Wa 'Aşbaĥa Fu'uādu 'Ummi Mūsaá Fārighāan 'In Kādat Latubdī Bihi Lawlā 'An Rabaţnā `Alaá Qalbihā Litakūna Mina Al-Mu'uminīna (Al-Qaşaş: 10). |
10. Na moyo wa mama yake Musa ukawa mtupu. Alikuwa karibu kumdhihirisha, ingeli kuwa hatukumtia nguvu moyo wake ili awe miongoni mwa Waumini. |