Wa Mā Mana`a An-Nāsa 'An Yu'uminū 'Idh Jā'ahumu Al-Hudaá 'Illā 'An Qālū 'Aba`atha Allāhu Basharāan Rasūlāan (Al-'Isrā': 94). |
| 94. Na nini kilicho wazuilia watu kuamini ulipo wajia uwongofu isipo kuwa walisema: Je! Mwenyezi Mungu humtuma mwanaadamu kuwa ni Mtume? |