'Alif-Lām-Mīm  | 1. Alif Lam Mim. | أَلِف-لَام-مِيم |
Dhālika Al-Kitābu Lā Rayba Fīhi Hudáan Lilmuttaqīna  | 2. Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake;
ni uwongofu kwa wachamungu, | ذَلِكَ الْكِتَابُ لاَ رَيْبَ فِيه ِِ هُدى ً لِلْمُتَّقِينَ |
Al-Ladhīna Yu'uminūna Bil-Ghaybi Wa Yuqīmūna Aş-Şalāata Wa Mimmā Razaqnāhum Yunfiqūna  | 3. Ambao huyaamini ya ghaibu na hushika Sala, na
hutoa katika tuliyo wapa. | الَّذِينَ يُؤْمِنُونَ بِالْغَيْبِ وَيُقِيمُونَ الصَّلاَةَ وَمِمَّا رَزَقْنَاهُمْ يُنفِقُونَ |
Wa Al-Ladhīna Yu'uminūna Bimā 'Unzila 'Ilayka Wa Mā 'Unzila Min Qablika Wa Bil-'Ākhirati Hum Yūqinūna  | 4. Na ambao wanayaamini yaliyo teremshwa kwako,
na yaliyo teremshwa kabla yako; na Akhera wana yakini nayo. | وَالَّذِينَ يُؤْمِنُونَ بِمَا أُنْزِلَ إِلَيْكَ وَمَا أُنْزِلَ مِنْ قَبْلِكَ وَبِالآخِرَةِ هُمْ يُوقِنُونَ |
'Ūlā'ika `Alá Hudáan Min Rabbihim Wa 'Ūlā'ika Humu Al-Mufliĥūna  | 5. Hao wapo juu ya uwongofu utokao kwa Mola wao
Mlezi, na hao ndio walio fanikiwa. | أُوْلَائِكَ عَلَى هُدى ً مِنْ رَبِّهِمْ وَأُوْلَائِكَ هُمُ الْمُفْلِحُونَ |
'Inna Al-Ladhīna Kafarū Sawā'un `Alayhim 'A 'Andhartahum 'Am Lam Tundhirhum Lā Yu'uminūna  | 6. Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya
au usiwaonye, hawaamini. | إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا سَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَ أَنذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنذِرْهُمْ لاَ يُؤْمِنُونَ |
Khatama Allāhu `Alá Qulūbihim Wa `Alá Sam`ihim Wa `Alá 'Abşārihim Ghishāwatun Wa Lahum `Adhābun `Ažīmun  | 7. Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao
na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata
adhabu kubwa. | خَتَمَ اللَّهُ عَلَى قُلُوبِهِمْ وَعَلَى سَمْعِهِمْ وَعَلَى أَبْصَارِهِمْ غِشَاوَة ٌ وَلَهُمْ عَذَابٌ عَظِيم ٌ |
Wa Mina An-Nāsi Man Yaqūlu 'Āmannā Billāhi Wa Bil-Yawmi Al-'Ākhiri Wa Mā Hum Bimu'uminīna  | 8. Na katika watu, wako wasemao: Tumemwamini Mwenyezi
Mungu na Siku ya Mwisho, wala wao si wenye kuamini. | وَمِنَ النَّاسِ مَنْ يَقُولُ آمَنَّا بِاللَّهِ وَبِالْيَوْمِ الآخِرِ وَمَا هُمْ بِمُؤْمِنِينَ |
Yukhādi`ūna Allāha Wa Al-Ladhīna 'Āmanū Wa Mā Yakhda`ūna 'Illā 'Anfusahum Wa Mā Yash`urūna  | 9. Wanatafuta kumdanganya Mwenyezi Mungu na wale
walio amini, lakini hawadanganyi ila nafsi zao; nao hawatambui. | يُخَادِعُونَ اللَّهَ وَالَّذِينَ آمَنُوا وَمَا يَخْدَعُونَ إِلاّ أَنفُسَهُمْ وَمَا يَشْعُرُونَ |
Fī Qulūbihim Marađun Fazādahumu Allāhu Marađāan Wa Lahum `Adhābun 'Alīmun Bimā Kānū Yakdhibūna  | 10. Nyoyoni mwao mna maradhi, na Mwenyezi Mungu
amewazidishia maradhi. Basi watakuwa na adhabu chungu kwa sababu ya kusema
kwao uwongo. | فِي قُلُوبِهِمْ مَرَض ٌ فَزَادَهُمُ اللَّهُ مَرَضا ً وَلَهُمْ عَذَابٌ أَلِيم ٌ بِمَا كَانُوا يَكْذِبُونَ |
Wa 'Idhā Qīla Lahum Lā Tufsidū Fī Al-'Arđi Qālū 'Innamā Naĥnu Muşliĥūna  | 11. Na wanapo ambiwa: Msifanye uharibifu ulimwenguni.
Husema: Bali sisi ni watengenezaji. | وَإِذَا قِيلَ لَهُمْ لاَ تُفْسِدُوا فِي الأَرْضِ قَالُوا إِنَّمَا نَحْنُ مُصْلِحُونَ |
'Alā 'Innahum Humu Al-Mufsidūna Wa Lakin Lā Yash`urūna  | 12. Hakika wao ndio waharibifu, lakini hawatambui. | أَلاَ إِنَّهُمْ هُمُ الْمُفْسِدُونَ وَلَكِنْ لاَ يَشْعُرُونَ |
Wa 'Idhā Qīla Lahum 'Āminū Kamā 'Āmana An-Nāsu Qālū 'Anu'uminu Kamā 'Āmana As-Sufahā'u 'Alā 'Innahum Humu As-Sufahā'u Wa Lakin Lā Ya`lamūna  | 13. Na wanapo ambiwa: Aminini kama walivyo amini
watu. Husema: Tuamini kama walivyo amini wapumbavu? Hakika wao ndio wapumbavu,
lakini hawajui tu. | وَإِذَا قِيلَ لَهُمْ آمِنُوا كَمَا آمَنَ النَّاسُ قَالُوا أَنُؤْمِنُ كَمَا آمَنَ السُّفَهَاءُ أَلاَ إِنَّهُمْ هُمُ السُّفَهَاءُ وَلَكِنْ لاَ يَعْلَمُونَ |
Wa 'Idhā Laqū Al-Ladhīna 'Āmanū Qālū 'Āmannā Wa 'Idhā Khalaw 'Ilá Shayāţīnihim Qālū 'Innā Ma`akum 'Innamā Naĥnu Mustahzi'ūna  | 14. Na wanapo kutana na walio amini husema: Tumeamini.
