Subĥāna Al-Ladhī 'Asrá Bi`abdihi Laylāan Mina Al-Masjidi Al-Ĥarāmi 'Ilá Al-Masjidi Al-'Aqşá Al-Ladhī Bāraknā Ĥawlahu Linuriyahu Min 'Āyātinā 'Innahu Huwa As-Samī`u Al-Başīru  | 1. SUBHANA, Ametakasika aliye mchukua mja wake
usiku mmoja kutoka Msikiti Mtukufu mpaka Msikiti wa Mbali, ambao tumevibariki
vilivyo uzunguka, ili tumuonyeshe baadhi ya Ishara zetu. Hakika Yeye ni
Mwenye kusikia na Mwenye kuona. | سُبْحَانَ الَّذِي أَسْرَى بِعَبْدِه ِِ لَيْلا ً مِنَ الْمَسْجِدِ الْحَرَامِ إِلَى الْمَسْجِدِ الأَقْصَى الَّذِي بَارَكْنَا حَوْلَه ُُ لِنُرِيَه ُُ مِنْ آيَاتِنَا إِنَّه ُُ هُوَ السَّمِيعُ الْبَصِيرُ |
Wa 'Ātaynā Mūsá Al-Kitāba Wa Ja`alnāhu Hudáan Libanī 'Isrā'īla 'Allā Tattakhidhū Min Dūnī Wa Kīlāan  | 2. Na tukampa Musa Kitabu, na tukakifanya uwongofu
kwa Wana wa Israili. (Tukawambia): Msiwe na mtegemewa ila Mimi! | وَآتَيْنَا مُوسَى الْكِتَابَ وَجَعَلْنَاه ُُ هُدى ً لِبَنِي إِسْرَائِيلَ أَلاَّ تَتَّخِذُوا مِنْ دُونِي وَكِيلا ً |
Dhurrīyata Man Ĥamalnā Ma`a Nūĥin 'Innahu Kāna `Abdāan Shakūrāan  | 3. Enyi kizazi tuliyo wachukua pamoja na Nuhu!
Hakika yeye alikuwa mja mwenye shukrani. | ذُرِّيَّةَ مَنْ حَمَلْنَا مَعَ نُوح ٍ إِنَّه ُُ كَانَ عَبْدا ً شَكُورا ً |
Wa Qađaynā 'Ilá Banī 'Isrā'īla Fī Al-Kitābi Latufsidunna Fī Al-'Arđi Marratayni Wa Lata`lunna `Ulūwāan Kabīrāan  | 4. Na tukawahukumia Wana wa Israili katika Kitabu
kwamba: Hakika nyinyi mtafanya fisadi katika nchi mara mbili, na kwa yakini
mtapanda kiburi, kiburi kikubwa. | وَقَضَيْنَا إِلَى بَنِي إسْرائِيلَ فِي الْكِتَابِ لَتُفْسِدُنَّ فِي الأَرْضِ مَرَّتَيْنِ وَلَتَعْلُنَّ عُلُوّا ً كَبِيرا ً |
Fa'idhā Jā'a Wa`du 'Ūlāhumā Ba`athnā `Alaykum `Ibādāan Lanā 'Ūlī Ba'sin Shadīdin Fajāsū Khilāla Ad-Diyāri Wa Kāna Wa`dāan Maf`ūlāan  | 5. Basi itapo fika ahadi ya kwanza yake tutakupelekeeni
waja wetu wa kali kwa vita. Watakuingilieni ndani ya majumba. Na hii ilikuwa
ahadi iliyo timizwa. | فَإِذَا جَاءَ وَعْدُ أُولاَهُمَا بَعَثْنَا عَلَيْكُمْ عِبَادا ً لَنَا أُولِي بَأْس ٍ شَدِيد ٍ فَجَاسُوا خِلاَلَ الدِّيَارِ وَكَانَ وَعْدا ً مَفْعُولا ً |
Thumma Radadnā Lakumu Al-Karrata `Alayhim Wa 'Amdadnākum Bi'amwālin Wa Banīna Wa Ja`alnākum 'Akthara Nafīrāan  | 6. Kisha tukakurudishieni nguvu zenu dhidi yao,
na tukakusaidieni kwa mali na wana, na tukakujaalieni mkawa wengi zaidi. | ثُمَّ رَدَدْنَا لَكُمُ الْكَرَّةَ عَلَيْهِمْ وَأَمْدَدْنَاكُمْ بِأَمْوَال ٍ وَبَنِينَ وَجَعَلْنَاكُمْ أَكْثَرَ نَفِيرا ً |
'In 'Aĥsantum 'Aĥsantum Li'nfusikum Wa 'In 'Asa'tum Falahā Fa'idhā Jā'a Wa`du Al-'Ākhirati Liyasū'ū Wujūhakum Wa Liyadkhulū Al-Masjida Kamā Dakhalūhu 'Awwala Marratin Wa Liyutabbirū Mā `Alaw Tatbīrāan  | 7. Basi mkifanya wema, mnajifanyia wema nafsi
zenu. Na mkifanya ubaya, mnajifanyia wenyewe. Na ikifika ahadi ya mwisho
ili waziharibu nyuso zenu, na waingie Msikitini kama walivyo ingia mara
ya kwanza, na waharibu kila walicho kiteka kwa uharibifu mkubwa. | إِنْ أَحْسَنتُمْ أَحْسَنتُمْ لِأنفُسِكُمْ وَإِنْ أَسَأْتُمْ فَلَهَا فَإِذَا جَاءَ وَعْدُ الآخِرَةِ لِيَسُوءُوا وُجُوهَكُمْ وَلِيَدْخُلُوا الْمَسْجِدَ كَمَا دَخَلُوهُ~ُ أَوَّلَ مَرَّة ٍ وَلِيُتَبِّرُوا مَا عَلَوْا تَتْبِيرا ً |
`Asá Rabbukum 'An Yarĥamakum Wa 'In `Udtum `Udnā Wa Ja`alnā Jahannama Lilkāfirīna Ĥaşīrāan  | 8. Huenda Mola wenu Mlezi akakurehemuni. Na mkirudia
na Sisi tutarudia. Na tumeifanya Jahannamu kuwa ni gereza kwa ajili ya
makafiri. | عَسَى رَبُّكُمْ أَنْ يَرْحَمَكُمْ وَإِنْ عُدْتُمْ عُدْنَا وَجَعَلْنَا جَهَنَّمَ لِلْكَافِرِينَ حَصِيرا ً |
