Wa Taraá Kulla 'Ummatinthiyatan Kullu 'Ummatin Tud`aá 'Ilaá Kitābihā Al-Yawma Tujzawna Mā Kuntum Ta`malūna (Al-Jāthiyah: 28).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
28. Na utauona kila umma umepiga magoti, na kila umma utaitwa kwenda soma kitabu chake: Leo mtalipwa mliyo kuwa mkiyatenda.