Na wanapo kuwa peke yao na mashet'ani wao husema: Hakika sisi tu pamoja
nanyi. Hakika sisi tunawadhihaki tu. | وَإِذَا لَقُوا الَّذِينَ آمَنُوا قَالُوا آمَنَّا وَإِذَا خَلَوْا إِلَى شَيَاطِينِهِمْ قَالُوا إِنَّا مَعَكُمْ إِنَّمَا نَحْنُ مُسْتَهْزِئُونَ |
Allāhu Yastahzi'u Bihim Wa Yamudduhum Fī Ţughyānihim Ya`mahūna  | 15. Mwenyezi Mungu atawadhihaki wao na atawawacha
katika upotofu wao wakitangatanga ovyo. | اللَّهُ يَسْتَهْزِئُ بِهِمْ وَيَمُدُّهُمْ فِي طُغْيَانِهِمْ يَعْمَهُونَ |
'Ūlā'ika Al-Ladhīna Ashtaraw Ađ-Đalālata Bil-Hudá Famā Rabiĥat Tijāratuhum Wa Mā Kānū Muhtadīna  | 16. Hao ndio walio nunua upotofu kwa uwongofu;
lakini biashara yao haikupata tija, wala hawakuwa wenye kuongoka. | أُوْلَائِكَ الَّذِينَ اشْتَرَوُا الضَّلاَلَةَ بِالْهُدَى فَمَا رَبِحَتْ تِجَارَتُهُمْ وَمَا كَانُوا مُهْتَدِينَ |
Mathaluhum Kamathali Al-Ladhī Astawqada Nārāan Falammā 'Ađā'at Mā Ĥawlahu Dhahaba Allāhu Binūrihim Wa Tarakahum Fī Žulumātin Lā Yubşirūna  | 17. Mfano wao ni kama mfano wa aliye koka moto,
na ulipo tanda mwangaza wake kote kote Mwenyezi Mungu aliiondoa nuru yao
na akawawacha katika giza, hawaoni. | مَثَلُهُمْ كَمَثَلِ الَّذِي اسْتَوْقَدَ نَارا ً فَلَمَّا أَضَاءَتْ مَا حَوْلَه ُُ ذَهَبَ اللَّهُ بِنُورِهِمْ وَتَرَكَهُمْ فِي ظُلُمَات ٍ لاَ يُبْصِرُونَ |
Şummun Bukmun `Umyun Fahum Lā Yarji`ūna  | 18. Viziwi, mabubu, vipofu; kwa hivyo hawatarejea. | صُمّ ٌ بُكْمٌ عُمْي ٌ فَهُمْ لاَ يَرْجِعُونَ |
'Aw Kaşayyibin Mina As-Samā'i Fīhi Žulumātun Wa Ra`dun Wa Barqun Yaj`alūna 'Aşābi`ahum Fī 'Ādhānihim Mina Aş-Şawā`iqi Ĥadhara Al-Mawti Wa Allāhu Muĥīţun Bil-Kāfirīna  | 19. Au ni kama mvua kubwa itokayo mbinguni, ina
giza na radi na umeme; wakawa wakitia vidole vyao masikioni mwao kwa ajili
ya mingurumo, kwa kuogopa kufa. Na Mwenyezi Mungu amewazunguka makafiri. | أَوْ كَصَيِّب ٍ مِنَ السَّمَاءِ فِيه ِِ ظُلُمَات ٌ وَرَعْد ٌ وَبَرْق ٌ يَجْعَلُونَ أَصَابِعَهُمْ فِي آذَانِهِمْ مِنَ الصَّوَاعِقِ حَذَرَ الْمَوْتِ وَاللَّهُ مُحِيط ٌ بِالْكَافِرِينَ |
Yakādu Al-Barqu Yakhţafu 'Abşārahum Kullamā 'Ađā'a Lahum Mashaw Fīhi Wa 'Idhā 'Ažlama `Alayhim Qāmū Wa Law Shā'a Allāhu Ladhahaba Bisam`ihim Wa 'Abşārihim 'Inna Allāha `Alá Kulli Shay'in Qadīrun  | 20. Unakaribia umeme kunyakua macho yao. Kila
ukiwatolea mwangaza huenda, na unapo wafanyia giza husimama. Na angelitaka
Mwenyezi Mungu angeliondoa kusikia kwao na kuona kwao. Hakika Mwenyezi
Mungu ni Muweza wa kila kitu. | يَكَادُ الْبَرْقُ يَخْطَفُ أَبْصَارَهُمْ كُلَّمَا أَضَاءَ لَهُمْ مَشَوْا فِيه ِِ وَإِذَا أَظْلَمَ عَلَيْهِمْ قَامُوا وَلَوْ شَاءَ اللَّهُ لَذَهَبَ بِسَمْعِهِمْ وَأَبْصَارِهِمْ إِنَّ اللَّهَ عَلَى كُلِّ شَيْء ٍ قَدِير ٌ |
Yā 'Ayyuhā An-Nāsu A`budū Rabbakumu Al-Ladhī Khalaqakum Wa Al-Ladhīna Min Qablikum La`allakum Tattaqūna  | 21. Enyi watu! Muabuduni Mola wenu Mlezi aliye
kuumbeni nyinyi na wale wa kabla yenu, ili mpate kuokoka. | يَا أَيُّهَا النَّاسُ اعْبُدُوا رَبَّكُمُ الَّذِي خَلَقَكُمْ وَالَّذِينَ مِنْ قَبْلِكُمْ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ |
Al-Ladhī Ja`ala Lakumu Al-'Arđa Firāshāan Wa As-Samā'a Binā'an Wa 'Anzala Mina As-Samā'i Mā'an Fa'akhraja Bihi Mina Ath-Thamarāti Rizqāan Lakum Falā Taj`alū Lillāhi 'Andādāan Wa 'Antum Ta`lamūna  | 22. (Mwenyezi Mungu) ambaye amekufanyieni hii
