Huwa Al-Ladhī Yunazzilu `Alaá `Abdihi 'Āyātin Bayyinātin Liyukhrijakum Mina Až-Žulumāti 'Ilaá An-Nūr Wa 'Inna Allāha Bikum Lara'ūfun Raĥīmun (Al-Ĥadīd: 9). |
9. Yeye ndiye anaye mteremshia mja wake Aya zinazo bainisha wazi ili akutoeni gizani muingie kwenye nuru. Na hakika Mwenyezi Mungu kwenu ni Mpole, Mwenye kurehemu. |