Wa 'Idhā Ghashiyahum Mawjun Kālžžulali Da`aw Allāha Mukhlişīna Lahu Ad-Dīna Falammā Najjāhum 'Ilaá Al-Barri Faminhum Muqtaşidun Wa Mā Yajĥadu Bi'āyātinā 'Illā Kullu Khattārin Kafūrin (Luqmān: 32). |
32. Na wimbi linapo wafunika kama wingu, wao humwomba Mwenyezi Mungu kwa kumsafia dini. Lakini anapo waokoa wakafika nchi kavu, wapo baadhi yao huenda mwendo wa sawa. Wala hazikanushi Ishara zetu ila aliye khaini kafiri mkubwa. |