ardhi kuwa kama tandiko, na mbingu kama paa, na akateremsha maji kutoka
mbinguni, na kwayo akatoa matunda yawe riziki zenu. Basi msimfanyizie Mwenyezi
Mungu washirika, na hali nyinyi mnajua. | الَّذِي جَعَلَ لَكُمُ الأَرْضَ فِرَاشا ً وَالسَّمَاءَ بِنَاء ً وَأَنْزَلَ مِنَ السَّمَاءِ مَاء ً فَأَخْرَجَ بِه ِِ مِنَ الثَّمَرَاتِ رِزْقا ً لَكُمْ فَلاَ تَجْعَلُوا لِلَّهِ أَندَادا ً وَأَنْتُمْ تَعْلَمُونَ |
Wa 'In Kuntum Fī Raybin Mimmā Nazzalnā `Alá `Abdinā Fa'tū Bisūratin Min Mithlihi Wa Ad`ū Shuhadā'akum Min Dūni Allāhi 'In Kuntum Şādiqīna  | 23. Na ikiwa mna shaka kwa hayo tuliyo mteremshia
mja wetu basi leteni sura moja ya mfano wake, na muwaite mashahidi wenu
badala ya Mwenyezi Mungu, ikiwa mnasema kweli. | وَإِنْ كُنتُمْ فِي رَيْب ٍ مِمَّا نَزَّلْنَا عَلَى عَبْدِنَا فَأْتُوا بِسُورَة ٍ مِنْ مِثْلِه ِِ وَادْعُوا شُهَدَاءَكُمْ مِنْ دُونِ اللَّهِ إِنْ كُنتُمْ صَادِقِينَ |
Fa'in Lam Taf`alū Wa Lan Taf`alū Fa Attaqū An-Nāra Allatī Waqūduhā An-Nāsu Wa Al-Ĥijāratu 'U`iddat Lilkāfirīna  | 24. Na mkitofanya - na wala hamtofanya kamwe -
basi uogopeni moto ambao kuni zake ni watu na mawe walio andaliwa hao wanao
kanusha. | فَإِنْ لَمْ تَفْعَلُوا وَلَنْ تَفْعَلُوا فَاتَّقُوا النَّارَ الَّتِي وَقُودُهَا النَّاسُ وَالْحِجَارَةُ أُعِدَّتْ لِلْكَافِرِينَ |
Wa Bashshiri Al-Ladhīna 'Āmanū Wa `Amilū Aş-Şāliĥāti 'Anna Lahum Jannātin Tajrī Min Taĥtihā Al-'Anhāru Kullamā Ruziqū Minhā Min Thamaratin Rizqāan Qālū Hādhā Al-Ladhī Ruziqnā Min Qablu Wa 'Utū Bihi Mutashābihāan Wa Lahum Fīhā 'Azwājun Muţahharatun Wa Hum Fīhā Khālidūna  | 25. Na wabashirie walio amini na wakatenda mema
kwamba watapata mabustani yapitayo mito kati yake; kila watapo pewa matunda
humo, watasema: Haya ndiyo kama tuliyo pewa mbele. Na wataletewa matunda
yaliyo fanana; na humo watakuwa na wake walio takasika; na wao humo watadumu. | وَبَشِّرِ الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ أَنَّ لَهُمْ جَنَّات ٍ تَجْرِي مِنْ تَحْتِهَا الأَنْهَارُ كُلَّمَا رُزِقُوا مِنْهَا مِنْ ثَمَرَة ٍ رِزْقا ً قَالُوا هَذَا الَّذِي رُزِقْنَا مِنْ قَبْلُ وَأُتُوا بِه ِِ مُتَشَابِها ً وَلَهُمْ فِيهَا أَزْوَاج ٌ مُطَهَّرَة ٌ وَهُمْ فِيهَا خَالِدُونَ |
'Inna Allāha Lā Yastaĥyī 'An Yađriba Mathalāan Mā Ba`ūđatan Famā Fawqahā Fa'ammā Al-Ladhīna 'Āmanū Faya`lamūna 'Annahu Al-Ĥaqqu Min Rabbihim Wa 'Ammā Al-Ladhīna Kafarū Fayaqūlūna Mādhā 'Arāda Allāhu Bihadhā Mathalāan Yuđillu Bihi Kathīrāan Wa Yahdī Bihi Kathīrāan Wa Mā Yuđillu Bihi 'Illā Al-Fāsiqīna  | 26. Hakika Mwenyezi Mungu haoni haya kutoa mfano
hata wa mbu na ulio wa zaidi yake. Ama wale walio amini hujua ya kwamba
hiyo ni haki iliyo toka kwa Mola wao Mlezi, lakini wale walio kufuru husema:
Ni nini analo kusudia Mwenyezi Mungu kwa mfano huu? Kwa mfano huu huwapoteza
wengi na huwaongoa wengi; lakini hawapotezi ila wale wapotovu, | إِنَّ اللَّهَ لاَ يَسْتَحْيِي أَنْ يَضْرِبَ مَثَلا ً مَا بَعُوضَة ً فَمَا فَوْقَهَا فَأَمَّا الَّذِينَ آمَنُوا فَيَعْلَمُونَ أَنَّهُ الْحَقُّ مِنْ رَبِّهِمْ وَأَمَّا الَّذِينَ كَفَرُوا فَيَقُولُونَ مَاذَا أَرَادَ اللَّهُ بِهَذَا مَثَلا ً يُضِلُّ بِه ِِ كَثِيرا ً وَيَهْدِي بِه ِِ كَثِيرا ً وَمَا يُضِلُّ بِهِ~ِ إِلاَّ الْفَاسِقِينَ |
