Aşbir `Alaá Mā Yaqūlūna Wa Adhkur `Abdanā Dāwūda Dhā Al-'Aydi 'Innahu 'Awwābun (Şād: 17).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
17. Subiri kwa hayo wayasemayo, na umkumbuke mja wetu Daudi, mwenye nguvu. Hakika yeye alikuwa mwingi wa kutubia.