Yawma Ta'tī Kullu Nafsin Tujādilu `An Nafsihā Wa Tuwaffaá Kullu Nafsin Mā `Amilat Wa Hum Lā Yužlamūna (An-Naĥl: 111).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
111. Siku ambayo kila nafsi itakuja jitetea, na kila nafsi italipwa sawa sawa na a'mali ilizo zifanya, nao hawatadhulumiwa.