Al-Ladhīna Yanquđūna `Ahda Allāhi Min Ba`di Mīthāqihi Wa Yaqţa`ūna Mā 'Amara Allāhu Bihi 'An Yūşala Wa Yufsidūna Fī Al-'Arđi 'Ūlā'ika Humu Al-Khāsirūna  | 27. Wanao vunja ahadi ya Mwenyezi Mungu baada
ya kwisha ifunga, na wakayakata aliyo amrisha Mwenyezi Mungu kuungwa, na
wakafanya uharibifu katika nchi; hao ndio wenye khasara. | الَّذِينَ يَنقُضُونَ عَهْدَ اللَّهِ مِنْ بَعْدِ مِيثَاقِه ِِ وَيَقْطَعُونَ مَا أَمَرَ اللَّهُ بِهِ~ِ أَنْ يُوصَلَ وَيُفْسِدُونَ فِي الأَرْضِ أُوْلَائِكَ هُمُ الْخَاسِرُونَ |
Kayfa Takfurūna Billāhi Wa Kuntum 'Amwātāan Fa'aĥyākum Thumma Yumītukum Thumma Yuĥyīkum Thumma 'Ilayhi Turja`ūna  | 28. Vipi mnamkanusha Mwenyezi Mungu na hali mlikuwa
wafu akakufufueni! Kisha atakufisheni, tena atakufufueni, kisha kwake mtarejeshwa?. | كَيْفَ تَكْفُرُونَ بِاللَّهِ وَكُنتُمْ أَمْوَاتا ً فَأَحْيَاكُمْ ثُمَّ يُمِيتُكُمْ ثُمَّ يُحْيِيكُمْ ثُمَّ إِلَيْهِ تُرْجَعُونَ |
Huwa Al-Ladhī Khalaqa Lakum Mā Fī Al-'Arđi Jamī`āan Thumma Astawá 'Ilá As-Samā'i Fasawwāhunna Sab`a Samāwātin Wa Huwa Bikulli Shay'in `Alīmun  | 29. Yeye ndiye aliye kuumbieni vyote vilivyomo
katika ardhi. Tena akazielekea mbingu, na akazifanya mbingu saba. Naye
ndiye Mjuzi wa kila kitu. | هُوَ الَّذِي خَلَقَ لَكُمْ مَا فِي الأَرْضِ جَمِيعا ً ثُمَّ اسْتَوَى إِلَى السَّمَاءِ فَسَوَّاهُنَّ سَبْعَ سَمَاوَات ٍ وَهُوَ بِكُلِّ شَيْءٍ عَلِيم ٌ |
Wa 'Idh Qāla Rabbuka Lilmalā'ikati 'Innī Jā`ilun Fī Al-'Arđi Khalīfatan Qālū 'Ataj`alu Fīhā Man Yufsidu Fīhā Wa Yasfiku Ad-Dimā'a Wa Naĥnu Nusabbiĥu Biĥamdika Wa Nuqaddisu Laka Qāla 'Innī 'A`lamu Mā Lā Ta`lamūna  | 30. Na pale Mola wako Mlezi alipo waambia Malaika:
Mimi nitamweka katika ardhi Khalifa (mfwatizi), wakasema: Utaweka humo
atakaye fanya uharibifu humo na kumwaga damu, hali sisi tunakutakasa kwa
sifa zako na tunakutaja kwa utakatifu wako? Akasema: Hakika Mimi nayajua
msiyo yajua. | وَإِذْ قَالَ رَبُّكَ لِلْمَلاَئِكَةِ إِنِّي جَاعِل ٌ فِي الأَرْضِ خَلِيفَة ً قَالُوا أَتَجْعَلُ فِيهَا مَنْ يُفْسِدُ فِيهَا وَيَسْفِكُ الدِّمَاءَ وَنَحْنُ نُسَبِّحُ بِحَمْدِكَ وَنُقَدِّسُ لَكَ قَالَ إِنِّي أَعْلَمُ مَا لاَ تَعْلَمُونَ |
Wa `Allama 'Ādama Al-'Asmā'a Kullahā Thumma `Arađahum `Alá Al-Malā'ikati Faqāla 'Anbi'ūnī Bi'asmā'i Hā'uulā' 'In Kuntum Şādiqīna  | 31. Na akamfundisha Adam majina ya vitu vyote,
kisha akaviweka mbele ya Malaika, na akasema: Niambieni majina ya hivi
ikiwa mnasema kweli. | وَعَلَّمَ آدَمَ الأَسْمَاءَ كُلَّهَا ثُمَّ عَرَضَهُمْ عَلَى الْمَلاَئِكَةِ فَقَالَ أَنْبِئُونِي بِأَسْمَاءِ هَاؤُلاَء إِنْ كُنتُمْ صَادِقِينَ |
Qālū Subĥānaka Lā `Ilma Lanā 'Illā Mā `Allamtanā 'Innaka 'Anta Al-`Alīmu Al-Ĥakīmu  | 32. Wakasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hatuna
ujuzi isipokuwa kwa uliyo tufunza Wewe. Hakika Wewe ndiye Mjuzi Mwenye
hikima. | قَالُوا سُبْحَانَكَ لاَ عِلْمَ لَنَا إِلاَّ مَا عَلَّمْتَنَا إِنَّكَ أَنْتَ الْعَلِيمُ الْحَكِيمُ |
Qāla Yā 'Ādamu 'Anbi'hum Bi'asmā'ihim Falammā 'Anba'ahum Bi'asmā'ihim Qāla 'Alam 'Aqul Lakum 'Innī 'A`lamu Ghayba As-Samāwāti Wa Al-'Arđi Wa 'A`lamu Mā Tubdūna Wa Mā Kuntum Taktumūna  | 33. Akasema: Ewe Adam! Waambie majina yake. Basi
