Wa 'Idhā Balagha Al-'Aţfālu Minkum Al-Ĥuluma Falyasta'dhinū Kamā Asta'dhana Al-Ladhīna Min Qablihim Kadhālika Yubayyinu Allāhu Lakum 'Āyātihi Wa Allāhu `Alīmun Ĥakīmun (An-Nūr: 59). |
59. Na watoto wanapo fikilia umri wa kubaalighi basi nawatake ruhusa, kama walivyo taka ruhusa wa kabla yao. Hivyo ndivyo anavyo kubainishieni Mwenyezi Mungu Aya zake, na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi Mwenye hikima. |