Wa Man Yahdi Allāhu Fahuwa Al-Muhtadi Wa Man Yuđlil Falan Tajida Lahum 'Awliyā'a Min Dūnihi Wa Naĥshuruhum Yawma Al-Qiyāmati `Alaá Wajūhihim `Umyāan Wa Bukmāan Wa Şummāan Ma'wāhum Jahannamu Kullamā Khabat Zidnāhum Sa`īrāan (Al-'Isrā': 97).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
97. Na anaye mhidi Mwenyezi Mungu basi huyo ndiye aliye hidika. Na anaye wapotoa basi huto wapatia walinzi badala yake. Na tutawakusanya Siku ya Kiyama hali wakikokotwa juu ya nyuso zao, nao ni vipofu na mabubu na viziwi. Na makaazi yao ni Jahannamu. Kila moto ukifanya kusinzia tutazidi kuuchochea uwake kwa nguvu.