alipo waambia majina yake alisema: Sikukwambieni kwamba Mimi ninajua siri
za mbinguni na za duniani, na ninayajua mnayo yadhihirisha na mliyo kuwa
mnayaficha? | قَالَ يَا آدَمُ أَنْبِئْهُمْ بِأَسْمَائِهِمْ فَلَمَّا أَنْبَأَهُمْ بِأَسْمَائِهِمْ قَالَ أَلَمْ أَقُلْ لَكُمْ إِنِّي أَعْلَمُ غَيْبَ السَّمَاوَاتِ وَالأَرْضِ وَأَعْلَمُ مَا تُبْدُونَ وَمَا كُنتُمْ تَكْتُمُونَ |
Wa 'Idh Qulnā Lilmalā'ikati Asjudū Li'dama Fasajadū 'Illā 'Iblīsa 'Abá Wa Astakbara Wa Kāna Mina Al-Kāfirīna  | 34. Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam,
wakamsujudia wote isipo kuwa Iblis, alikataa na akajivuna na akawa katika
makafiri. | وَإِذْ قُلْنَا لِلْمَلاَئِكَةِ اسْجُدُوا لِأدَمَ فَسَجَدُوا إِلاَّ إِبْلِيسَ أَبَى وَاسْتَكْبَرَ وَكَانَ مِنَ الْكَافِرِينَ |
Wa Qulnā Yā 'Ādamu Askun 'Anta Wa Zawjuka Al-Jannata Wa Kulā Minhā Raghadāan Ĥaythu Shi'tumā Wa Lā Taqrabā Hadhihi Ash-Shajarata Fatakūnā Mina Až-Žālimīna  | 35. Na tulisema: Ewe Adam! Kaa wewe na mkeo katika
Bustani, na kuleni humo maridhawa popote mpendapo, lakini msiukaribie mti
huu tu; mkawa katika wale walio dhulumu. | وَقُلْنَا يَا آدَمُ اسْكُنْ أَنْتَ وَزَوْجُكَ الْجَنَّةَ وَكُلاَ مِنْهَا رَغَداً حَيْثُ شِئْتُمَا وَلاَ تَقْرَبَا هَذِهِ الشَّجَرَةَ فَتَكُونَا مِنَ الظَّالِمِينَ |
Fa'azallahumā Ash-Shayţānu `Anhā Fa'akhrajahumā Mimmā Kānā Fīhi Wa Qulnā Ahbiţū Ba`đukum Liba`đin `Adūwun Wa Lakum Fī Al-'Arđi Mustaqarrun Wa Matā`un 'Ilá Ĥīnin  | 36. Lakini Shet'ani aliwatelezesha hao wawili
na akawatoa katika waliyo kuwamo, na tukasema: Shukeni, nanyi ni maadui
nyinyi kwa nyinyi. Katika ardhi yatakuwa makaazi yenu na starehe kwa muda. | فَأَزَلَّهُمَا الشَّيْطَانُ عَنْهَا فَأَخْرَجَهُمَا مِمَّا كَانَا فِيه ِِ وَقُلْنَا اهْبِطُوا بَعْضُكُمْ لِبَعْضٍ عَدُوّ ٌ وَلَكُمْ فِي الأَرْضِ مُسْتَقَرّ ٌ وَمَتَاع ٌ إِلَى حِين ٍ |
Fatalaqqá 'Ādamu Min Rabbihi Kalimātin Fatāba `Alayhi 'Innahu Huwa At-Tawwābu Ar-Raĥīmu  | 37. Kisha Adam akapokea maneno kwa Mola wake Mlezi,
na Mola wake Mlezi alimkubalia toba yake; hakika Yeye ndiye Mwingi wa kukubali
toba na Mwenye kurehemu. | فَتَلَقَّى آدَمُ مِنْ رَبِّه ِِ كَلِمَات ٍ فَتَابَ عَلَيْهِ إِنَّه ُُ هُوَ التَّوَّابُ الرَّحِيمُ |
Qulnā Ahbiţū Minhā Jamī`āan Fa'immā Ya'tiyannakum Minnī Hudáan Faman Tabi`a Hudāya Falā Khawfun `Alayhim Wa Lā Hum Yaĥzanūna  | 38. Tukasema: Shukeni nyote; na kama ukikufikieni
uwongofu utokao kwangu, basi watakao fuata uwongofu wangu huo haitakuwa
khofu juu yao wala hawatahuzunika. | قُلْنَا اهْبِطُوا مِنْهَا جَمِيعا ً فَإِمَّا يَأْتِيَنَّكُمْ مِنِّي هُدى ً فَمَنْ تَبِعَ هُدَايَ فَلاَ خَوْفٌ عَلَيْهِمْ وَلاَ هُمْ يَحْزَنُونَ |
Wa Al-Ladhīna Kafarū Wa Kadhdhabū Bi'āyātinā 'Ūlā'ika 'Aşĥābu An-Nāri Hum Fīhā Khālidūna  | 39. Na wenye kukufuru na kuzikanusha ishara zetu,
hao ndio watakao kuwa watu wa Motoni, humo watadumu. | وَالَّذِينَ كَفَرُوا وَكَذَّبُوا بِآيَاتِنَا أُوْلَائِكَ أَصْحَابُ النَّارِ هُمْ فِيهَا خَالِدُونَ |
Yā Banī 'Isrā'īla Adhkurū Ni`matiya Allatī 'An`amtu `Alaykum Wa 'Awfū Bi`ahdī 'Ūfi Bi`ahdikum Wa 'Īyāya Fārhabūni  | 40. Enyi Wana wa Israili! Kumbukeni neema yangu