'Inna Hādhā Al-Qur'āna Yahdī Lillatī Hiya 'Aqwamu Wa Yubashshiru Al-Mu'uminīna Al-Ladhīna Ya`malūna Aş-Şāliĥāti 'Anna Lahum 'Ajrāan Kabīrāan  | 9. Hakika hii Qur'ani inaongoa kwenye ya yaliyo
nyooka kabisa, na inawabashiria Waumini ambao wanatenda mema ya kwamba
watapata malipo makubwa. | إِنَّ هَذَا الْقُرْآنَ يَهْدِي لِلَّتِي هِيَ أَقْوَمُ وَيُبَشِّرُ الْمُؤْمِنِينَ الَّذِينَ يَعْمَلُونَ الصَّالِحَاتِ أَنَّ لَهُمْ أَجْرا ً كَبِيرا ً |
Wa 'Anna Al-Ladhīna Lā Yu'uminūna Bil-'Ākhirati 'A`tadnā Lahum `Adhābāan 'Alīmāan  | 10. Na yakwamba wale wasio iamini Akhera tumewaandalia
adhabu chungu. | وَأَنَّ الَّذِينَ لاَ يُؤْمِنُونَ بِالآخِرَةِ أَعْتَدْنَا لَهُمْ عَذَاباً أَلِيما ً |
Wa Yad`u Al-'Insānu Bish-Sharri Du`ā'ahu Bil-Khayri Wa Kāna Al-'Insānu `Ajūlāan  | 11. Na mwanaadamu huomba shari kama vile aombavyo
kheri, kwani mwanaadamu ni mwenye pupa. | وَيَدْعُ الإِنسَانُ بِالشَّرِّ دُعَاءَه ُُ بِالْخَيْرِ وَكَانَ الإِنسَانُ عَجُولا ً |
Wa Ja`alnā Al-Layla Wa An-Nahāra 'Āyatayni Famaĥawnā 'Āyata Al-Layli Wa Ja`alnā 'Āyata An-Nahāri Mubşiratan Litabtaghū Fađlāan Min Rabbikum Wa Lita`lamū `Adada As-Sinīna Wa Al-Ĥisāba Wa Kulla Shay'in Faşşalnāhu Tafşīlāan  | 12. Na tumefanya usiku na mchana kuwa ishara
mbili. Tena tukaifuta ishara ya usiku, na tukaifanya ishara ya mchana ni
yenye mwangaza ili mtafute fadhila itokayo kwa Mola wenu Mlezi, na mpate
kujua idadi ya miaka na hisabu. Na kila kitu tumekifafanua waziwazi. | وَجَعَلْنَا اللَّيْلَ وَالنَّهَارَ آيَتَيْنِ فَمَحَوْنَا آيَةَ اللَّيْلِ وَجَعَلْنَا آيَةَ النَّهَارِ مُبْصِرَة ً لِتَبْتَغُوا فَضْلا ً مِنْ رَبِّكُمْ وَلِتَعْلَمُوا عَدَدَ السِّنِينَ وَالْحِسَابَ وَكُلَّ شَيْء ٍ فَصَّلْنَاه ُُ تَفْصِيلا ً |
Wa Kulla 'Insānin 'Alzamnāhu Ţā'irahu Fī `Unuqihi Wa Nukhriju Lahu Yawma Al-Qiyāmati Kitābāan Yalqāhu Manshūrāan  | 13. Na kila mtu tumemfungia a'mali yake shingoni
mwake. Na Siku ya Kiyama tutamtolea kitabu atakacho kikuta kiwazi kimekunjuliwa. | وَكُلَّ إِنسَانٍ أَلْزَمْنَاه ُُ طَائِرَه ُُ فِي عُنُقِه ِِ وَنُخْرِجُ لَه ُُ يَوْمَ الْقِيَامَةِ كِتَابا ً يَلْقَاه ُُ مَنشُورا ً |
Aqra' Kitābaka Kafá Binafsika Al-Yawma `Alayka Ĥasībāan  | 14. Ataambiwa: Soma kitabu chako! Nafsi yako
inakutosha leo kukuhisabu. | اقْرَأْ كِتَابَكَ كَفَى بِنَفْسِكَ الْيَوْمَ عَلَيْكَ حَسِيبا ً |
Mani Ahtadá Fa'innamā Yahtadī Linafsihi Wa Man Đalla Fa'innamā Yađillu `Alayhā Wa Lā Taziru Wāziratun Wizra 'Ukhrá Wa Mā Kunnā Mu`adhdhibīna Ĥattá Nab`atha Rasūlāan  | 15. Anaye ongoka basi anaongoka kwa ajili ya
nafsi yake. Na anaye potea basi anapotea kwa khasara yake mwenyewe. Wala
habebi mbebaji mzigo wa mwengine. Wala Sisi hatuadhibu mpaka tumpeleke
Mtume. | مَنِ اهْتَدَى فَإِنَّمَا يَهْتَدِي لِنَفْسِه ِِ وَمَنْ ضَلَّ فَإِنَّمَا يَضِلُّ عَلَيْهَا وَلاَ تَزِرُ وَازِرَة ٌ وِزْرَ أُخْرَى وَمَا كُنَّا مُعَذِّبِينَ حَتَّى نَبْعَثَ رَسُولا ً |
Wa 'Idhā 'Aradnā 'An Nuhlika Qaryatan 'Amarnā Mutrafīhā Fafasaqū Fīhā Faĥaqqa `Alayhā Al-Qawlu Fadammarnāhā Tadmīrāan  | 16. Na pindi tukitaka kuuteketeza mji huwaamrisha
wale wenye starehe na taanusi, lakini wao huendelea kutenda maovu humo.
Basi hapo kauli huthibiti juu ya mji huo, nasi tukauangamiza kwa maangamizo
makubwa. | وَإِذَا أَرَدْنَا أَنْ نُهْلِكَ قَرْيَةً أَمَرْنَا مُتْرَفِيهَا فَفَسَقُوا فِيهَا فَحَقَّ عَلَيْهَا الْقَوْلُ فَدَمَّرْنَاهَا تَدْمِيرا ً |
Wa Kam 'Ahlaknā Mina Al-Qurūni Min Ba`di Nūĥin Wa Kafá Birabbika Bidhunūbi `Ibādihi Khabīrāan Başīrāan  | 17. Na kaumu ngapi tumeziangamiza baada ya Nuhu!
