Astaĥwadha `Alayhim Ash-Shayţānu Fa'ansāhum Dhikra Allāhi 'Ūlā'ika Ĥizbu Ash-Shayţāni 'Alā 'Inna Ĥizba Ash-Shayţāni Hum Al-Khāsirūna (Al-Mujādilh: 19). |
19. Shetani amewatawala na akawasahaulisha kumkumbuka Mwenyezi Mungu. Hao ndio kundi la Shetani. Kweli hakika kundi la Shetani ndilo lenye kukhasirika. |