'Idh Jā'ūkum Min Fawqikum Wa Min 'Asfala Minkum Wa 'Idhghat Al-'Abşāru Wa Balaghat Al-Qulūbu Al-Ĥanājira Wa Tažunnūna Billāhi Až-Žunūna (Al-'Aĥzāb: 10).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
10. Walipo kujieni kutoka juu yenu, na kutoka chini yenu; na macho yalipo kodoka, na nyoyo zikapanda kooni, nanyi mkamdhania Mwenyezi Mungu dhana mbali mbali.