Na Mola wako Mlezi anatosha kabisa kuwa ni Mwenye kuzijua na kuziona dhambi
za waja wake. | وَكَمْ أَهْلَكْنَا مِنَ الْقُرُونِ مِنْ بَعْدِ نُوح ٍ وَكَفَى بِرَبِّكَ بِذُنُوبِ عِبَادِه ِِ خَبِيرا ً بَصِيرا ً |
Man Kāna Yurīdu Al-`Ājilata `Ajjalnā Lahu Fīhā Mā Nashā'u Liman Nurīdu Thumma Ja`alnā Lahu Jahannama Yaşlāhā Madhmūmāan Madĥūrāan  | 18. Anaye taka yapitayo upesi upesi, tutafanya
haraka kumletea hapa hapa tunayo yataka kwa tumtakaye. Kisha tumemwekea
Jahannamu; ataingia humo hali ya kuwa ni mwenye kulaumiwa na kufurushwa. | مَنْ كَانَ يُرِيدُ الْعَاجِلَةَ عَجَّلْنَا لَه ُُ فِيهَا مَا نَشَاءُ لِمَنْ نُرِيدُ ثُمَّ جَعَلْنَا لَه ُُ جَهَنَّمَ يَصْلاَهَا مَذْمُوما ً مَدْحُورا ً |
Wa Man 'Arāda Al-'Ākhirata Wa Sa`á Lahā Sa`yahā Wa Huwa Mu'uminun Fa'ūlā'ika Kāna Sa`yuhum Mashkūrāan  | 19. Na anaye itaka Akhera, na akazifanyia juhudi
a'mali zake, naye ni Muumini, basi hao juhudi yao itakuwa ni ya kushukuriwa. | وَمَنْ أَرَادَ الآخِرَةَ وَسَعَى لَهَا سَعْيَهَا وَهُوَ مُؤْمِن ٌ فَأُوْلَائِكَ كَانَ سَعْيُهُمْ مَشْكُورا ً |
Kullāan Numiddu Hā'uulā' Wa Hā'uulā' Min `Aţā'i Rabbika Wa Mā Kāna `Aţā'u Rabbika Maĥžūrāan  | 20. Wote hao tunawakunjulia - hawa na hao - katika
neema za Mola wako Mlezi. Wala neema za Mola wako Mlezi hazizuiliki. | كُلاّ ً نُمِدُّ هَاؤُلاَء وَهَاؤُلاَء مِنْ عَطَاءِ رَبِّكَ وَمَا كَانَ عَطَاءُ رَبِّكَ مَحْظُورا ً |
Anžur Kayfa Fađđalnā Ba`đahum `Alá Ba`đin Wa Lal'ākhiratu 'Akbaru Darajātin Wa 'Akbaru Tafđīlāan  | 21. Angalia vipi tulivyo wafadhili baadhi yao
kuliko wenginewe. Na hakika Akhera ni yenye daraja kubwa zaidi na fadhila
kubwa zaidi. | انظُرْ كَيْفَ فَضَّلْنَا بَعْضَهُمْ عَلَى بَعْض ٍ وَلَلآخِرَةُ أَكْبَرُ دَرَجَات ٍ وَأَكْبَرُ تَفْضِيلا ً |
Lā Taj`al Ma`a Allāhi 'Ilahāan 'Ākhara Fataq`uda Madhmūmāan Makhdhūlāan  | 22. Usimfanye mungu mwengine pamoja na Mwenyezi
Mungu, usije ukawa wa kulaumiwa uliye tupika. | لاَ تَجْعَلْ مَعَ اللَّهِ إِلَها ً آخَرَ فَتَقْعُدَ مَذْمُوما ً مَخْذُولا ً |
Wa Qađá Rabbuka 'Allā Ta`budū 'Illā 'Īyāhu Wa Bil-Wālidayni 'Iĥsānāan 'Immā Yablughanna `Indaka Al-Kibara 'Aĥaduhumā 'Aw Kilāhumā Falā Taqul Lahumā 'Uffin Wa Lā Tanharhumā Wa Qul Lahumā Qawlāan Karīmāan  | 23. Na Mola wako Mlezi ameamrisha kuwa msimuabudu
yeyote ila Yeye tu, na wazazi wawili muwatendee wema. Mmoja wao akifikia
uzee, naye yuko kwako, au wote wawili, basi usimwambie hata: Ah! Wala usiwakemee.
Na sema nao kwa msemo wa hishima. | وَقَضَى رَبُّكَ أَلاَّ تَعْبُدُوا إِلاَّ إِيَّاه ُُ وَبِالْوَالِدَيْنِ إِحْسَانا ً إِمَّا يَبْلُغَنَّ عِنْدَكَ الْكِبَرَ أَحَدُهُمَا أَوْ كِلاَهُمَا فَلاَ تَقُلْ لَهُمَا أُفّ ٍ وَلاَ تَنْهَرْهُمَا وَقُلْ لَهُمَا قَوْلا ً كَرِيما ً |
Wa Akhfiđ Lahumā Janāĥa Adh-Dhulli Mina Ar-Raĥmati Wa Qul Rrabbi Arĥamhumā Kamā Rabbayānī Şaghīrāan  | 24. Na uwainamishie bawa la unyenyekevu kwa kuwaonea
huruma. Na useme: Mola wangu Mlezi! Warehemu kama walivyo nilea utotoni. | وَاخْفِضْ لَهُمَا جَنَاحَ الذُّلِّ مِنَ الرَّحْمَةِ وَقُلْ رَّبِّ ارْحَمْهُمَا كَمَا رَبَّيَانِي صَغِيرا ً |
Rabbukum 'A`lamu Bimā Fī Nufūsikum 'In Takūnū Şāliĥīna Fa'innahu Kāna Lil'awwābīna Ghafūrāan  | 25. Mola wenu anajua kabisa yaliyo nyoyoni mwenu.
Ikiwa nyinyi mtakuwa wema, basi hakika Yeye ni Mwenye kuwaghufiria wanao
tubia kwake. | رَبُّكُمْ أَعْلَمُ بِمَا فِي نُفُوسِكُمْ إِنْ تَكُونُوا صَالِحِينَ فَإِنَّه ُُ كَانَ لِلأَوَّابِينَ غَفُورا ً |
Wa 'Āti Dhā Al-Qurbá Ĥaqqahu Wa Al-Miskīna Wa Abna As-Sabīli Wa Lā Tubadhdhir Tabdhīrāan  | 26. Na mpe aliye jamaa yako haki yake, na masikini,
na msafiri; wala usitumie ovyo kwa fujo. | وَآتِ ذَا الْقُرْبَى حَقَّه ُُ وَالْمِسْكِينَ وَابْنَ السَّبِيلِ وَلاَ تُبَذِّرْ تَبْذِيرا ً |
'Inna Al-Mubadhdhirīna Kānū 'Ikhwāna Ash-Shayāţīni Wa Kāna Ash-Shayţānu Lirabbihi Kafūrāan  | 27. Hakika wabadhirifu ni ndugu wa Mashet'ani.
Na Shet'ani ni mwenye kumkufuru Mola wake Mlezi. | إِنَّ الْمُبَذِّرِينَ كَانُوا إِخْوَانَ الشَّيَاطِينِ وَكَانَ الشَّيْطَانُ لِرَبِّه ِِ كَفُورا ً |
Wa 'Immā Tu`riđanna `Anhumu Abtighā'a Raĥmatin Min Rabbika Tarjūhā Faqul Lahum Qawlāan Maysūrāan  | 28. Na ikiwa unajikurupusha nao, nawe unatafuta
rehema ya Mola wako Mlezi unayo itaraji, basi sema nao maneno laini. | وَإِمَّا تُعْرِضَنَّ عَنْهُمُ ابْتِغَاءَ رَحْمَة ٍ مِنْ رَبِّكَ تَرْجُوهَا فَقُلْ لَهُمْ قَوْلا ً مَيْسُورا ً |
Wa Lā Taj`al Yadaka Maghlūlatan 'Ilá `Unuqika Wa Lā Tabsuţhā Kulla Al-Basţi Fataq`uda Malūmāan Maĥsūrāan  | 29. Wala usiufanye mkono wako kama ulio fungwa
shingoni mwako, wala usiukunjue wote kabisa, utabaki ukilaumiwa muflisi. | وَلاَ تَجْعَلْ يَدَكَ مَغْلُولَة ً إِلَى عُنُقِكَ وَلاَ تَبْسُطْهَا كُلَّ الْبَسْطِ فَتَقْعُدَ مَلُوما ً مَحْسُورا ً |
'Inna Rabbaka Yabsuţu Ar-Rizqa Liman Yashā'u Wa Yaqdiru 'Innahu Kāna Bi`ibādihi Khabīrāan Başīrāan  | 30. Hakika Mola wako Mlezi humkunjulia riziki
amtakaye, na humpimia amtakaye. Hakika Yeye kwa waja wake ni Mwenye kuwajua
na kuwaona. | إِنَّ رَبَّكَ يَبْسُطُ الرِّزْقَ لِمَنْ يَشَاءُ وَيَقْدِرُ إِنَّه ُُ كَانَ بِعِبَادِه ِِ خَبِيرا ً بَصِيرا ً |
Wa Lā Taqtulū 'Awlādakum Khashyata 'Imlāqin Naĥnu Narzuquhum Wa 'Īyākum 'Inna Qatlahum Kāna Khiţ'āan Kabīrāan  | 31. Wala msiwauwe wana wenu kwa kuogopa umasikini.
Sisi tunawaruzuku wao na nyinyi. Hakika kuwaua hao ni khatia kubwa. | وَلاَ تَقْتُلُوا أَوْلاَدَكُمْ خَشْيَةَ إِمْلاَق ٍ نَحْنُ نَرْزُقُهُمْ وَإِيَّاكُمْ إِنَّ قَتْلَهُمْ كَانَ خِطْئا ً كَبِيرا ً |
Wa Lā Taqrabū Az-Ziná 'Innahu Kāna Fāĥishatan Wa Sā'a Sabīlāan  | 32. Wala msikaribie uzinzi. Hakika huo ni uchafu
na njia mbaya. | وَلاَ تَقْرَبُوا الزِّنَى إِنَّه ُُ كَانَ فَاحِشَة ً وَسَاءَ سَبِيلا ً |
Wa Lā Taqtulū An-Nafsa Allatī Ĥarrama Allāhu 'Illā Bil-Ĥaqqi Wa Man Qutila Mažlūmāan Faqad Ja`alnā Liwalīyihi Sulţānāan Falā Yusrif Fī Al-Qatli 'Innahu Kāna Manşūrāan  | 33. Wala msiuwe nafsi ambayo Mwenyezi Mungu amekataza
isipo kuwa kwa haki. Na aliye uliwa kwa kudhulumiwa basi tumempa madaraka
mrithi wake. Lakini asipite mpaka katika kuuwa. Kwani yeye anasaidiwa. | وَلاَ تَقْتُلُوا النَّفْسَ الَّتِي حَرَّمَ اللَّهُ إِلاَّ بِالْحَقِّ وَمَنْ قُتِلَ مَظْلُوما ً فَقَدْ جَعَلْنَا لِوَلِيِّه ِِ سُلْطَانا ً فَلاَ يُسْرِفْ فِي الْقَتْلِ إِنَّه ُُ كَانَ مَنصُورا ً |
Wa Lā Taqrabū Māla Al-Yatīmi 'Illā Bi-Atī Hiya 'Aĥsanu Ĥattá Yablugha 'Ashuddahu Wa 'Awfū Bil-`Ahdi 'Inna Al-`Ahda Kāna Mas'ūlāan  | 34. Wala msiyakaribie mali ya yatima, isipo kuwa
kwa njia iliyo bora, mpaka afike utuuzimani. Na timizeni ahadi. Kwa hakika
ahadi itasailiwa. | وَلاَ تَقْرَبُوا مَالَ الْيَتِيمِ إِلاَّ بِالَّتِي هِيَ أَحْسَنُ حَتَّى يَبْلُغَ أَشُدَّه ُُ وَأَوْفُوا بِالْعَهْدِ إِنَّ الْعَهْدَ كَانَ مَسْئُولا ً |
Wa 'Awfū Al-Kayla 'Idhā Kiltum Wa Zinū Bil-Qisţāsi Al-Mustaqīmi Dhālika Khayrun Wa 'Aĥsanu Ta'wīlāan  | 35. Na timizeni kipimo mpimapo. Na pimeni kwa
mizani zilizo sawa. Hayo ni wema kwenu na khatimaye ndio bora. | وَأَوْفُوا الْكَيْلَ إِذَا كِلْتُمْ وَزِنُوا بِالْقِسْطَاسِ الْمُسْتَقِيمِ ذَلِكَ خَيْر ٌ وَأَحْسَنُ تَأْوِيلا ً |
Wa Lā Taqfu Mā Laysa Laka Bihi `Ilmun 'Inna As-Sam`a Wa Al-Başara Wa Al-Fu'uāda Kullu 'Ūlā'ika Kāna `Anhu Mas'ūlāan  | 36. Wala usiyafuate usiyo na ujuzi nayo. Hakika
masikio, na macho, na moyo - hivyo vyote vitasailiwa. | وَلاَ تَقْفُ مَا لَيْسَ لَكَ بِه ِِ عِلْم ٌ إِنَّ السَّمْعَ وَالْبَصَرَ وَالْفُؤَادَ كُلُّ أُوْلَائِكَ كَانَ عَنْهُ مَسْئُولا ً |
Wa Lā Tamshi Fī Al-'Arđi Maraĥāan 'Innaka Lan Takhriqa Al-'Arđa Wa Lan Tablugha Al-Jibāla Ţūlāan  | 37. Wala usitembee katika ardhi kwa maringo.
