Wa Qihimu As-Sayyi'āti Wa Man Taqī As-Sayyi'āti Yawma'idhin Faqad Raĥimtahu Wa Dhalika Huwa Al-Fawzu Al-`Ažīmu (Ghāfir: 9).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
9. Na waepushe na maovu; kwani umwepushaye maovu siku hiyo, hakika umemrehemu; na huko ndiko kufuzu kukubwa.