Lā Yaĥzunuhum Al-Faza`u Al-'Akbaru Wa Tatalaqqāhum Al-Malā'ikatu Hādhā Yawmukumu Al-Ladhī Kuntum Tū`adūna (Al-'Anbyā': 103).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
103. Hicho Kitisho Kikubwa hakito wahuzunisha. Na Malaika watawapokea (kwa kuwaambia): Hii ndiyo Siku yenu mliyo kuwa mkiahidiwa!