Tattaqūna  | 31. Sema: Ni nani anaye kuruzukuni kutoka mbinguni
na kwenye ardhi? Au ni nani anaye miliki kusikia na kuona? Na nani amtoaye
hai kutoka maiti, na akamtoa maiti kutoka aliye hai? Na nani anaye yadabiri
mambo yote? Watasema: Allah, Mwenyezi Mungu. Basi sema: Je! Hamchi? | قُلْ مَنْ يَرْزُقُكُمْ مِنَ السَّمَاءِ وَالأَرْضِ أَمَّنْ يَمْلِكُ السَّمْعَ وَالأَبْصَارَ وَمَنْ يُخْرِجُ الْحَيَّ مِنَ الْمَيِّتِ وَيُخْرِجُ الْمَيِّتَ مِنَ الْحَيِّ وَمَنْ يُدَبِّرُ الأَمْرَ فَسَيَقُولُونَ اللَّهُ فَقُلْ أَفَلاَ تَتَّقُونَ |
Fadhalikumu Allāhu Rabbukumu Al-Ĥaqqu Famādhā Ba`da Al-Ĥaqqi 'Illā Ađ-Đalālu Fa'annā Tuşrafūna  | 32. Basi huyo ndiye Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi
wenu wa haki. Na kipo kitu gani baada ya haki, isipokuwa upotovu tu? Basi
huwaje mkageuzwa? | فَذَلِكُمُ اللَّهُ رَبُّكُمُ الْحَقُّ فَمَاذَا بَعْدَ الْحَقِّ إِلاَّ الضَّلاَلُ فَأَنَّا تُصْرَفُونَ |
Kadhālika Ĥaqqat Kalimatu Rabbika `Alá Al-Ladhīna Fasaqū 'Annahum Lā Yu'uminūna  | 33. Ndio kama hivyo kauli ya Mola wako Mlezi
itakavyo wathibitikia wale walio potoka, ya kwamba hawatoamini. | كَذَلِكَ حَقَّتْ كَلِمَةُ رَبِّكَ عَلَى الَّذِينَ فَسَقُوا أَنَّهُمْ لاَ يُؤْمِنُونَ |
Qul Hal Min Shurakā'ikum Man Yabda'u Al-Khalqa Thumma Yu`īduhu Quli Allāhu Yabda'u Al-Khalqa Thumma Yu`īduhu Fa'anná Tu'ufakūna  | 34. Sema: Je! Yupo katika miungu yenu ya ushirikina
aliye anzisha kuumba viumbe, na kisha akavirejesha? Huwaje, basi, mkadanganywa? | قُلْ هَلْ مِنْ شُرَكَائِكُمْ مَنْ يَبْدَأُ الْخَلْقَ ثُمَّ يُعِيدُه ُُ قُلِ اللَّهُ يَبْدَأُ الْخَلْقَ ثُمَّ يُعِيدُه ُُ فَأَنَّى تُؤْفَكُونَ |
Qul Hal Min Shurakā'ikum Man Yahdī 'Ilá Al-Ĥaqqi Quli Allāhu Yahdī Lilĥaqqi 'Afaman Yahdī 'Ilá Al-Ĥaqqi 'Aĥaqqu 'An Yuttaba`a 'Amman Lā Yahiddī 'Illā 'An Yuhdá Famā Lakum Kayfa Taĥkumūna  | 35. Sema: Je! Yupo katika miungu yenu ya ushirikina
anaye ongoa kwendea Haki? Sema: Mwenyezi Mungu anaongoa kwendea Haki. Basi,
je, anaye stahiki kufuatwa ni yule Mwenye kuongoa kwendea Haki au asiye
ongoa ila aongozwe yeye? Basi nyinyi mna nini? Mnahukumu namna gani? | قُلْ هَلْ مِنْ شُرَكَائِكُمْ مَنْ يَهْدِي إِلَى الْحَقِّ قُلِ اللَّهُ يَهْدِي لِلْحَقِّ أَفَمَنْ يَهْدِي إِلَى الْحَقِّ أَحَقُّ أَنْ يُتَّبَعَ أَمَّنْ لاَ يَهِدِّي إِلاَّ أَنْ يُهْدَى فَمَا لَكُمْ كَيْفَ تَحْكُمُونَ |
Wa Mā Yattabi`u 'Aktharuhum 'Illā Žannāan 'Inna Až-Žanna Lā Yughnī Mina Al-Ĥaqqi Shay'āan 'Inna Allāha `Alīmun Bimā Yaf`alūna  | 36. Na wengi wao hawafuati ila dhana tu. Na dhana
haifai kitu mbele ya haki. Hakika Mwenyezi Mungu anajua yote wanayo yatenda. | وَمَا يَتَّبِعُ أَكْثَرُهُمْ إِلاَّ ظَنّا ً إِنَّ الظَّنَّ لاَ يُغْنِي مِنَ الْحَقِّ شَيْئا ً إِنَّ اللَّهَ عَلِيم ٌ بِمَا يَفْعَلُونَ |
Wa Mā Kāna Hādhā Al-Qur'ānu 'An Yuftará Min Dūni Allāhi Wa Lakin Taşdīqa Al-Ladhī Bayna Yadayhi Wa Tafşīla Al-Kitābi Lā Rayba Fīhi Min Rabbi Al-`Ālamīna  | 37. Na haiwezekani Qur'ani hii kuwa imetungwa
na haitoki kwa Mwenyezi Mungu. Lakini hii inasadikisha yaliyo tangulia,
na ni mfafanuo wa Kitabu kisicho na shaka ndani yake, kutokana na Mola
Mlezi wa viumbe vyote. | وَمَا كَانَ هَذَا الْقُرْآنُ أَنْ يُفْتَرَى مِنْ دُونِ اللَّهِ وَلَكِنْ تَصْدِيقَ الَّذِي بَيْنَ يَدَيْهِ وَتَفْصِيلَ الْكِتَابِ لاَ رَيْبَ فِيه ِِ مِنْ رَبِّ الْعَالَمِينَ |
'Am Yaqūlūna Aftarāhu Qul Fa'tū Bisūratin Mithlihi Wa Ad`ū Mani Astaţa`tum Min Dūni Allāhi 'In Kuntum Şādiqīna  | 38. Je! Ndiyo wanasema ameizua? Sema: Hebu leteni
sura moja mfano wake na muwaite (kukusaidieni) muwawezao, isipo kuwa Mwenyezi
Mungu, ikiwa nyinyi mnasema kweli. | أَمْ يَقُولُونَ افْتَرَاه ُُ قُلْ فَأْتُوا بِسُورَة ٍ مِثْلِه ِِ وَادْعُوا مَنِ اسْتَطَعْتُمْ مِنْ دُونِ اللَّهِ إِنْ كُنْتُمْ صَادِقِينَ |
Bal Kadhdhabū Bimā Lam Yuĥīţū Bi`ilmihi Wa Lammā Ya'tihim Ta'wīluhu Kadhālika Kadhdhaba Al-Ladhīna Min Qablihim Fānžur Kayfa Kāna `Āqibatu Až-Žālimīna  | 39.Bali wameyakanusha wasio yaelewa ilimu yake
kabla hayajawajia maelezo yake. Kadhaalika walio kabla yao walikanusha
vile vile. Basi angalia jinsi ulivyo kuwa mwisho wa madhaalimu hao. | بَلْ كَذَّبُوا بِمَا لَمْ يُحِيطُوا بِعِلْمِه ِِ وَلَمَّا يَأْتِهِمْ تَأْوِيلُه ُُ كَذَلِكَ كَذَّبَ الَّذِينَ مِنْ قَبْلِهِمْ فَانْظُرْ كَيْفَ كَانَ عَاقِبَةُ الظَّالِمِينَ |
Wa Minhum Man Yu'uminu Bihi Wa Minhum Man Lā Yu'uminu Bihi Wa Rabbuka 'A`lamu Bil-Mufsidīna  | 40. Na miongoni mwao wapo wanao iamini, na miongoni
mwao wapo wasio iamini. Na Mola wako Mlezi anawajua vyema mafisadi. | وَمِنْهُمْ مَنْ يُؤْمِنُ بِه ِِ وَمِنْهُمْ مَنْ لاَ يُؤْمِنُ بِه ِِ وَرَبُّكَ أَعْلَمُ بِالْمُفْسِدِينَ |
Wa 'In Kadhdhabūka Faqul Lī `Amalī Wa Lakum `Amalukum 'Antum Barī'ūna Mimmā 'A`malu Wa 'Anā Barī'un Mimmā Ta`malūna  | 41. Na wakikukanusha wewe, sema: Mimi nina a'mali
yangu, na nyinyi mna a'mali yenu. Nyinyi hamna jukumu kwa niyatendayo,
wala mimi sina jukumu kwa myatendayo. | وَإِنْ كَذَّبُوكَ فَقُلْ لِي عَمَلِي وَلَكُمْ عَمَلُكُمْ أَنْتُمْ بَرِيئُونَ مِمَّا أَعْمَلُ وَأَنَا بَرِيء ٌ مِمَّا تَعْمَلُونَ |
Wa Minhum Man Yastami`ūna 'Ilayka 'Afa'anta Tusmi`u Aş-Şumma Wa Law Kānū Lā Ya`qilūna  | 42. Na wapo miongoni mwao wanao kusikiliza. Je,
