Laysa `Alaá Al-'A`maá Ĥarajun Wa Lā `Alaá Al-'A`raji Ĥarajun Wa Lā `Alaá Al-Marīđi Ĥarajun Wa Man Yuţi` Allāha Wa Rasūlahu Yudkhilhu Jannātin Tajrī Min Taĥtihā Al-'Anhāru Wa Man Yatawalla Yu`adhdhibhu `Adhābāan 'Alīmāan (Al-Fatĥ: 17).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
17. Kipofu hana lawama, wala kiguru hana lawama, wala mgonjwa hana lawama. Na mwenye kumt'ii Mwenyezi Mungu na Mtume wake, atamuingiza katika Mabustani yapitayo mito kati yake. Na atakaye geuka upande atamuadhibu kwa adhabu chungu.