Yawma Humrizūna Lā Yakhfaá `Alaá Allāhi Minhum Shay'un Liman Al-Mulku Al-Yawma Lillāhi Al-Wāĥidi Al-Qahhāri (Ghāfir: 16).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
16. Siku watakayo dhihiri wao. Hapana kitacho fichikana chochote chao kwa Mwenyezi Mungu. Ufalme ni wa nani leo? Ni wa Mwenyezi Mungu Mmoja Mtenda nguvu.