wewe unaweza kuwafanya viziwi wasikie ijapo kuwa hawafahamu? | وَمِنْهُمْ مَنْ يَسْتَمِعُونَ إِلَيْكَ أَفَأَنْتَ تُسْمِعُ الصُّمَّ وَلَوْ كَانُوا لاَ يَعْقِلُونَ |
Wa Minhum Man Yanžuru 'Ilayka 'Afa'anta Tahdī Al-`Umya Wa Law Kānū Lā Yubşirūna  | 43. Na wapo miongoni mwao wanao kutazama. Je,
wewe utawaongoa vipofu ingawa hawaoni? | وَمِنْهُمْ مَنْ يَنْظُرُ إِلَيْكَ أَفَأَنْتَ تَهْدِي الْعُمْيَ وَلَوْ كَانُوا لاَ يُبْصِرُونَ |
'Inna Allāha Lā Yažlimu An-Nāsa Shay'āan Wa Lakinna An-Nāsa 'Anfusahum Yažlimūna  | 44. Hakika Mwenyezi Mungu hawadhulumu watu kitu
chochote; lakini watu wenyewe wanajidhulumu nafsi zao. | إِنَّ اللَّهَ لاَ يَظْلِمُ النَّاسَ شَيْئا ً وَلَكِنَّ النَّاسَ أَنْفُسَهُمْ يَظْلِمُونَ |
Wa Yawma Yaĥshuruhum Ka'an Lam Yalbathū 'Illā Sā`atan Mina An-Nahāri Yata`ārafūna Baynahum Qad Khasira Al-Ladhīna Kadhdhabū Biliqā'i Allāhi Wa Mā Kānū Muhtadīna  | 45. Na Siku atakapo wakusanya, itakuwa kama kwamba
hawakukaa ila saa moja tu ya mchana! Watatambuana. Hakika wamekhasirika
walio kanusha kukutana na Mwenyezi Mungu, wala hawakuwa wenye kuongoka. | وَيَوْمَ يَحْشُرُهُمْ كَأَنْ لَمْ يَلْبَثُوا إِلاَّ سَاعَة ً مِنَ النَّهَارِ يَتَعَارَفُونَ بَيْنَهُمْ قَدْ خَسِرَ الَّذِينَ كَذَّبُوا بِلِقَاءِ اللَّهِ وَمَا كَانُوا مُهْتَدِينَ |
Wa 'Immā Nuriyannaka Ba`đa Al-Ladhī Na`iduhum 'Aw Natawaffayannaka Fa'ilaynā Marji`uhum Thumma Allāhu Shahīdun `Alá Mā Yaf`alūna  | 46. Na vyovyote vile, tukikuonyesha baadhi ya
tunayo waahidi, au tukakufisha kabla yake, marejeo yao ni kwetu. Kisha
Mwenyezi Mungu ni Shahidi wa wanayo yafanya. | وَإِمَّا نُرِيَنَّكَ بَعْضَ الَّذِي نَعِدُهُمْ أَوْ نَتَوَفَّيَنَّكَ فَإِلَيْنَا مَرْجِعُهُمْ ثُمَّ اللَّهُ شَهِيدٌ عَلَى مَا يَفْعَلُونَ |
Wa Likulli 'Ummatin Rasūlun Fa'idhā Jā'a Rasūluhum Quđiya Baynahum Bil-Qisţi Wa Hum Lā Yužlamūna  | 47. Na kila umma una Mtume. Alipo wajia Mtume
wao walihukumiwa baina yao kwa uadilifu, wala hawakudhulumiwa. | وَلِكُلِّ أُمَّة ٍ رَسُول ٌ فَإِذَا جَاءَ رَسُولُهُمْ قُضِيَ بَيْنَهُمْ بِالْقِسْطِ وَهُمْ لاَ يُظْلَمُونَ |
Wa Yaqūlūna Matá Hādhā Al-Wa`du 'In Kuntum Şādiqīna  | 48. Na wanasema: Lini ahadi hii, ikiwa mnasema
kweli? | وَيَقُولُونَ مَتَى هَذَا الْوَعْدُ إِنْ كُنْتُمْ صَادِقِينَ |
Qul Lā 'Amliku Linafsī Đarrāan Wa Lā Naf`āan 'Illā Mā Shā'a Allāhu Likulli 'Ummatin 'Ajalun 'Idhā Jā'a 'Ajaluhum Falā Yasta'khirūna Sā`atan Wa Lā Yastaqdimūna  | 49. Sema: Sijimilikii nafsi yangu shari wala
kheri ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Kila umma una muda wao walio wekewa.
