Fa'in Lam Tajidū Fīhā 'Aĥadāan Falā Tadkhulūhā Ĥattaá Yu'udhana Lakum Wa 'In Qīla Lakum Arji`ū Fārji`ū Huwa 'Azkaá Lakum Wa Allāhu Bimā Ta`malūna `Alīmun (An-Nūr: 28). |
28. Na msipo mkuta mtu humo basi msiingie mpaka mruhusiwe. Na mkiambiwa: Rudini! Basi rudini. Hivi ni usafi zaidi kwenu. Na Mwenyezi Mungu anajua mnayo yatenda. |