niliyo kuneemesheni, na timizeni ahadi yangu, na Mimi nitatimiza ahadi
yenu, na niogopeni Mimi tu. | يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ اذْكُرُوا نِعْمَتِيَ الَّتِي أَنْعَمْتُ عَلَيْكُمْ وَأَوْفُوا بِعَهْدِي أُوفِ بِعَهْدِكُمْ وَإِيَّايَ فَارْهَبُونِ |
Wa 'Āminū Bimā 'Anzaltu Muşaddiqāan Limā Ma`akum Wa Lā Takūnū 'Awwala Kāfirin Bihi Wa Lā Tashtarū Bi'āyātī Thamanāan Qalīlāan Wa 'Īyāya Fa Attaqūni  | 41. Na aminini niliyo yateremsha ambayo yanasadikisha
mliyo nayo, wala msiwe wa kwanza kuyakataa. Wala msiuze Ishara zangu kwa
thamani ndogo. Na niogopeni Mimi tu. | وَآمِنُوا بِمَا أَنزَلْتُ مُصَدِّقا ً لِمَا مَعَكُمْ وَلاَ تَكُونُوا أَوَّلَ كَافِر ٍ بِه ِِ وَلاَ تَشْتَرُوا بِآيَاتِي ثَمَنا ً قَلِيلا ً وَإِيَّايَ فَاتَّقُونِ |
Wa Lā Talbisū Al-Ĥaqqa Bil-Bāţili Wa Taktumū Al-Ĥaqqa Wa 'Antum Ta`lamūna  | 42. Wala msichanganye kweli na uwongo na mkaificha
kweli nanyi mnajua. | وَلاَ تَلْبِسُوا الْحَقَّ بِالْبَاطِلِ وَتَكْتُمُوا الْحَقَّ وَأَنْتُمْ تَعْلَمُونَ |
Wa 'Aqīmū Aş-Şalāata Wa 'Ātū Az-Zakāata Wa Arka`ū Ma`a Ar-Rāki`īna  | 43. Na shikeni Sala, na toeni Zaka, na inameni
pamoja na wanao inama. | وَأَقِيمُوا الصَّلاَةَ وَآتُوا الزَّكَاةَ وَارْكَعُوا مَعَ الرَّاكِعِينَ |
'Ata'murūna An-Nāsa Bil-Birri Wa Tansawna 'Anfusakum Wa 'Antum Tatlūna Al-Kitāba 'Afalā Ta`qilūna  | 44. Je! Mnawaamrisha watu mema na mnajisahau nafsi
zenu, na hali nyinyi mnasoma Kitabu? Basi je, hamzingatii? | أَتَأْمُرُونَ النَّاسَ بِالْبِرِّ وَتَنسَوْنَ أَنفُسَكُمْ وَأَنْتُمْ تَتْلُونَ الْكِتَابَ أَفَلاَ تَعْقِلُونَ |
Wa Asta`īnū Biş-Şabri Wa Aş-Şalāati Wa 'Innahā Lakabīratun 'Illā `Alá Al-Khāshi`īna  | 45. Na tafuteni msaada kwa kusubiri na kwa kusali;
na kwa hakika jambo hilo ni gumu isipokuwa kwa wanyenyekevu, | وَاسْتَعِينُوا بِالصَّبْرِ وَالصَّلاَةِ وَإِنَّهَا لَكَبِيرَة ٌ إِلاَّ عَلَى الْخَاشِعِينَ |
Al-Ladhīna Yažunnūna 'Annahum Mulāqū Rabbihim Wa 'Annahum 'Ilayhi Rāji`ūna  | 46. Ambao wana yakini kuwa hakika watakutana na
Mola wao Mlezi na ya kuwa hakika watarejea kwake. | الَّذِينَ يَظُنُّونَ أَنَّهُمْ مُلاَقُو رَبِّهِمْ وَأَنَّهُمْ إِلَيْهِ رَاجِعُونَ |
Yā Banī 'Isrā'īla Adhkurū Ni`matiya Allatī 'An`amtu `Alaykum Wa 'Annī Fađđaltukum `Alá Al-`Ālamīna  | 47. Enyi Wana wa Israili! Kumbukeni zile neema
zangu nilizo kuneemesheni, na nikakuteuweni kuliko wote wengineo. | يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ اذْكُرُوا نِعْمَتِيَ الَّتِي أَنْعَمْتُ عَلَيْكُمْ وَأَنِّي فَضَّلْتُكُمْ عَلَى الْعَالَمِينَ |
Wa Attaqū Yawmāan Lā Tajzī Nafsun `An Nafsin Shay'āan Wa Lā Yuqbalu Minhā Shafā`atun Wa Lā Yu'ukhadhu Minhā `Adlun Wa Lā Hum Yunşarūna  | 48. Na iogopeni Siku ambayo mtu hatomfaa mtu kwa
lolote, wala hayatakubaliwa kwake maombezi, wala hakitapokewa kikomboleo
kwake; wala hawatanusuriwa. | وَاتَّقُوا يَوْما ً لاَ تَجْزِي نَفْسٌ عَنْ نَفْس ٍ شَيْئا ً وَلاَ يُقْبَلُ مِنْهَا شَفَاعَة ٌ وَلاَ يُؤْخَذُ مِنْهَا عَدْل ٌ وَلاَ هُمْ يُنصَرُونَ |
Wa 'Idh Najjaynākum Min 'Āli Fir`awna Yasūmūnakum Sū'a Al-`Adhābi Yudhabbiĥūna 'Abnā'akum Wa Yastaĥyūna Nisā'akum Wa Fī Dhālikum Balā'un Min Rabbikum `Ažīmun  | 49. Na vile tulipo kuokoeni kwa watu wa Firauni
