'Inna Al-Ladhīna Kafarū Wa Şaddū `An Sabīli Allāhi Wa Shāq Ar-Rasūla Min Ba`di Mā Tabayyana Lahumu Al-Hudaá Lan Yađurrū Allāha Shay'āan Wa Sayuĥbiţu 'A`mālahum (Muĥammad: 32).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
32. Kwa hakika walio kufuru na wakazuilia njia ya Mwenyezi Mungu na wakapinzana na Mtume baada ya kwisha wabainikia uwongofu, hao hawatamdhuru Mwenyezi Mungu kwa lolote. Naye ataviangusha vitendo vyao.