Hakika wewe huwezi kuipasua ardhi wala kufikia urefu wa milima. | وَلاَ تَمْشِ فِي الأَرْضِ مَرَحا ً إِنَّكَ لَنْ تَخْرِقَ الأَرْضَ وَلَنْ تَبْلُغَ الْجِبَالَ طُولا ً |
Kullu Dhālika Kāna Sayyi'uhu `Inda Rabbika Makrūhāan  | 38. Haya yote ubaya wake ni wenye kuchukiza kwa
Mola wako Mlezi. | كُلُّ ذَلِكَ كَانَ سَيِّئُه ُُ عِنْدَ رَبِّكَ مَكْرُوها ً |
Dhālika Mimmā 'Awĥá 'Ilayka Rabbuka Mina Al-Ĥikmati Wa Lā Taj`al Ma`a Allāhi 'Ilahāan 'Ākhara Fatulqá Fī Jahannama Malūmāan Madĥūrāan  | 39. Haya ni katika hikima alizo kufunulia Mola
wako Mlezi. Wala usimweke pamoja na Mwenyezi Mungu mungu mwengine, usije
ukatupwa katika Jahannamu ukilaumiwa na kufurushwa. | ذَلِكَ مِمَّا أَوْحَى إِلَيْكَ رَبُّكَ مِنَ الْحِكْمَةِ وَلاَ تَجْعَلْ مَعَ اللَّهِ إِلَها ً آخَرَ فَتُلْقَى فِي جَهَنَّمَ مَلُوما ً مَدْحُورا ً |
'Afa'aşfākum Rabbukum Bil-Banīna Wa Attakhadha Mina Al-Malā'ikati 'Ināthāan 'Innakum Lataqūlūna Qawlāan `Ažīmāan  | 40. Je! Mola wenu Mlezi amekuteulieni wavulana,
na Yeye akawafanya Malaika ni banati zake? Kwa hakika nyinyi mnasema usemi
mkubwa. | أَفَأَصْفَاكُمْ رَبُّكُمْ بِالْبَنِينَ وَاتَّخَذَ مِنَ الْمَلاَئِكَةِ إِنَاثا ً إِنَّكُمْ لَتَقُولُونَ قَوْلاً عَظِيما ً |
Wa Laqad Şarrafnā Fī Hādhā Al-Qur'āni Liyadhdhakkarū Wa Mā Yazīduhum 'Illā Nufūrāan  | 41. Na tumekwisha bainisha katika Qur'ani hii
ili wapate kukumbuka. Lakini haikuwazidisha ila kuwa mbali nayo. | وَلَقَدْ صَرَّفْنَا فِي هَذَا الْقُرْآنِ لِيَذَّكَّرُوا وَمَا يَزِيدُهُمْ إِلاَّ نُفُورا ً |
Qul Law Kāna Ma`ahu 'Ālihatun Kamā Yaqūlūna 'Idhāan Lābtaghaw 'Ilá Dhī Al-`Arshi Sabīlāan  | 42. Sema: Lau kuwa wangeli kuwa pamoja naye miungu
mingine kama wasemavyo, basi wangeli tafuta njia ya kumfikia Mwenye Kiti
cha Enzi. | قُلْ لَوْ كَانَ مَعَهُ آلِهَة ٌ كَمَا يَقُولُونَ إِذا ً لاَبْتَغَوْا إِلَى ذِي الْعَرْشِ سَبِيلا ً |
Subĥānahu Wa Ta`ālá `Ammā Yaqūlūna `Ulūwāan Kabīrāan  | 43. Subhanahu Wa Taa'la, Ametakasika na Ametukuka
juu kabisa na hayo wanayo yasema. | سُبْحَانَه ُُ وَتَعَالَى عَمَّا يَقُولُونَ عُلُوّا ً كَبِيرا ً |
Tusabbiĥu Lahu As-Samāwātu As-Sab`u Wa Al-'Arđu Wa Man Fīhinna Wa 'In Min Shay'in 'Illā Yusabbiĥu Biĥamdihi Wa Lakin Lā Tafqahūna Tasbīĥahum 'Innahu Kāna Ĥalīmāan Ghafūrāan  | 44. Zinamtakasa zote mbingu saba na ardhi na
vyote viliomo ndani yake. Na hapana kitu ila kinamtakasa kwa sifa zake.
Lakini nyinyi hamfahamu kutakasa kwake. Hakika Yeye ni Mpole na Mwenye
maghfira. | تُسَبِّحُ لَهُ السَّمَاوَاتُ السَّبْعُ وَالأَرْضُ وَمَنْ فِيهِنَّ وَإِنْ مِنْ شَيْء ٍ إِلاَّ يُسَبِّحُ بِحَمْدِه ِِ وَلَكِنْ لاَ تَفْقَهُونَ تَسْبِيحَهُمْ إِنَّه ُُ كَانَ حَلِيماً غَفُورا ً |
Wa 'Idhā Qara'ta Al-Qur'āna Ja`alnā Baynaka Wa Bayna Al-Ladhīna Lā Yu'uminūna Bil-'Ākhirati Ĥijābāan Mastūrāan  | 45. Na unapo soma Qur'ani tunaweka baina yako
na wale wasio iamini Akhera pazia linalo wafunika. | وَإِذَا قَرَأْتَ الْقُرْآنَ جَعَلْنَا بَيْنَكَ وَبَيْنَ الَّذِينَ لاَ يُؤْمِنُونَ بِالآخِرَةِ حِجَابا ً مَسْتُورا ً |
Wa Ja`alnā `Alá Qulūbihim 'Akinnatan 'An Yafqahūhu Wa Fī 'Ādhānihim Waqrāan Wa 'Idhā Dhakarta Rabbaka Fī Al-Qur'āni Waĥdahu Wa Llaw `Alá 'Adbārihim Nufūrāan  | 46. Na tunaweka vifuniko juu ya nyoyo zao wasije
wakaifahamu, na tunaweka kwenye masikio yao uziwi. Na unapo mtaja katika
Qur'ani Mola wako Mlezi peke yake, basi wao hugeuka nyuma wakenda zao. | وَجَعَلْنَا عَلَى قُلُوبِهِمْ أَكِنَّةً أَنْ يَفْقَهُوه ُُ وَفِي آذَانِهِمْ وَقْرا ً وَإِذَا ذَكَرْتَ رَبَّكَ فِي الْقُرْآنِ وَحْدَه ُُ وَلَّوْا عَلَى أَدْبَارِهِمْ نُفُورا ً |
Naĥnu 'A`lamu Bimā Yastami`ūna Bihi 'Idh Yastami`ūna 'Ilayka Wa 'Idh Hum Najwá 'Idh Yaqūlu Až-Žālimūna 'In Tattabi`ūna 'Illā Rajulāan Masĥūrāan  | 47. Sisi tunajua vyema kabisa sababu wanayo sikilizia
