Wa Likulli 'Ummatin Ja`alnā Mansakāan Liyadhkurū Asma Allāhi `Alaá Mā Razaqahum Min Bahīmati Al-'An`ām Fa'ilahukum 'Ilahun Wāĥidun Falahu 'Aslimū Wa Bashshir Al-Mukhbitīna (Al-Ĥaj: 34). |
34. Na kila umma tumewafanyia mahala pa kuchinjia mihanga ya ibada ili walitaje jina la Mwenyezi Mungu juu ya vile walivyo ruzukiwa katika wanyama wa mifugo. Basi Mungu wenu ni Mungu Mmoja tu. Jisalimishieni kwake tu, na wabashirie wanyenyekevu, |