Wa 'Idh 'Akhadhnā Mina An-Nabīyīna Mīthāqahum Wa Minka Wa Min Nūĥin Wa 'Ibrāhīma Wa Mūsaá Wa `Īsaá Abni Maryama Wa 'Akhadhnā Minhum Mīthāqāan Ghalīžāan (Al-'Aĥzāb: 7). |
7. Na tulipo chukua ahadi kwa Manabii na kwako wewe, na Nuhu na Ibrahim na Isa mwana wa Mariamu, na tulichukua kwao ahadi ngumu, |