walio kupeni adhabu mbaya, wakiwachinja wana wenu wa kiume na wakawawacha
hai wanawake; na katika hayo ulikuwa ni mtihani mkubwa ulio toka kwa Mola
wenu Mlezi. | وَإِذْ نَجَّيْنَاكُمْ مِنْ آلِ فِرْعَوْنَ يَسُومُونَكُمْ سُوءَ الْعَذَابِ يُذَبِّحُونَ أَبْنَاءَكُمْ وَيَسْتَحْيُونَ نِسَاءَكُمْ وَفِي ذَلِكُمْ بَلاَء ٌ مِنْ رَبِّكُمْ عَظِيم ٌ |
Wa 'Idh Faraqnā Bikumu Al-Baĥra Fa'anjaynākum Wa 'Aghraqnā 'Āla Fir`awna Wa 'Antum Tanžurūna  | 50. Na tulipo ipasua bahari kwa ajili yenu na
tukakuokoeni, tukawazamisha watu wa Firauni, na huku mnatazama. | وَإِذْ فَرَقْنَا بِكُمُ الْبَحْرَ فَأَنْجَيْنَاكُمْ وَأَغْرَقْنَا آلَ فِرْعَوْنَ وَأَنْتُمْ تَنظُرُونَ |
Wa 'Idh Wā`adnā Mūsá 'Arba`īna Laylatan Thumma Attakhadhtumu Al-`Ijla Min Ba`dihi Wa 'Antum Žālimūna  | 51. Na tulipo muahidi Musa masiku arubaini, kisha
mkachukua ndama (mkamuabudu) baada yake, na mkawa wenye kudhulumu. | وَإِذْ وَاعَدْنَا مُوسَى أَرْبَعِينَ لَيْلَة ً ثُمَّ اتَّخَذْتُمُ الْعِجْلَ مِنْ بَعْدِه ِِ وَأَنْتُمْ ظَالِمُونَ |
Thumma `Afawnā `Ankum Min Ba`di Dhālika La`allakum Tashkurūna  | 52. Kisha tukakusameheni baada ya hayo, ili mpate
kushukuru. | ثُمَّ عَفَوْنَا عَنْكُمْ مِنْ بَعْدِ ذَلِكَ لَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ |
Wa 'Idh 'Ātaynā Mūsá Al-Kitāba Wa Al-Furqāna La`allakum Tahtadūna  | 53. Na tulipo mpa Musa Kitabu na pambanuo ili
mpate kuongoka. | وَإِذْ آتَيْنَا مُوسَى الْكِتَابَ وَالْفُرْقَانَ لَعَلَّكُمْ تَهْتَدُونَ |
Wa 'Idh Qāla Mūsá Liqawmihi Yā Qawmi 'Innakum Žalamtum 'Anfusakum Biāttikhādhikumu Al-`Ijla Fatūbū 'Ilá Bāri'ikum Fāqtulū 'Anfusakum Dhālikum Khayrun Lakum `Inda Bāri'ikum Fatāba `Alaykum 'Innahu Huwa At-Tawwābu Ar-Raĥīmu  | 54. Na Musa alipo waambia watu wake: Enyi watu
wangu! Hakika nyinyi mmezidhulumu nafsi zenu kwa kuchukua kwenu ndama (kumuabudu).
Basi tubuni kwa Muumba wenu na ziueni nafsi zenu. Haya ni bora kwenu mbele
ya Muumba wenu. Naye akapokea toba yenu. Hakika Yeye ndiye apokeaye toba
na Mwenye kurehemu. | وَإِذْ قَالَ مُوسَى لِقَوْمِه ِِ يَا قَوْمِ إِنَّكُمْ ظَلَمْتُمْ أَنفُسَكُمْ بِاتِّخَاذِكُمُ الْعِجْلَ فَتُوبُوا إِلَى بَارِئِكُمْ فَاقْتُلُوا أَنفُسَكُمْ ذَلِكُمْ خَيْر ٌ لَكُمْ عِنْدَ بَارِئِكُمْ فَتَابَ عَلَيْكُمْ إِنَّه ُُ هُوَ التَّوَّابُ الرَّحِيمُ |
Wa 'Idh Qultum Yā Mūsá Lan Nu'umina Laka Ĥattá Nará Allāha Jahratan Fa'akhadhatkumu Aş-Şā`iqatu Wa 'Antum Tanžurūna  | 55. Na mlipo sema: Ewe Musa! Hatutakuamini mpaka
tumwone Mwenyezi Mungu waziwazi. Ikakunyakueni radi nanyi mnaangalia. | وَإِذْ قُلْتُمْ يَا مُوسَى لَنْ نُؤْمِنَ لَكَ حَتَّى نَرَى اللَّهَ جَهْرَة ً فَأَخَذَتْكُمُ الصَّاعِقَةُ وَأَنْتُمْ تَنظُرُونَ |
Thumma Ba`athnākum Min Ba`di Mawtikum La`allakum Tashkurūna  | 56. Kisha tukakufufueni baada ya kufa kwenu, ili
mpate kushukuru. | ثُمَّ بَعَثْنَاكُمْ مِنْ بَعْدِ مَوْتِكُمْ لَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ |
Wa Žallalnā `Alaykumu Al-Ghamāma Wa 'Anzalnā `Alaykumu Al-Manna Wa As-Salwá Kulū Min Ţayyibāti Mā Razaqnākum Wa Mā Žalamūnā Wa Lakin Kānū 'Anfusahum Yažlimūna  | 57. Na tukakutilieni kivuli kwa mawingu na tukakuteremshieni
Manna na Salwa; tukakwambieni: Kuleni vitu vizuri hivi tulivyo kuruzukuni.
