Wa Mā Lakum 'Allā Tunfiqū Fī Sabīli Allāhi Wa Lillahi Mīrāthu As-Samāwāti Wa Al-'Arđi Lā Yastawī Minkum Man 'Anfaqa Min Qabli Al-Fatĥi Wa Qātala 'Ūlā'ika 'A`žamu Darajatan Mina Al-Ladhīna 'Anfaqū Min Ba`du Wa Qātalū Wa Kullāan Wa`ada Allāhu Al-Ĥusnaá Wa Allāhu Bimā Ta`malūna Khabīrun (Al-Ĥadīd: 10).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
10. Na mna nini hata hamtoi katika Njia ya Mwenyezi Mungu, na hali urithi wa mbingu na ardhi ni wa Mwenyezi Mungu? Hawawi sawa miongoni mwenu wenye kutoa kabla ya Ushindi na wakapigana vita. Hao wana daraja kubwa zaidi kuliko wale ambao walio toa baadae na wakapigana. Na wote hao Mwenyezi Mungu amewaahidia wema. Na Mwenyezi Mungu anazo khabari za mnayo yatenda.