Dhālikum Bi'annahu 'Idhā Du`iya Allāhu Waĥdahu Kafartum Wa 'In Yushrak Bihi Tu'uminū Fālĥukmu Lillāhi Al-`Alīyi Al-Kabīri (Ghāfir: 12). |
12. Hayo ni hivyo kwa sababu mlikuwa akiombwa Mwenyezi Mungu peke yake mnakataa. Na akishirikishwa mnaamini. Basi hukumu ni ya Mwenyezi Mungu Mtukufu Mkuu. |