'Idh Jā'ūkum Min Fawqikum Wa Min 'Asfala Minkum Wa 'Idh Zāghat Al-'Abşāru Wa Balaghat Al-Qulūbu Al-Ĥanājira Wa Tažunnūna Billāhi Až-Žunūna (Al-'Aĥzāb: 10). |
10. Walipo kujieni kutoka juu yenu, na kutoka chini yenu; na macho yalipo kodoka, na nyoyo zikapanda kooni, nanyi mkamdhania Mwenyezi Mungu dhana mbali mbali. |