Ukifika muda wao hawakawii hata saa moja wala hawatangulii. | قُلْ لاَ أَمْلِكُ لِنَفْسِي ضَرّا ً وَلاَ نَفْعا ً إِلاَّ مَا شَاءَ اللَّهُ لِكُلِّ أُمَّةٍ أَجَل ٌ إِذَا جَاءَ أَجَلُهُمْ فَلاَ يَسْتَأْخِرُونَ سَاعَة ً وَلاَ يَسْتَقْدِمُونَ |
Qul 'Ara'aytum 'In 'Atākum `Adhābuhu Bayātāan 'Aw Nahārāan Mādhā Yasta`jilu Minhu Al-Mujrimūna  | 50. Sema: Mwaonaje ikikufikieni hiyo adhabu yake
usiku au mchana, sehemu gani ya adhabu wanaihimiza wakosefu? | قُلْ أَرَأَيْتُمْ إِنْ أَتَاكُمْ عَذَابُه ُُ بَيَاتاً أَوْ نَهَارا ً مَاذَا يَسْتَعْجِلُ مِنْهُ الْمُجْرِمُونَ |
'Athumma 'Idhā Mā Waqa`a 'Āmantum Bihi 'Āl'āna Wa Qad Kuntum Bihi Tasta`jilūna  | 51. Tena je! Ikisha tokea mtaiamini? Je! Ndio
sasa tena? Na nyinyi mlikuwa mkiihimiza. | أَثُمَّ إِذَا مَا وَقَعَ آمَنْتُمْ بِهِ~ِ أَالآنَ وَقَدْ كُنْتُمْ بِه ِِ تَسْتَعْجِلُونَ |
Thumma Qīla Lilladhīna Žalamū Dhūqū `Adhāba Al-Khuldi Hal Tujzawna 'Illā Bimā Kuntum Taksibūna  | 52. Kisha walio dhulumu wataambiwa: Onjeni adhabu
ya kudumu. Kwani mtalipwa isipo kuwa yale mliyo kuwa mkiyachuma? | ثُمَّ قِيلَ لِلَّذِينَ ظَلَمُوا ذُوقُوا عَذَابَ الْخُلْدِ هَلْ تُجْزَوْنَ إِلاَّ بِمَا كُنْتُمْ تَكْسِبُونَ |
Wa Yastanbi'ūnaka 'Aĥaqqun Huwa Qul 'Ī Wa Rabbī 'Innahu Laĥaqqun Wa Mā 'Antum Bimu`jizīna  | 53. Na wanakuuliza: Je! Ni kweli hayo? Sema:
Ehe! Naapa kwa Mola wangu Mlezi! Hakika hayo ni kweli, na wala nyinyi hamshindi! | وَيَسْتَنْبِئُونَكَ أَحَقٌّ هُوَ قُلْ إِي وَرَبِّي إِنَّه ُُ لَحَقّ ٌ وَمَا أَنْتُمْ بِمُعْجِزِينَ |
Wa Law 'Anna Likulli Nafsin Žalamat Mā Fī Al-'Arđi Lāftadat Bihi Wa 'Asarrū An-Nadāmata Lammā Ra'aw Al-`Adhāba Wa Quđiya Baynahum Bil-Qisţi Wa Hum Lā Yužlamūna  | 54. Na lau kuwa kila nafsi iliyo dhulumu inamiliki
kila kiliomo duniani, bila ya shaka ingeli toa vyote kujikombolea. Na watakapo
iona adhabu wataficha majuto. Na patahukumiwa baina yao kwa uadilifu, nao
hawatadhulumiwa. | وَلَوْ أَنَّ لِكُلِّ نَفْس ٍ ظَلَمَتْ مَا فِي الأَرْضِ لاَفْتَدَتْ بِه ِِ وَأَسَرُّوا النَّدَامَةَ لَمَّا رَأَوُا الْعَذَابَ وَقُضِيَ بَيْنَهُمْ بِالْقِسْطِ وَهُمْ لاَ يُظْلَمُونَ |
'Alā 'Inna Lillāhi Mā Fī As-Samāwāti Wa Al-'Arđi 'Alā 'Inna Wa`da Allāhi Ĥaqqun Wa Lakinna 'Aktharahum Lā Ya`lamūna  | 55. Jueni kuwa hakika vyote viliomo katika mbingu
na katika ardhi ni vya Mwenyezi Mungu. Jueni kuwa hakika ahadi ya Mwenyezi
Mungu ni ya haki. Lakini wengi wao hawajui. | أَلاَ إِنَّ لِلَّهِ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَالأَرْضِ أَلاَ إِنَّ وَعْدَ اللَّهِ حَقّ ٌ وَلَكِنَّ أَكْثَرَهُمْ لاَ يَعْلَمُونَ |
Huwa Yuĥyī Wa Yumītu Wa 'Ilayhi Turja`ūna  | 56. Yeye ndiye anaye fufua na anaye fisha. Na
kwake mtarejeshwa. | هُوَ يُحْيِي وَيُم |