Wa Allāhu Yaqđī Bil-Ĥaqqi Wa Al-Ladhīna Yad`ūna Min Dūnihi Lā Yaqđūna Bishay'in 'Inna Allāha Huwa As-Samī`u Al-Başīru (Ghāfir: 20). |
20. Na Mwenyezi Mungu huhukumu kwa haki; lakini hao wanao waomba badala yake hawahukumu chochote. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kusikia Mwenye kuona. |