'Innanī 'Anā Allāhu Lā 'Ilāha 'Illā 'Anā Fā`budnī Wa 'Aqim Aş-Şalāata Lidhikrī (Ţāhā: 14).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
14. Hakika Mimi ndiye Mwenyezi Mungu. Hapana mungu ila Mimi tu. Basi niabudu Mimi, na ushike Sala kwa ajili ya kunikumbuka Mimi.