Dhālika Bi'annahum 'Āmanū Thumma Kafarū Faţubi`a `Alaá Qulūbihim Fahum Lā Yafqahūna (Al-Munāfiqūn: 3).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
3. Hayo ni kwa sababu ya kuwa waliamini, kisha wakakufuru; kwa hivyo umepigwa muhuri juu ya nyoyo zao. Kwa hivyo hawafahamu lolote.