'Alam Yaraw 'Ilaá Aţ-Ţayri Musakhkharātin Fī Jawwi As-Samā'i Mā Yumsikuhunna 'Illā Allāhu 'Inna Fī Dhālika L'āyātin Liqawmin Yu'uminūna (An-Naĥl: 79). |
79. Je! Hawawaoni ndege walivyo wat'iifu katika anga la mbingu? Hapana mwenye kuwashika isipo kuwa Mwenyezi Mungu. Hakika katika haya zipo ishara kwa watu wanao amini. |