'Inna Allāha Ya'muru Bil-`Adli Wa Al-'Iĥsāni Wa 'Ītā'i Dhī Al-Qurbaá Wa Yanhaá `Ani Al-Faĥshā'i Wa Al-Munkari Wa Al-Baghyi Ya`ižukum La`allakum Tadhakkarūna (An-Naĥl: 90). |
90. Hakika Mwenyezi Mungu anaamrisha kufanya uadilifu, na hisani, na kuwapa jamaa; na anakataza uchafu, na uovu, na dhulma. Anakuwaidhini ili mpate kukumbuka. |