Yā Bunayya 'Aqim Aş-Şalāata Wa 'Mur Bil-Ma`rūfi Wa Anha `An Al-Munkari Wa Aşbir `Alaá Mā 'Aşābaka 'Inna Dhālika Min `Azmi Al-'Umūri (Luqmān: 17). |
17. Ewe mwanangu! Shika Sala, na amrisha mema, na kataza maovu, na subiri kwa yanayo kupata. Hayo ni katika mambo ya kuazimiwa.. |