Wa 'Aqsamū Billāhi Jahda 'Aymānihim La'in 'Amartahum Layakhrujunna Qul Lā Tuqsimū Ţā`atun Ma`rūfatun 'Inna Allāha Khabīrun Bimā Ta`malūna (An-Nūr: 53). |
53. Na wanaapa kwa Mwenyezi Mungu ukomo wa kiapo chao ya kwamba ukiwaamrisha kwa yakini watatoka. Sema: Msiape! Ut'iifu unajuulikana. Hakika Mwenyezi Mungu anazo khabari za mnayo yatenda. |