'Inna Al-Ladhīna Yu'udhūna Allāha Wa Rasūlahu La`anahum Allāhu Fī Ad-Dunyā Wa Al-'Ākhirati Wa 'A`adda Lahum `Adhābāan Muhīnāan (Al-'Aĥzāb: 57). |
| 57. Hakika wanao muudhi Mwenyezi Mungu na Mtume wake, Mwenyezi Mungu amewalaani duniani na Akhera, na amewaandalia adhabu ya kufedhehi. |