Wa Mā Kunta Tarjū 'An Yulqaá 'Ilayka Al-Kitābu 'Illā Raĥmatan Min Rabbika Falā Takūnanna Žahīrāan Lilkāfirīna (Al-Qaşaş: 86).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
86. Nawe hukuwa unataraji kuletewa Kitabu; lakini ni rehema tu ya Mola wako Mlezi. Basi usiwe msaidizi wa makafiri.