Yawma Tuwallūna Mudbirīna Mā Lakum Mina Allāhi Min `Āşimin Wa Man Yuđlili Allāhu Famā Lahu Min Hādin (Ghāfir: 33). |
33. Siku mtakapo geuka kurudi nyuma. Hamtakuwa na wa kukulindeni kwa Mwenyezi Mungu. Na mwenye kuhukumiwa na Mwenyezi Mungu kupotea, basi huyo hana wa kumwongoa. |