Wa 'Idhā Ra'aw Tijāratan 'Aw Lahwan Anfađđū 'Ilayhā Wa Tarakūka Qā'imāan Qul Mā `Inda Allāhi Khayrun Mina Al-Lahwi Wa Mina At-Tijārati Wa Allāhu Khayru Ar-Rāziqīna (Al-Jum`ah: 11).

Next Sūrah >>    Recite again    
11. Na wanapo iona biashara au pumbao wanayakimbilia hayo na wakakuacha umesimama. Sema: Yaliyoko kwa Mwenyezi Mungu ni bora kuliko pumbao na biashara. Na Mwenyezi Mungu ni Mbora wa watoa riziki. *