Wa Mā Kāna Limu'uminin Wa Lā Mu'uminatin 'Idhā Qađaá Allāhu Wa Rasūluhu 'Amrāan 'An Yakūna Lahum Al-Khiyaratu Min 'Amrihim Wa Man Ya`şi Allāha Wa Rasūlahu Faqad Đalla Đalālāan Mubīnāan (Al-'Aĥzāb: 36). |
| 36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanapo kata shauri katika jambo lao. Na mwenye kumuasi Mwenyezi Mungu na Mtume wake basi hakika amepotea upotofu ulio wazi. |