Nao hawakutudhulumu Sisi lakini walikuwa wanajidhulumu nafsi zao. | وَظَلَّلْنَا عَلَيْكُمُ الْغَمَامَ وَأَنزَلْنَا عَلَيْكُمُ الْمَنَّ وَالسَّلْوَى كُلُوا مِنْ طَيِّبَاتِ مَا رَزَقْنَاكُمْ وَمَا ظَلَمُونَا وَلَكِنْ كَانُوا أَنفُسَهُمْ يَظْلِمُونَ |
Wa 'Idh Qulnā Adkhulū Hadhihi Al-Qaryata Fakulū Minhā Ĥaythu Shi'tum Raghadāan Wa Adkhulū Al-Bāba Sujjadāan Wa Qūlū Ĥiţţatun Naghfir Lakum Khaţāyākum Wa Sanazīdu Al-Muĥsinīna  | 58. Na tulipo sema: Ingieni mji huu, na humo mle
mpendapo maridhawa, na ingieni katika mlango wake kwa unyenyekevu, na semeni:
Tusamehe! Tutakusameheni makosa yenu, na tutawazidishia wema wafanyao wema. | وَإِذْ قُلْنَا ادْخُلُوا هَذِهِ الْقَرْيَةَ فَكُلُوا مِنْهَا حَيْثُ شِئْتُمْ رَغَدا ً وَادْخُلُوا الْبَابَ سُجَّدا ً وَقُولُوا حِطَّة ٌ نَغْفِرْ لَكُمْ خَطَايَاكُمْ وَسَنَزِيدُ الْمُحْسِنِينَ |
Fabaddala Al-Ladhīna Žalamū Qawlāan Ghayra Al-Ladhī Qīla Lahum Fa'anzalnā `Alá Al-Ladhīna Žalamū Rijzāan Mina As-Samā'i Bimā Kānū Yafsuqūna  | 59.Lakini walio dhulumu waliibadili kauli isiyo
kuwa waliyo ambiwa. Kwa hivyo tukaiteremsha juu ya wale walio dhulumu adhabu
kutoka mbinguni kwa sababu ya walivyo kuwa wamepotoka. | فَبَدَّلَ الَّذِينَ ظَلَمُوا قَوْلاً غَيْرَ الَّذِي قِيلَ لَهُمْ فَأَنزَلْنَا عَلَى الَّذِينَ ظَلَمُوا رِجْزا ً مِنَ السَّمَاءِ بِمَا كَانُوا يَفْسُقُونَ |
Wa 'Idh Astasqá Mūsá Liqawmihi Faqulnā Ađrib Bi`aşāka Al-Ĥajara Fānfajarat Minhu Athnatā `Ashrata `Aynāan Qad `Alima Kullu 'Unāsin Mashrabahum Kulū Wa Ashrabū Min Rizqi Allāhi Wa Lā Ta`thaw Fī Al-'Arđi Mufsidīna  | 60. Na Musa alipo omba maji kwa ajili ya watu
wake, tulimwambia: Lipige jiwe kwa fimbo yako. Mara zikatimbuka chemchem
kumi na mbili; kila kabila ikajua mahali pake pa kunywea. Tukawaambia:
Kuleni na mnywe riziki ya Mwenyezi Mungu, wala msiasi katika nchi mkafanya
uharibifu. | وَإِذْ اسْتَسْقَى مُوسَى لِقَوْمِه ِِ فَقُلْنَا اضْرِبْ بِعَصَاكَ الْحَجَرَ فَانفَجَرَتْ مِنْهُ اثْنَتَا عَشْرَةَ عَيْنا ً قَدْ عَلِمَ كُلُّ أُنَاس ٍ مَشْرَبَهُمْ كُلُوا وَاشْرَبُوا مِنْ رِزْقِ اللَّهِ وَلاَ تَعْثَوْا فِي الأَرْضِ مُفْسِدِينَ |
Wa 'Idhi Qultum Yā Mūsá Lan Naşbira `Alá Ţa`āmin Wāĥidin Fād`u Lanā Rabbaka Yukhrij Lanā Mimmā Tunbitu Al-'Arđu Min Baqlihā Wa Qiththā'ihā Wa Fūmihā Wa `Adasihā Wa Başalihā Qāla 'Atastabdilūna Al-Ladhī Huwa 'Adná Bial-Ladhī Huwa Khayrun Ahbiţū Mişrāan Fa'inna Lakum Mā Sa'altum Wa Đuribat `Alayhimu Adh-Dhillatu Wa Al-Maskanatu Wa Bā'ū Bighađabin Mina Allāhi Dhālika Bi'annahum Kānū Yakfurūna Bi'āyāti Allāhi Wa Yaqtulūna An-Nabīyīna Bighayri Al-Ĥaqqi Dhālika Bimā `Aşaw Wa Kānū Ya`tadūna  | 61. Na mlipo sema: Ewe Musa! Hatuwezi kuvumilia
chakula cha namna moja tu, basi tuombee kwa Mola wako Mlezi atutolee vile
vinavyo mea katika ardhi, kama mboga zake, na matango yake, na thom zake,
na adesi zake, na vitunguu vyake. Akasema: Mnabadili kilicho duni kwa kilicho
bora? Shukeni mjini, huko mtapata mlivyo viomba. Na wakapigwa na unyonge,na
umasikini, na wakastahili ghadhabu ya Mwenyezi Mungu. Na haya ni kwa sababu
walikuwa wakiyakataa maneno ya Mwenyezi Mungu, na wakiwauwa Manabii pasipo
haki. Hayo ni kwa walivyo asi na wakapindukia mipaka. | وَإِذِ قُلْتُمْ يَا مُوسَى لَنْ نَصْبِرَ عَلَى طَعَام ٍ وَاحِد ٍ فَادْعُ لَنَا رَبَّكَ يُخْرِجْ لَنَا مِمَّا تُنْبِتُ الأَرْضُ مِنْ بَقْلِهَا وَقِثَّائِهَا وَفُومِهَا وَعَدَسِهَا وَبَصَلِهَا قَالَ أَتَسْتَبْدِلُونَ الَّذِي هُوَ أَدْنَى بِالَّذِي هُوَ خَيْر ٌ اهْبِطُوا مِصْرا ً فَإِنَّ لَكُمْ مَا سَأَلْتُمْ وَضُرِبَتْ عَلَيْهِمُ الذِّلَّةُ وَالْمَسْكَنَةُ وَبَاءُوا بِغَضَب ٍ مِنَ اللَّهِ ذَلِكَ بِأَنَّهُمْ كَانُوا يَكْفُرُونَ بِآيَاتِ اللَّهِ وَيَقْتُلُونَ النَّبِيِّينَ بِغَيْرِ الْحَقِّ ذَلِكَ بِمَا عَصَوْا وَكَانُوا يَعْتَدُونَ |
| 'Inna Al-Ladhīna 'Āmanū Wa Al-Ladhīna Hādū Wa An-Naşārá Wa Aş-Şābi'īna Man 'Āmana Billāhi Wa |