Yā 'Ayyuhā Al-Ladhīna 'Āmanū Lā Tuqaddimū Bayna Yaday Allāhi Wa Rasūlihi Wa Attaqū Allāha 'Inna Allāha Samī`un `Alīmun (Al-Ĥujurāt: 1).

<< Previous Sūrah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
1. Enyi mlio amini! Msitangulie mbele ya Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na mcheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua.