Wa Allāhu Fađđala Ba`đakum `Alaá Ba`đin Ar-Rizqi Famā Al-Ladhīna Fuđđilū BirādRizqihim `Alaá Mā Malakat 'Aymānuhum Fahum Fīhi Sawā'un 'Afabini`mati Allāhi Yajĥadūna (An-Naĥl: 71).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
71. Na Mwenyezi Mungu amewafadhilisha baadhi yenu kuliko wengine katika riziki. Na wale walio fadhilishwa hawarudishi riziki zao kwa wale ilio wamiliki mikono yao ya kulia ili wawe sawa katika riziki hiyo. Basi je, wanazikataa neema za Mwenyezi Mungu?