wanapo kusikiliza, na wanapo nong'ona. Wanapo sema hao madhaalimu: Nyinyi
hamumfuati isipo kuwa mtu aliye rogwa. | نَحْنُ أَعْلَمُ بِمَا يَسْتَمِعُونَ بِهِ~ِ إِذْ يَسْتَمِعُونَ إِلَيْكَ وَإِذْ هُمْ نَجْوَى إِذْ يَقُولُ الظَّالِمُونَ إِنْ تَتَّبِعُونَ إِلاَّ رَجُلا ً مَسْحُورا ً |
Anžur Kayfa Đarabū Laka Al-'Amthāla Fađallū Falā Yastaţī`ūna Sabīlāan  | 48. Tazama vipi wanavyo kupigia mifano. Basi
wamepotea. Kwa hivyo hawawezi kuipata njia. | انظُرْ كَيْفَ ضَرَبُوا لَكَ الأَمْثَالَ فَضَلُّوا فَلاَ يَسْتَطِيعُونَ سَبِيلا ً |
Wa Qālū 'A'idhā Kunnā `Ižāmāan Wa Rufātāan 'A'innā Lamab`ūthūna Khalqāan Jadīdāan  | 49. Na walisema: Je! Tutapo kuwa mifupa na mapande
yaliyo vurugika, tutafufuliwa kwa umbo jipya? | وَقَالُوا أَئِذَا كُنَّا عِظَاما ً وَرُفَاتاً أَئِنَّا لَمَبْعُوثُونَ خَلْقا ً جَدِيدا ً |
Qul Kūnū Ĥijāratan 'Aw Ĥadīdāan  | 50. Sema: Kuweni hata mawe na chuma. | قُلْ كُونُوا حِجَارَةً أَوْ حَدِيدا ً |
'Aw Khalqāan Mimmā Yakburu Fī Şudūrikum Fasayaqūlūna Man Yu`īdunā Quli Al-Ladhī Faţarakum 'Awwala Marratin Fasayunghiđūna 'Ilayka Ru'ūsahum Wa Yaqūlūna Matá Huwa Qul `Asá 'An Yakūna Qarībāan  | 51. Au umbo lolote mnalo liona kubwa katika vifua
vyenu. Watasema: Nani atakaye turudisha tena? Sema: Yule yule aliye kuumbeni
mara ya kwanza! Watakutikisia vichwa vyao, na watasema: Lini hayo? Sema:
A'saa yakawa karibu! | أَوْ خَلْقا ً مِمَّا يَكْبُرُ فِي صُدُورِكُمْ فَسَيَقُولُونَ مَنْ يُعِيدُنَا قُلِ الَّذِي فَطَرَكُمْ أَوَّلَ مَرَّة ٍ فَسَيُنْغِضُونَ إِلَيْكَ رُءُوسَهُمْ وَيَقُولُونَ مَتَى هُوَ قُلْ عَسَى أَنْ يَكُونَ قَرِيبا ً |
Yawma Yad`ūkum Fatastajībūna Biĥamdihi Wa Tažunnūna 'In Labithtum 'Illā Qalīlāan  | 52. Siku atakapo kuiteni, na nyinyi mkamuitikia
kwa kumshukuru, na mkadhani kuwa hamkukaa ila muda mdogo tu. | يَوْمَ يَدْعُوكُمْ فَتَسْتَجِيبُونَ بِحَمْدِه ِِ وَتَظُنُّونَ إِنْ لَبِثْتُمْ إِلاَّ قَلِيلا ً |
Wa Qul Li`ibādī Yaqūlū Allatī Hiya 'Aĥsanu 'Inna Ash-Shayţāna Yanzaghu Baynahum 'Inna Ash-Shayţāna Kāna Lil'insāni `Adūwāan Mubīnāan  | 53. Waambie waja wangu waseme maneno mazuri,
maana Shet'ani huchochea ugomvi baina yao. Hakika Shet'ani ni adui aliye
dhaahiri kwa mwanaadamu. | وَقُلْ لِعِبَادِي يَقُولُوا الَّتِي هِيَ أَحْسَنُ إِنَّ الشَّيْطَانَ يَنزَغُ بَيْنَهُمْ إِنَّ الشَّيْطَانَ كَانَ لِلإِنسَانِ عَدُوّا ً مُبِينا ً |
Rabbukum 'A`lamu Bikum 'In Yasha' Yarĥamkum 'Aw 'In Yasha' Yu`adhdhibkum Wa Mā 'Arsalnāka `Alayhim Wa Kīlāan  | 54. Mola wenu Mlezi anakujueni vilivyo. Akipenda
atakurehemuni, na akipenda atakuadhibuni. Na hatukukutuma ili uwe mlinzi
juu yao. | رَبُّكُمْ أَعْلَمُ بِكُمْ إِنْ يَشَأْ يَرْحَمْكُمْ أَوْ إِنْ يَشَأْ يُعَذِّبْكُمْ وَمَا أَرْسَلْنَاكَ عَلَيْهِمْ وَكِيلا ً |
Wa Rabbuka 'A`lamu Biman Fī As-Samāwāti Wa Al-'Arđi Wa Laqad Fađđalnā Ba`đa An-Nabīyīna `Alá Ba`đin Wa 'Ātaynā Dāwūda Zabūrāan  | 55. Na Mola wako Mlezi anawajua vilivyo waliomo
mbinguni na katika ardhi. Na hakika tumewafadhilisha baadhi ya Manabii
kuliko wengine; na Daudi tulimpa Zaburi. | وَرَبُّكَ أَعْلَمُ بِمَنْ فِي السَّمَاوَاتِ وَالأَرْضِ وَلَقَدْ فَضَّلْنَا بَعْضَ النَّبِيِّينَ عَلَى بَعْض ٍ وَآتَيْنَا دَاوُودَ زَبُورا ً |
Quli Ad`ū Al-Ladhīna Za`amtum Min Dūnihi Falā Yamlikūna Kashfa Ađ-Đurri `Ankum Wa Lā Taĥwīlāan  | 56. Sema: Waombeni hao mnao wadaia badala yake
Yeye. Hawawezi kukuondoleeni madhara, wala kuyaweka pengine. | قُلِ ادْعُوا الَّذِينَ زَعَمْتُمْ مِنْ دُونِه ِِ فَلاَ يَمْلِكُونَ كَشْفَ الضُّرِّ عَنكُمْ وَلاَ تَحْوِيلا ً |
'Ūlā'ika Al-Ladhīna Yad`ūna Yabtaghūna 'Ilá Rabbihimu Al-Wasīlata 'Ayyuhum 'Aqrabu Wa Yarjūna Raĥmatahu Wa Yakhāfūna `Adhābahu 'Inna `Adhāba Rabbika Kāna Maĥdhūrāan  | 57. Hao wanao waomba, wao wenyewe wanatafuta
