Wa Al-Ladhīna Hājarū Fī Sabīli Allāhi Thumma Qutilū 'Aw Mātū Layarzuqannahum Allāhu Rizqāan Ĥasanāan Wa 'Inna Allāha Lahuwa Khayru Ar-Rāziqīna (Al-Ĥaj: 58). |
58. Na walio hama kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, kisha wakauwawa au wakafa, bila ya shaka Mwenyezi Mungu atawaruzuku riziki njema. Na hakika Mwenyezi Mungu ni Mbora wa wanao ruzuku. |