Wa Lā Taqūlū Limā Taşifu 'Alsinatukumu Al-Kadhiba Hādhā Ĥalālun Wa Hadhā Ĥarāmun Litaftarū `Alaá Allāhi Al-Kadhiba 'Inna Al-Ladhīna Yaftarūna `Alaá Allāhi Al-Kadhiba Lā Yufliĥūna (An-Naĥl: 116). |
116. Wala msiseme uwongo, kwa kuropokwa na ndimi zenu: Hichi halali, na hichi haramu - mkimzulia uwongo Mwenyezi Mungu. Hakika wanao mzulia uwongo Mwenyezi Mungu hawatafanikiwa. |