njia ya kwendea kwa Mola wao Mlezi - hata miongoni mwao walio karibu mno
- na wanataraji rehema zake na wanaikhofu adhabu yake. Hakika adhabu ya
Mola wako Mlezi yafaa kutahadhari nayo. | أُوْلَائِكَ الَّذِينَ يَدْعُونَ يَبْتَغُونَ إِلَى رَبِّهِمُ الْوَسِيلَةَ أَيُّهُمْ أَقْرَبُ وَيَرْجُونَ رَحْمَتَه ُُ وَيَخَافُونَ عَذَابَهُ~ُ إِنَّ عَذَابَ رَبِّكَ كَانَ مَحْذُورا ً |
Wa 'In Min Qaryatin 'Illā Naĥnu Muhlikūhā Qabla Yawmi Al-Qiyāmati 'Aw Mu`adhdhibūhā `Adhābāan Shadīdāan Kāna Dhālika Fī Al-Kitābi Masţūrāan  | 58. Na hapana mji wowote ila Sisi tutauteketeza
kabla ya Siku ya Kiyama, au tutaupa adhabu kali. Haya yamekwisha andikwa
katika Kitabu. | وَإِنْ مِنْ قَرْيَة ٍ إِلاَّ نَحْنُ مُهْلِكُوهَا قَبْلَ يَوْمِ الْقِيَامَةِ أَوْ مُعَذِّبُوهَا عَذَابا ً شَدِيدا ً كَانَ ذَلِكَ فِي الْكِتَابِ مَسْطُورا ً |
Wa Mā Mana`anā 'An Nursila Bil-'Āyāti 'Illā 'An Kadhdhaba Bihā Al-'Awwalūna Wa 'Ātaynā Thamūda An-Nāqata Mubşiratan Fažalamū Bihā Wa Mā Nursilu Bil-'Āyāti 'Illā Takhwīfāan  | 59. Na hapana kinacho tuzuia kupeleka miujiza
ila ni kuwa watu wa zamani waliikanusha. Na tuliwapa Wathamudi ngamia jike
kuwa ni Ishara iliyo dhaahiri, lakini walidhulumu kwaye. Nasi hatupeleki
Ishara ila kwa ajili ya kuhadharisha. | وَمَا مَنَعَنَا أَنْ نُرْسِلَ بِالآيَاتِ إِلاَّ أَنْ كَذَّبَ بِهَا الأَوَّلُونَ وَآتَيْنَا ثَمُودَ النَّاقَةَ مُبْصِرَة ً فَظَلَمُوا بِهَا وَمَا نُرْسِلُ بِالآيَاتِ إِلاَّ تَخْوِيفا ً |
Wa 'Idh Qulnā Laka 'Inna Rabbaka 'Aĥāţa Bin-Nāsi Wa Mā Ja`alnā Ar-Ru'uyā Allatī 'Araynāka 'Illā Fitnatan Lilnnāsi Wa Ash-Shajarata Al-Mal`ūnata Fī Al-Qur'āni Wa Nukhawwifuhum Famā Yazīduhum 'Illā Ţughyānāan Kabīrāan  | 60. Na tulipo kwambia: Hakika Mola wako Mlezi
amekwisha wazunguka hao watu. Na hatukuifanya ndoto tulio kuonyesha ila
ni kuwajaribu watu, na mti ulio laaniwa katika Qur'ani. Na tunawahadharisha,
lakini haiwazidishii ila uasi mkubwa. | وَإِذْ قُلْنَا لَكَ إِنَّ رَبَّكَ أَحَاطَ بِالنَّاسِ وَمَا جَعَلْنَا الرُّؤْيَا الَّتِي أَرَيْنَاكَ إِلاَّ فِتْنَة ً لِلنَّاسِ وَالشَّجَرَةَ الْمَلْعُونَةَ فِي الْقُرْآنِ وَنُخَوِّفُهُمْ فَمَا يَزِيدُهُمْ إِلاَّ طُغْيَانا ً كَبِيرا ً |
Wa 'Idh Qulnā Lilmalā'ikati Asjudū Li'dama Fasajadū 'Illā 'Iblīsa Qāla 'A'asjudu Liman Khalaqta Ţīnāan  | 61. Na pale tulipo waambia Malaika: Msujudieni
Adam. Wakamsujudia isipo kuwa Iblisi. Akasema: Je! Nimsujudie uliye muumba
kwa udongo? | وَإِذْ قُلْنَا لِلْمَلاَئِكَةِ اسْجُدُوا لِأدَمَ فَسَجَدُوا إِلاَّ إِبْلِيسَ قَالَ أَأَسْجُدُ لِمَنْ خَلَقْتَ طِينا ً |
Qāla 'Ara'aytaka Hādhā Al-Ladhī Karramta `Alayya La'in 'Akhkhartanī 'Ilá Yawmi Al-Qiyāmati La'aĥtanikanna Dhurrīyatahu 'Illā Qalīlāan  | 62. Akasema: Hebu nambie khabari ya huyu uliye
mtukuza juu yangu. Ukiniakhirisha mpaka Siku ya Kiyama, hapana shaka nitawaangamiza
dhuriya zake wasipo kuwa wachache tu. | قَالَ أَرَأَيْتَكَ هَذَا الَّذِي كَرَّمْتَ عَلَيَّ لَئِنْ أَخَّرْتَنِي إِلَى يَوْمِ الْقِيَامَةِ لَأَحْتَنِكَنَّ ذُرِّيَّتَهُ~ُ إِلاَّ قَلِيلا ً |
Qāla Adh/hab Faman Tabi`aka Minhum Fa'inna Jahannama Jazā'uukum Jazā'an Mawfūrāan  | 63. Akasema Mwenyezi Mungu: Ondokelea mbali!
Atakaye kufuata katika wao, basi Jahannamu itakuwa ndiyo malipo yenu, malipo
ya kutimia. | قَالَ اذْهَبْ فَمَنْ تَبِعَكَ مِنْهُمْ فَإِنَّ جَهَنَّمَ جَزَاؤُكُمْ جَزَاء ً مَوْفُورا ً |
Wa Astafziz Mani Astaţa`ta Minhum Bişawtika Wa 'Ajlib `Alayhim Bikhaylika Wa Rajilika Wa Shārik/hum Fī Al-'Amwli Wa Al-'Awlādi Wa `Id/hum Wa Mā Ya`iduhumu Ash-Shayţānu 'Illā Ghurūrāan  | 64. Na wachochee uwawezao katika wao kwa sauti
yako, na wakusanyie jeshi lako la wapandao farasi na waendao kwa miguu.
