Qul Man Yarzuqukum Mina As-Samāwāti Wa Al-'Arđi Qul Allāhu Wa 'Innā 'Aw 'Īyākum La`alaá Hudan 'Aw Fī Đalālin Mubīnin (Saba': 24). |
24. Sema: Ni nani anaye kuruzukuni kutoka mbinguni na kwenye ardhi? Sema: Mwenyezi Mungu! Na hakika sisi au nyinyi bila ya shaka tuko kwenye uwongofu au upotofu ulio wazi. |