Al-Ladhīna Yujādilūna Fī 'Āyāti Allāhi Bighayri Sulţānin 'Atāhum Kabura Maqtāan `Inda Allāhi Wa `Inda Al-Ladhīna 'Āmanū Kadhālika Yaţba`u Allāhu `Alaá Kulli Qalbi Mutakabbirin Jabbārin (Ghāfir: 35). |
35. Hao ambao wanajadiliana katika Ishara za Mwenyezi Mungu pasipo ushahidi wowote ulio wafikia, ni chukizo kubwa mbele ya Mwenyezi Mungu na mbele ya walio amini. Hivi ndivyo Mwenyezi Mungu apigavyo muhuri juu ya kila moyo wa jeuri anaye jivuna. |