Na shirikiana nao katika mali na wana, na waahidi. Na Shet'ani hawapi ahadi
ila ya udanganyifu. | وَاسْتَفْزِزْ مَنِ اسْتَطَعْتَ مِنْهُمْ بِصَوْتِكَ وَأَجْلِبْ عَلَيْهِمْ بِخَيْلِكَ وَرَجِلِكَ وَشَارِكْهُمْ فِي الأَمْوالِ وَالأَولاَدِ وَعِدْهُمْ وَمَا يَعِدُهُمُ الشَّيْطَانُ إِلاَّ غُرُورا ً |
'Inna `Ibādī Laysa Laka `Alayhim Sulţānun Wa Kafá Birabbika Wa Kīlāan  | 65. Hakika wewe huna mamlaka juu ya waja wangu.
Na Mola wako Mlezi anatosha kuwa ni wa kutegemewa. | إِنَّ عِبَادِي لَيْسَ لَكَ عَلَيْهِمْ سُلْطَان ٌ وَكَفَى بِرَبِّكَ وَكِيلا ً |
Rabbukumu Al-Ladhī Yuzjī Lakumu Al-Fulka Fī Al-Baĥri Litabtaghū Min Fađlihi 'Innahu Kāna Bikum Raĥīmāan  | 66. Mola wenu Mlezi ndiye anaye kuendesheeni
marikebu katika bahari ili mtafute katika fadhila zake. Hakika Yeye ni
Mwenye kukurehemuni nyinyi. | رَبُّكُمُ الَّذِي يُزْجِي لَكُمُ الْفُلْكَ فِي الْبَحْرِ لِتَبْتَغُوا مِنْ فَضْلِهِ~ِ إِنَّه ُُ كَانَ بِكُمْ رَحِيما ً |
Wa 'Idhā Massakumu Ađ-Đurru Fī Al-Baĥri Đalla Man Tad`ūna 'Illā 'Īyāhu Falammā Najjākum 'Ilá Al-Barri 'A`rađtum Wa Kāna Al-'Insānu Kafūrāan  | 67. Na inapo kufikieni taabu katika bahari, hao
mnao waomba wanapotea, isipo kuwa Yeye tu. Na anapo kuvueni mkafika nchi
kavu, mnageuka. Ama mwanaadamu ni mwingi wa kukanusha. | وَإِذَا مَسَّكُمُ الضُّرُّ فِي الْبَحْرِ ضَلَّ مَنْ تَدْعُونَ إِلاَّ إِيَّاه ُُ فَلَمَّا نَجَّاكُمْ إِلَى الْبَرِّ أَعْرَضْتُمْ وَكَانَ الإِنْسَانُ كَفُورا ً |
'Afa'amintum 'An Yakhsifa Bikum Jāniba Al-Barri 'Aw Yursila `Alaykum Ĥāşibāan Thumma Lā Tajidū Lakum Wa Kīlāan  | 68. Je! Mmeaminisha ya kuwa hatakudidimizeni
upande wowote katika nchi kavu, au kwamba hatakuleteeni tufani la kokoto?
Kisha msipate wa kumtegemea. | أَفَأَمِنتُمْ أَنْ يَخْسِفَ بِكُمْ جَانِبَ الْبَرِّ أَوْ يُرْسِلَ عَلَيْكُمْ حَاصِبا ً ثُمَّ لاَ تَجِدُوا لَكُمْ وَكِيلا ً |
'Am 'Amintum 'An Yu`īdakum Fīhi Tāratan 'Ukhrá Fayursila `Alaykum Qāşifāan Mina Ar-Rīĥi Fayughriqakum Bimā Kafartum Thumma Lā Tajidū Lakum `Alaynā Bihi Tabī`āan  | 69. Au mmeaminisha ya kuwa hatakurudisheni humo
mara nyengine na kukupelekeeni kimbunga cha upepo akakuzamisheni kwa mlivyo
kufuru, na kisha msipate wa kukunusuruni nasi. | أَمْ أَمِنتُمْ أَنْ يُعِيدَكُمْ فِيه ِِ تَارَةً أُخْرَى فَيُرْسِلَ عَلَيْكُمْ قَاصِفا ً مِنَ الرِّيحِ فَيُغْرِقَكُمْ بِمَا كَفَرْتُمْ ثُمَّ لاَ تَجِدُوا لَكُمْ عَلَيْنَا بِه ِِ تَبِيعا ً |
Wa Laqad Karramnā Banī 'Ādama Wa Ĥamalnāhum Fī Al-Barri Wa Al-Baĥri Wa Razaqnāhum Mina Aţ-Ţayyibāti Wa Fađđalnāhum `Alá Kathīrin Mimman Khalaqnā Tafđīlāan  | 70. Na hakika tumewatukuza wanaadamu, na tumewapa
vya kupanda nchi kavu na baharini, na tumewaruzuku vitu vizuri vizuri,
na tumewafadhilisha kwa fadhila kubwa kuliko wengi miongoni mwa tulio waumba. | وَلَقَدْ كَرَّمْنَا بَنِي آدَمَ وَحَمَلْنَاهُمْ فِي الْبَرِّ وَالْبَحْرِ وَرَزَقْنَاهُمْ مِنَ الطَّيِّبَاتِ وَفَضَّلْنَاهُمْ عَلَى كَثِير ٍ مِمَّنْ خَلَقْنَا تَفْضِيلا ً |
Yawma Nad`ū Kulla 'Unāsin Bi'imāmihim Faman 'Ūtiya Kitābahu Biyamīnihi Fa'ūlā'ika Yaqra'ūna Kitābahum Wa Lā Yužlamūna Fatīlāan  | 71. Siku tutapo waita kila kikundi cha watu kwa
mujibu wa wakifuatacho - basi atakaye pewa kitabu chake kwa mkono wake
wa kulia, basi hao watasoma kitabu chao wala hawatadhulumiwa hata chembe. | يَوْمَ نَدْعُو كُلَّ أُنَاس ٍ بِإِمَامِهِمْ فَمَنْ أُوتِيَ كِتَابَه ُُ بِيَمِينِه ِِ فَأُوْلَائِكَ يَقْرَءُونَ كِتَابَهُمْ وَلاَ يُظْلَمُونَ فَتِيلا ً |
| Wa Man Kāna Fī Hadhihi 'A`má Fahuwa Fī Al-'Ā< |