Qāla Ahbiţā Minhā Jamī`āan Ba`đukum Liba`đin `Adūwun Fa'immā Ya'tiyannakum Minnī Hudan Faman Attaba`a Hudāya Falā Yađillu Wa Lā Yashqaá (Ţāhā: 123). |
123. Akasema: Ondokeni humu nyote, hali ya kuwa ni maadui nyinyi kwa nyinyi. Na ukikufikieni uwongofu kutoka kwangu basi atakaye ufuata uwongofu wangu, hatapotea wala hatataabika. |